MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA KIJIJI CHA LAMADI – BUSEGA

MAJALIWA AHUTUBIA MKUTANO WA HADHARA KIJIJI CHA LAMADI – BUSEGA

March 02, 2016

seg1
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Lamadi wilayani Busega  kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wenye uwanja wa michezo Machi 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg2
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akiwapungia wananchi wa Lamadi wilayani Busega  kabla ya kuhutubia mkutano wa hadhara wenye uwanja wa michezo Machi 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg3
Mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni (kushoto) na Mbunge wa zamni wa jimbo hilo, Dkt Titus Kamani ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Simiyu wametangaza rasmi kuzika tofauti zao na kushirikiana  kuleta maendeleo kwenye jimbo hilo. Pichani  viongozi hao wakiwadhihirishia wananchi kuwa hawana chukui wala ugomvi tena na kuwa uchaguzi umekwisha katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa kwenye kijiji cha Lamadi wilayni Busega Machi 2, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg4
Mbunge wa Busega Dkt Raphael Chegeni (kushoto) na Mbunge wa zamni wa jimbo hilo, Dkt Titus Kamani ambaye pia ni Mwenyekiti wa CCM wa mkoa wa Simiyu wametangaa rasmi kuzika tofauti zao na kushirikiana  kuleta maendeleo kwenye jimbo hilo. Pichani  viongozi hao wakiwadhihirishia wananchi kuwa hawana chukui wala ugomvi tena na kuwa uchaguzi umekwisha katika mkutano wa hadhara uliohutubiwa na Waziri Mkuu, Kasim Majaliwa kwenye kijiji cha Lamadi wilayni Busega Machi 2, 2016.  (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg5
Waziri Mkuu, Kasim Majliwa akionyesha usinga na mkuki  ambavyo alipewa na wazee wa Kisukuma wa Busega katika mkutano wa hadhara katika kijiji cha Lamadi Machi 2, 2016. Wazee hao pia walimbatiza jina la Massanja. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
seg7 seg8
Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutanowa hadhara katik kijiji cha Lamadi wilayani Busega Machi 2, 2016. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA 17 WA EAC ARUSHA

RAIS DK. JOHN POMBE MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA 17 WA EAC ARUSHA

March 02, 2016

KAG1
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Rwanda Paul Kagame kabla ya kuanza rasmi kwa Mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliyofanyika Ngurdoto nje kidogo ya jiji la Arusha.PICHA NA IKULU
KAG2
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa Rwanda Paul Kagame mara baada ya kumaliza mazungumzo yaliyofanyika Ngurdoto nje kidogo ya jiji la Arusha.
KAG3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Kenya Uhuru Kenyata kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki Ngurdoto nje kidogo ya jiji la Arusha.
KAG4
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Kenya Uhuru Kenyata kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika Ngurdoto nje kidogo ya jiji la Arusha.
KAG5
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akiagana na Rais wa Kenya Uhuru Kenyata kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika Ngurdoto nje kidogo ya jiji la Arusha.
KAG6
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza na Rais wa Uganda Yoweri Museveni  kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika Ngurdoto nje kidogo ya jiji la Arusha.
KAG7
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania na Mwenyekiti wa Jumuiya ya Afrika Mashariki Dkt. John Pombe Magufuli akiwa pamoja na badhi ya Marais wa Jumuiya ya Afrika Mashariki kabla ya kuanza kwa mkutano wa 17 wa kawaida wa wakuu wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki uliofanyika Ngurdoto nje kidogo ya jiji la Arusha. 

