Mwenyekiti
wa Kamati ya Viongozi wa Afrika Juu ya mabadiliko ya Tabia nchi(The
Committee of African Heads of State and governments on Climate change)
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimakabidhi nakala ya Ripoti ya
utendaji mwenyekiti mpya wa kamati hiyo Rais wa Misri Abdel Fattah el
Sisi wakati wa Mkutano wa wakuu wa nchi za Umoja wa Afrika uliofanyika
Addis Ababa Ethiopia.Rais Kikwete alipongezwa kwa kuiwezesha kamati hiyo
kupata mafanikio makubwa.
Rais
Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akizungumza na mwenyeji wake Waziri Mkuu wa
Ethiopia Hailemariam Desalegn muda mfupi kabla ya kumalizika kwa mkutano
wa 23 wa kawaida wa wakuu wa nchi wanachama wa Umoja wa Afrika
ulifanyika katika mji Mkuu wa Ethiopia Addis Ababa. .Picha na Freddy Maro
*RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SWEDEN
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Waziri Mkuu wa Sweden Stefan Lofven jijini Addis Ababa Ethiopia jana.Tayari Rais Kikwete amerejea nchini baada ya kumaklizika mkutano wa wakuu wa nchi za umoja wa Afrika AU jijini Addis Ababa Ethiopia kwa siku mbili.
*RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAZIRI MKUU WA SWEDEN
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akikutana na Waziri Mkuu wa Sweden Stefan Lofven jijini Addis Ababa Ethiopia jana.Tayari Rais Kikwete amerejea nchini baada ya kumaklizika mkutano wa wakuu wa nchi za umoja wa Afrika AU jijini Addis Ababa Ethiopia kwa siku mbili.
Mwenyekiti wa Kamati ya Viongozi wa
Afrika Juu ya mabadiliko ya Tabia nchi Rais ikwete akiwasilisha
ripitiDkt.Jakaya Mrisho Kikwete akiwasilisha ripoti ya utendaji wakamati
hiyo katika mkutano wa Viongozi wa Umoja wa Afrika uliofanyika jijini
Addis Ababa Ethiopia. Mkutano huo ulimalizika jana.