JANUARY MAKAMBA AMWAGA VIFAA VYA MICHEZO BUMBULI VYENYE THAMANI YA SH.MILIONI 20,AWEKA MKAKATI WA KUPATA TIMU YA LIGI KUU SIKU ZIJAZO

November 08, 2014
KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI WILAYANI LUSHOTO,HOZA MANDIA AKIWAKABIDHI VIJANA JEZI WA MICHEZO LEO

KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI WILAYANI LUSHOTO,HOZA MANDIA AKIWAKABIDHI VIJANA JEZI WA MICHEZO LEO

HAPA KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA AKIWAKABIDHI VIJANA HAO FEDHA TASLIMU

KUSHOTO NI KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA AKIMKABIDHI MPIRA DIWANI WA KATA YA USAMBARA
MASHABIKI WA SOKA TAMOTA WAKIWA WAMESHIKILIA VITITA VYAO LEO

MASHABIKI WA MAHEZANGULU WAKIFUHAIA BAADA YA KUKABIDHIWA VIFAA VYA MICHEZO

KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA KUSHOTO AKIWAKABIDHI VIFAA VYA MICHEZO TIMU YA TAMOTA




KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA AKIWA KWENYE PICHA YA PAMOJA NA MASHABIKI WA SOKA WA  MILINGANO

MASHABIKI WA KATA YA VUGA WAKIWA NA FURAHA MARA BAADA YA KUKABIDHIWA JEZI NA VITITA VYAO

KATIBU WA MBUNGE WA JIMBO LA BUMBULI HOZA MANDIA KUSHOTO AKIMKABIDI VIFAA VYA MICHEZO KIONGOZI WA TIMU YA MILINGANO


ACTION PICTURES: YANGA VS MGAMBO NGOMA ILIVYOKUWA TAIFA

November 08, 2014

BEKI WA MGAMBO AKIJARIBU KUMDHIBTI MSHAMBULIAJI WA YANGA, JAJA RAIA WA BRAZIL WAKATI TIMU HIZO ZILIPOKUTANA LEO KWENYE MCHEZO WA LIGI KUU BARA KWENYE UWANJA WA TAIFA NA WENYEJI KUSHINDA KWA MABAO 2-0. CHEKI PICHA ZAIDI.








HATIMAYE MISS TANZANIA 2014 SITTI ABBAS MTEMVU AMEJIVUA TAJI RASMI

November 08, 2014

Barua ya aliyekuwa Miss Tanzania 2014 Sitti Abbas Mtemvu aliyowaandikia Lino International Agency kuhusu uamuzi wake wa kujivua taji hilo.

HATIMAYE kampuni ya Lino International Agency imemvua taji aliyekuwa mrembo wa Tanzania 2014 (Redd’s Miss Tanzania 2014) Sitti Abbas Mtemvu kwa kosa la kudanganya umri katika mashindano hayo.
Akizungumza na waandishi wa habari Mkurugenzi wa Lino International Agency, Hashim Lundenga amesema kampuni yake imeamua kumvua  taji hilo mrembo huyo ambaye ni mtoto wa mbunge wa Temeke Abbas Mtemvu.
Taarifa zinadai kuwa mrembo huyo aliitumia barua kamati ya uandaaji wa Miss Tanzania iliyoeleza uamuzi wake wa kuvua taji hilo.
Baada ya kukabidhiwa taji la Redd’s Miss Tanzania 2014 Oktoba 11, siku chache baadae Sitti alikumbwa na kashfa ya kudanganya umri baada ya kuonekana kuna utofauti wa umri kati ya leseni na pasipoti yake. Taji hilo litakabidhiwa kwa mshindi wa pili Lilian Kamazima.

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA IJITIMAI YA KIMATAIFA MJINI MOROGORO

MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA IJITIMAI YA KIMATAIFA MJINI MOROGORO

November 08, 2014

unnamed3 

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi semina ya mafunzo ya Kiislamu (IJITIMAI) iliyofunguliwa jana Novemba 7, 2014 kwenye Msikiti wa Jabalhira, mjini Morogorogo. Picha na OMR 
unnamed4 
Sehemu ya waumini wa dini ya kiislam waliohudhuria hafla hiyo ya ufunguzi wa IJITIMAI, wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia. Picha na OMR
unnamed6 
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na baadhi ya waumini wa dini ya kiislamu wakati akiondoka baada ya kufungua rasmi IJITIMAI hiyo katika msikiti wa Jabalhira, mjini Morogorogo. Picha na OMR

KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA SATELITE YAIPIGA TAFU SHULE YA SEKONDARI CHIEF MANG'ENYA WAMWAGA MABATI 90 KWA AJILI YA UJENZI WA MAABARA

November 08, 2014


KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA SATELITE,ABDALLAH MOHAMED SEIF KUSHOTO AKISAINI KITABU CHA WAGENI MARA BAADA YA KUFIKA KWENYE OFISI YA MKUU WA WILAYA YA MUHEZA AMBAPO WALIKABIDHI MABATI 90 YENYE THAMANI YA SH.MILIONI 2 KWA AJILI YA KUCHANGIA UJENZI WA MAABARA KWENYE SHULE YA SEKONDARI CHIEF MANG'ENYA WILAYANI HUMO KATIKATI NI MKUU WA WILAYA YA MUHEZA SUBIRA MGALU NA KULIA NI MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA,AMIRI KIROBOTO

MDAU WA MAENDELEO WILAYANI MUHEZA MKOANI TANGA,WILLIAM MNGAZIJA AKISAINI KITABU CHA WAGENI MARA BAADA YA KUWASILI OFISI YA MKUU WA WILAYA YA MUHEZA LEO


KAIMU MKURUGENZI MTENDAJI WA KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA SATELITE,ABDALLAH MOHAMED SEIF WA PILI KUTOKA KULIA AKIMKABIDHI MKUU WA WILAYA YA MUHEZA,SUBIRA MGALU KUSHOTO MABATI YALIYOTOLEWA NA KAMPUNI HIYO YAPATAO 90 YENYE THAMANI YA SH.MILIONI 2 WALIYOYATOA KWENYE SHULE YA SEKONDARI CHIEF MANG'ENYA ILI KUCHANGIA UJENZI WA MAABARA KWENYE SHULE HIYO WA KWANZA KULIA NI MWENYEKITI WA HALMASHAURI HIYO,AMIRI KIROBOTO NA KUSHOTO NI DIWANI WA KATA YA GENGE


MKUU WA WILAYA YA MUHEZA,SUBIRA MGALU AKIISHUKURU KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA SATELITE KWA KUCHANGIA UJENZI WA MAABARA KWENYE SHULE YA SEKONDARI CHIEFU MANG'ENYA MARA BAADA YA KUPOKEA MABATI 90 YALIYTOLEWA KAMPUNI HIYO WA TATU KUSHOTO ALIYEVAA KIBARAKASHEE NI NI KAIMU MKURUGENZI MKUU WA KAMPUNI YA USAFIRISHAJI YA SATELITE
 ABDALLAH  MOHAMED SEIF.

WA KWANZA KULIA NI MKUU WA WILAYA YA MUHEZA SUBIRA MGALU KATIKATI NI MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA MUHEZA,AMIRI KIROBOTO NA KUSHOTO NI MDAU WA MAENDELEO WILAYANI MUHEZA AMBAYE PIA NI MWANDISHI WA ITV NA RADIO MKOANI TANGA WILLIAM MNGAZIJA