SEN2
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akisalimiana na Rais wa Uganda Yoweri Museven baada ya kuwasili katika Hoteli ya Ngurdoto Mkoani Arusha palipofanyika mkutano wa 17 wa Nchi za Afrika ya Mashariki EAC,(kulia) Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli,[Picha na Ikulu.]
SEN3
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein baada ya kuwasili katika Hoteli ya Ngurdoto Mkoani Arusha palipofanyika mkutano wa 17 wa Nchi za Afrika ya Mashariki EAC,[Picha na Ikulu.]
SEN4
Viongozi wakuu wa Nchi za Afrika ya Mashariki wakisimama wakati wimbo wa umoja wa nchi hizo ukipigwa katika mkutano wa 17 wa EAC uliofanyika leo ukumbi wa Ngurdoto mkoani Arusha,[Picha na Ikulu.]
SEN1
Viongozi Wakuu wa Nchi za Afrika ya Mashariki akiwemo mwenyekiti wa mkutano wa 17 wa EAC Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli kabla ya kuanza kwa mkutano huo uliofanyika leo katika ukumbi wa Hoteli ya Ngrdoto Mkoani Arusha,[Picha na Ikulu.]
SEN6
Mwenyekiti wa Mkutano wa 17 wa Afrika ya Mashariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli (wa tatu kushoto) akiongoza mkutano huo uliofanyika leo ukumbi wa Ngrdoto Hotel mkoani Arusha,wengine ni Vionngozi mbali wa Jumuiya hiyokamawanavyoonekanwa,[Picha na Ikulu.]
SEN7
Baadhi ya waalikwa katika  wakiwa katika ukumbi wa mkutano Ngurdoto Mkoani Arusha leo wakimsikiliza Mwenyekiti wa Mkutano wa 17 wa Afrika ya Mashariki Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.John Pombe Magufuli (kulia) akitoa hutuba yake ya ufunguzi wa  mkutano wa 17 wa Viongozi wakuu wa nchi za Afrika ya Mashariki EAC  uliofanyika leo ukumbi wa Ngurdoto Hotel Mkoani Arusha,{Picha na Ikulu.]
SEN9
Miongoni mwa Mawaziri wa Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar  na Jamhuri ya Muungano ya Tanzania walioalikwa katika mkutano wa 17 wa Viongozi wakuu wa nchi za Afrika ya Mashariki EAC  uliofanyika leo ukumbi wa Ngurdoto Hotel Mkoani Arusha,(katikati) Waziri wa nchi Ofisi ya Rais Ikulu na Utawala Bora Dkt.Mwinyihaji Makame Mwadini,akiwa na Mawaaziri wa Nchi za Jumuiya hiyo,{Picha na Ikulu.]
18 KUIVAA SIMBA SC

18 KUIVAA SIMBA SC

March 02, 2016

????????????????????????????????????
Kocha Mkuu wa Mbeya City Fc, Kinnah Phiri ametangaza majina ya nyota 18 watakaoivaa Simba Sports Club  kwenye mchezo wa ligi kuu ya Vodacoma Tanzania bara uliopangwa kuchezwa  jumapili hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar es Salaam
Mapema leo Phiri ameuambia  mtandao huu kuwa anatua jijini Dar na kikosi cha nyota hao ambao aliwaandaa maalumu kwa mchezo huo wa mwishoni mwa juma akiwa na imani kubwa kuwa wataiwezesha City kuibuka na ushindi kutokana na  kuiva  vizuri kimazoezi na mafunzo waliyoyapata katika wiki nzima ya maandalizianya .
“Nina imani nao kuwa,wamefanya vizuri sana kwenye mazoezi ya wiki hii, sina shaka na wao kutupatia matokeo kwa sababu wako sawa tayari kwa mchezo,tutacheza kwenye mfumo mpya ambao haujawahi kuonekana tukicheza, hii ni kwa sababu tumedhamiria kupata ushindi kama ambavyo timu imekuwa ikifanya kila inapokutana na Simba”, alisema.
Miongoni mwa nyota walio kwenye orodha ya kuivaa Simba siku hiyo ya jumapili ni pamoja na mlinzi Hassan Mwasapili, mlinda lango Haningtony Kalyesubula pia wamo Temi Felix, Haruna Shamte,Yohana Moriss,Kenny Ally na wakali wengine 12 ambao wamepewa majukumu kadhaa kuhakikisha  City inaandikisha pointi tatu muhimu mbele ya timu hiyo ya Msimbazi.
RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA17 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI ARUSHA

RAIS DKT MAGUFULI AONGOZA MKUTANO WA17 WA KAWAIDA WA WAKUU WA NCHI ZA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JIJINI ARUSHA

