BWANA EDWIN MASHAYO NA BI. MARY MOLLEL WAUAGA UKAPELA

May 28, 2016
Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakionyesha vyeti vyao vya ndoa mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam leo May 28, 2016. Picha na Cathbert Kajuna wa Kajunason Blog -(Kajunason Studio).
Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakionyesha vyeti vyao vya ndoa mara baada ya kufunga ndoa takatifu katika kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam. Pembeni ni wasimamizi wao.
Waumini waliohudhuria.
Mchungaji wa Kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam akifungisha ndoa ya Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel.
Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakila kiapo.
Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel wakila kiapo.
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa akitoa sadaka.
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa akisaini katika cheti kama shaidi wa ndoa hiyo mara baada ya Bwana Edwin Mashayo na Bi. Mary Mollel kufunga ndoa.
Waziri Mkuu mstaafu Edward Lowassa akiwapongeza maharusi.
Mchungaji wa kanisa la KKKT - Umoja lililopo chuo kikuu cha Dar es Salaam akiweka saidi katika cheti.
Maharusi wakipongezana kwa kupeana cheti.
Maharusi wakitoka kanisani.
Picha ya pamoja.
Pongezi.
Salamu za hapa na pale.
Wazazi wakiwapongeza watoto wao.
-- ---- Cathbert Angelo Kajuna, Founder and Mananging Director Kajunason Blog, P.O Box 6482, Dar es Salaam. Tel: +255 787 999 774 Alt: +255 765 253 445 www.kajunason.blogspot.com "Everything is Possible Through Peace & Stability''

WAZIRI MPINA ASHIRIKI USAFI UDOM

May 28, 2016


 
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais-Muungano na Mazingira,Luhaga  Mpina akishirika kufanya usafi na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha Udom wakati usfi wa mazingira kitaifa iliyofanyika, Dodoma leo


Naibu Waziri Mh.Luaga Mpina akizungumza na wanafunzi wa Chuo Kikuu cha UDOM wakati siku ya usafi wa Mazingira Kitaifa iliyofanyika eneo la Chuo hicho leo

TANCDA YAPIMA AFYA ZA WABUNGE DODOMA

May 28, 2016
 Mbunge wa Viti Maalum, Bupe Mwakang'ata (CCM) Mkoa wa Rukwa, akipimwa mapigo ya moyo wakati wa programu maalumu ya wabunge kupimwa afya zao. Programu hiyo ilifanywa bure na Shirikisho la Vyama vya Magonjwa yasiyo ya Kuambukiza katika Zahanati ya Bunge, Dodoma leo.PICHA ZOTE NA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
 Mbunge wa Jimbo la Songea Mjini, Leonidas Gama akipimwa afya na Muuguzi Asha Shao bungeni Dodoma
 Mbunge wa Viti Maalum, Joyce Sokombi akipimwa afaya na Muuguzi kutoka Hospitali ya Mkoa wa Dodoma Asha Shao. Katikati ni muuguzi mwingine Christina Chamwela
 Mhudumu wa Afya wa Hospitali ya Dodoma akimpima kimo Mbunge
 Mbunge wa Jimbo la Geita Mjini, Costantine Kanyasu akipimwa mapigo ya moyo
 Mbunge Kanyasu akipimwa kimo
 Mbunge wa Jimbo la Nachingwe, Hassan Masala akipimwa kimo
 Mbunge wa Jimbo la Makambaku, Deo Sanga akipimwa afya
Baadhi ya wabunge wakipata ushauri nasaha

SHIRIKISHO LA RIADHA TANZANIA LAMSHUKURU RAIS WA TFF,JAMAL MALINZI KWA MCHANGO WA TIMU YA TAIFA YA RIADHA INAYOJIANDAA NA OLYIMPIC.

May 28, 2016

WANANCHI WAFURIKA BANDA LA BENKI YA NMB KATIKA MAONESHO YA WAKULIMA NA WAFUGAJI UWANJA WA CHUO KIKUU CHA USHIRIKA MOSHI.

May 28, 2016
Mgeni Rasmi katika Maonesho ya Wakulima na Wafugaji,Mkuu wa Idara ya Utumishi na Utawala manispaa ya Moshi,Wencelaus Lindi akitia saini katika kitabu cha wageni mara baada ya kutembelea banda la Benki ya NMB katika maeonesho hayo yanayofanyika katika uwanja wa Chuo Kikuu cha Ushirika mjini Moshi.
Meneja Mwandamizi wa Mahusiano ya biashara na Kilimo wa Benki ya NMB,Oscar Rwechungura (aliyenyoosha kidole) akitoa maelezo kwa mgeni rasmi ,Wencelaus Lindi (aliyekunja mikono) katika maonesho ya Wakulima na Wafugaji yaliyoandaliwa na Mtandao wa kusaidia wakulima wa AgriProFocus.
Meneja wa Benki ya NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi,Emanuel Kashusho akikabidhi zawadi ya T-shirt ,Kalamu na Key holder kwa mgeni rasmi ,Wencelaus Lindi mara baada ya kutembelea banda la Benki hiyo na kupata maelezo namna inavyoshirikiana na wakulima katika kukuza mitaji yao.
Mgeni rasmi ,Wencelaus Lindi akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya wafanyakazi wa Benki ya NMB pamoja na wananchi wengine waliofika kutembelea banda la NMB.
Meneja Mwandamizi wa Mahusiano ya biashara na Kilimo wa Benki ya NMB,Oscar Rwechungura akitoa maelezo kwa baadhi ya watu waliotembelea banda hilo.
Afisa Mikoapo wa Benki ya NMB,Gaudencia Mazigo akigawa vipeperushi kwa wananchi waliofika katika banda la Benki hiyo katika maonesho ya wakulima na wafugaji yanaoyofanyika katika uwanja wa Chuo kikuu cha Ushirika Moshi.
Afisa Mikopo wa Benki ya NMB,Josephine Joseph akitoa maelezo kwa wateja waliofika kutembelea banda la NMB wakati wa maoenesho ya Wakulima na Wafugaji yanayofanyika katika uwanja wa chuo kikuu cha Ushirika Moshi.
Afisa Mikoapo wa Benki ya NMB,Gaudencia Mazigo akigawa vipeperushi kwa wananchi waliofika katika banda la Benki hiyo katika maonesho ya wakulima na wafugaji yanaoyofanyika katika uwanja wa Chuo kikuu cha Ushirika Moshi.  
Meneja Mwandamizi wa Mahusiano ya biashara na Kilimo wa Benki ya NMB,Oscar Rwechungura akitoa maelezo kwa mmoja wa watu waliotembelea banda la NMB.
Meneja wa NMB tawi la Nelson Mandela mjini Moshi Emanuel Kashusho akitoa maelezo kwa mmoja wa wananchi waliotembelea banda la NMB wakati wa maoensho ya Wakulima na Wafugaji.
Baadhi ya wananchi wakiwa katika banda la NMB.

Imeandaliwa na Dixon Busagaga wa Michuzi Blog kanda ya Kaskazini.