March 02, 2016

wr1
Rais Yoweri Kaguta Museveni wa Uganda akijiandaa kuweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha leo Machi 2, 2016
wr2
Kagama wa Rwanda  akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha leo Machi 2, 2016
wr3
Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha leo Machi 2, 2016
wr5
Rais Dkt John Pombe Joseph Magufuli akiweka saini ya Kanuni za Madili ya Mfuko wa Sekta Binafsi wakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha leo Machi 2, 2016
wr10
Wanafunzi walioshinda mashindano ya Insha ya EAC wakipata selfie na viongozi baada ya Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha leo Machi 2, 2016
wr6
Kijana Simon Sahaya Mollel (18) wa Shule ya Sekondari ya Mzumbe ya mjini Morogoro akionesha dola 1500 alizopewa kama zawadi baaya ya kuibulka mshindi wa kwanza wa kuandika Inshawakati wa Mkutano wa 17 wa Kawaida wa Wakuu wa Nchi za Jumuiya ya Mashariki jijini Arusha leo Machi 2, 2016
wr8
Watoto walioshinda wakijipiga picha kwa simu na marais wa nchi za Jumuiya ya Afrika Mashariki.
UNCDF LAUNCHES REGIONAL CONSULTATIONS ON MUNICIPAL FINANCE

UNCDF LAUNCHES REGIONAL CONSULTATIONS ON MUNICIPAL FINANCE

March 02, 2016
UNCDF_GROUP PHOTO2
-First meeting in Dar es Salaam focuses on local finance challenges in African LDCs
In collaboration with the Financing for Development Office of the United Nations Department of Economic and Social Affairs and the Government of Tanzania, UNCDF launched a global series of expert group consultations on municipal finance in Dar es Salaam, Tanzania on 29 February – 1 March 2016.
The meeting brought together a unique set of practitioners, local government representatives, academics, policy makers and the private sector from African countries, as well as UN entities and other development partners. In an interactive format, experts exchanged their experiences and suggested policy measures on how municipal governments especially in the Least Developed Countries can access long-term finance to implement the ambitious 2030 Agenda for Sustainable Development.
“According to figures from the United Nations, 1.2 billion people live in over 650 secondary cities in developing countries. Yet most government finance and development aid is directed to central government agencies whilst private finance often avoids local governments”, said David Jackson, Director of Local Development Finance at UNCDF. The Africa expert consultation is the first in a series of regional consultations that aim to pave the way for increased and more effective international cooperation on subnational finance as called for Addis Abba Action Agenda and reaffirmed in the preparation of the Habitat III Conference later this year.
The discussion delved deep into lessons learned from fiscal, political and administrative decentralization experiences across African LDCs, many involving UNCDF support. There was a consensus view that enabling and empowering local authorities to unlock resources for long-term finances requires a holistic approach to municipal finance. Sound financial management and improved internal revenue generation including through effective property taxes, user fees, and land value capture can pave the way for better access to private and public domestic finance.
“Collaboration between banks and local government in Africa has to step up. Both actors have to meet in a middle area called trust where they share strategy, ambitions and solutions” said Ms. Zienzi Musamirapamwe, Head of Public Sector, Corporate and Investment at Barclays South Africa. Central government support and a conducive governance environment are equally important and intergovernmental fiscal transfers will remain a key source of local government finance.
video-conference-1-702x336
Participants noted that many municipalities in Africa have come a long way in getting their finances in order while promoting affordable access to essential services for all. Experts discussed the positive experiences of an increasing number of African cities such as Dakar and Kampala City, both of which have received investment grade ratings from well-known regional rating agencies. The progress of secondary African cities has also been reviewed and noted.
According to Khady Dia Sarr, Program Director, Dakar Municipal Finance Program, development is primarily local; and finance is one of the keys to development. “We have to strengthen local authorities in Africa to tap into capital markets to respond to the needs of populations.”
“Decentralization is essential, especially fiscal decentralization” said Youssouf Séga Konaté, Technical Adviser, Ministry of Decentralization of Mali. Experts also agreed that successful decentralization hinges on a carefully sequenced series of policy measures. It is a process that requires continuous assessment of what works and what doesn’t and policies can change down the road. The discussion also featured lively exchanges between local authorities and central government representatives, including on the appropriate level and types of fiscal transfers and the authority for municipalities to borrow. Participants agreed that good communication and buy-in from all stakeholders are crucial factors for success.
Mr. Shomary Mukhandi, Director, Regional Administration and Local Government - President’s Office in Tanzania, gathered from the discussions that there is a need to consider other feasible ways of financing local government infrastructure development projects to meet and reduce the fiscal gap between actual needs and available resources. “We have learnt some valuable lessons from participating in this key meeting. Pertinent issues have been raised in improving municipal finance that can be applied by local governments in Tanzania to stimulate and improve local economic growth.”
The consultation will result in a publication that summarizes major findings and provide some general guidelines for policy makers at the international, national and local levels of the Least Developed Countries. In addition, the published results will feed into the discussions leading to the Habitat III conference later this year, which should focus on how to implement the global agenda through cities.

DIWANI WA KATA YA MANGAKA JIMBO LA NANYUMBU ATOA MSAADA WA VITABU VYA SAYANSI KWA DARASA LA NNE

March 02, 2016
Halima Mchoma
DIWANI wa kata ya Mangaka Halima Mchoma akikabidhi vitabu kwa mmoja wa walimu wakuu wa shule za msingi nne za kata ya Mangaka hii leo kwenye viwanja vya shule ya msingi Mangaka.


Na Clarence Chilumba, Masasi
DIWANI wa kata ya Mangaka jimbo la Nanyumbu mkoani Mtwara, Halima Mchoma amenunua vitabu 488 vya masomo ya sayansi na stadi za kazi vyenye thamani ya shilingi milioni 1,157,000/= kwa wanafunzi wa darasa la nne wa shule za msingi za kata hiyo.

Shule zilizonufaika na msaada huo ni pamoja na shule ya msingi Mangaka,Nahawara,Ndwika 2 na Mtokora ambazo zote ni kutoka katika kata ya Mangaka Halmashauri ya Wilaya ya Nanyumbu Mkoani Mtwara.

Vitabu alivyovinunua diwani huyo ni pamoja na vitabu 388 vya somo la sayansi, vitabu 100 vya somo la stadi za kazi pamoja na boksi nne za peni zenye peni 400 ambazo watapewa walimu wa shule za msingi katani humo.

Diwani huyo ameamua kununua vitabu hivyo pamoja na peni kwa walimu wote wa kata hiyo kwa fedha zake za mfukoni kwa lengo la kuunga mkono jitihada za serikali ya awamu ya tano ya kutoa elimu bila malipo.

Akizungumza leo wakati wa kukabidhi msaada huo kwa walimu wakuu wa shule hizo katika viwanja vya shule ya msingi Mangaka alisema ameamua kununua vitabu vingi vya sayansi kutokana na ugunduzi wa gesi mkoani humo ambao wengi wa wataalamu wanaohitajika ni wale waliosoma masomo ya sayansi.

Alisema kutokana na kero ya upungufu wa vitabu kwenye kata hiyo waliyokuwa wanailalamikia walimu ndicho kilichomsukuma kuamua kununua vitabu hivyo ambapo kwa sasa kila mtoto wa darasa la nne atatumia kitabu kimoja kama inavyotakiwa kitaalamu.

Mchoma alisema kwa vitabu vya awamu ya kwanza alivyonunua vina thamani ya sh.1.2 milioni na kwamba lengo lake kwa sasa ni kutatua changamoto zilizopo kwenye shule hizo ikiwemo upungufu wa madawati,matundu ya vyoo,vyumba vya madarasa pamoja na nyumba za walimu.
“Nimeguswa na tatizo la wanafunzi wa kata yangu kutumia kitabu kimoja zaidi ya wanafunzi wawili…ndio maana nimeamua kununua vitabu hivi ambavyo kwa sasa naamini kila mwanafunzi anayesoma darasa la nne kwenye kata hii atatumia kitabu chake na nitafanya hivi kwa kipindi chote cha uongozi wangu ndani ya miaka mitano,”alisema Mchoma.

Alisema pia amefanya uamuzi huo baada ya kuguswa na namna walimu wa kata hiyo wanavyojituma katika kufundisha kunakopelekea shule za kata hiyo kufanya vizuri kwenye matokeo ya mitihani mbalimbali ikiwemo yale ya mtihani wa kumaliza elimu ya msingi kwa mwaka 2015.

Kwa upande wake ofisa elimu taaluma wa shule za msingi wilayani Nanyumbu Stephen Urassa alimpongeza diwani huyo kwa namna alivyoonesha njia na kwamba msaada huo umekuja wakati muafaka ambao wanafunzi wa darasa la nne wanajiandaa kufanya mitihani ya majaribio.
“Nimekuwa Halmashauri ya wilaya ya Nanyumbu tangu mwaka 2008…lakini sijawahi kuona kiongozi yeyote wa kisiasa akitoa msaada wa vitabu kwa wanafunzi wa shule za msingi hivyo hii inaonesha ni kwa namna gani wananchi wa kata ya Mangaka hawakufanya makosa kukuchagua”.alisema Urassa.

Naye mratibu Elimu kata wa kata ya Mangaka Fidelis Hokororo alisema kata hiyo ina jumla ya wanafunzi 253 wa darasa la nne ambapo kutokana na msaada huo kwa sasa kila mwanafunzi wa darasa la nne atakuwa anatumia kitabu kimoja cha sayansi huku vitabu 135 vikiwa zidifu.

Alisema kwa upande wa vitabu vya stadi za kazi ambavyo ni 100 kwa wastani kila wanafunzi watatu watakuwa wanatumia kitabu kimoja na kwamba watatumia baadhi ya vitabu vilivyopo kwenye shule hizo ili kufikia lengo la kila mwanafunzi kutumia kitabu kimoja.
Fungwa S.Kilozo Founder of Lindiyetu.com & Kickzacelebrity.blogspot.com P.o.Box 285, Lindi, Tanzania Mob.+255787572019 OR +255713572019 Email: fkilozo@gmail.com or lindiyetu@gmail.com

SPIKA JOB NDUGAI AMTEMBELEA NA KUMPA POLE RAIS MSTAAFU JAKAYA KIKWETE KUFUATIA KIFO CHA KAKA YAKE MZEE SELEMANI MRISHO KIKWETE

March 02, 2016

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai akiwasili (kulia) nyumbani kwa marehemu Mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa ajili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu wa marehemu akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kufuatia kifo cha mzee Selemani Mrisho Kikwete kilichotokea nchini India.
 
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) mara alipowasili nyumbani kwa maraehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa ajili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu wa marehemu akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kufuatia kifo cha mzee Selemani Mrisho Kikwete kilichotokea nchini India.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akisalimiana na Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mzee Mohamed Seif Khatib (kulia) mara alipowasili nyumbani kwa maraehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa ajili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu wa marehemu akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kufuatia kifo cha mzee Selemani Mrisho Kikwete kilichotokea nchini India.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akisalimiana na Kadhi Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdallah Mnyasi mara alipowasili nyumbani kwa maraehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa ajili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu wa marehemu akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete kufuatia kifo cha mzee Selemani Mrisho Kikwete kilichotokea nchini India.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (katikati) pamoja na Kadhi Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdallah Mnyasi wakijadiliana nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete wakati Spika alipotembelea kwa ajili ya kutoa kwa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake leo Jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya waomborezaji waliohudhuria kuhani msiba nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa ajili ya kutoa pole leo Jijini Dar es Salaam.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (wa pili kulia) Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (wa pili kushoto) Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mzee Mohamed Seif Khatib pamoja na Kadhi Mkuu wa Tanzania Sheikh Abdallah Mnyasi wakiomba dua nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete wakati Spika alipotembelea kwa ajili ya kutoa kwa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake leo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (kulia) akisalimiana na baadhi ya watu waliotembelea nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa jili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake leo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai(kushoto) akiongea na
Mjumbe wa Kamati Kuu ya Chama cha Mapinduzi (CCM) Mzee Mohamed Seif Khatib mara walipokutana nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa jili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai(kushoto) akiongea na
Mbunge wa Chalinze, Mhe. Ridhiwan Kikwete mara alipotembelea nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa jili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai(kushoto) akiongea na
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete mara alipomtembelea nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa jili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai(katikati) akiagana na
baadhi wa waombolezaji mara alipotembelea nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa jili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo Jijini Dar es Salaam. Kulia ni Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete.
Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete (kulia) akimsindikiza Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai wakati akiondoka nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa jili ya kutoa pole kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo Jijini Dar es Salaam.
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Job Ndugai (kushoto) akiagana na Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete mara baada ya kutoa pole nyumbani kwa marehemu mzee Selemani Mrisho Kikwete kwa familia ya marehemu pamoja na ndugu zake akiwemo Rais Mstaafu wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete leo Jijini Dar es Salaam.
(Picha zote na Benedict Liwenga-Maelezo)
MCHEZO MGUMU, CITY INANAFASI: REDONDO

MCHEZO MGUMU, CITY INANAFASI: REDONDO

March 02, 2016


DSC_0136
Kiungo mshambuliaji wa City, Ramadhani Chombo Redondo amesema  mchezo wa ligi kuu ya soka Tanzania dhidi ya Simba uliopangwa kuchezwa jumapili hii kwenye uwanja wa Taifa jijini Dar utakuwa mgumu kutokana na mazingira ya timu zote mbili.
Akizungumza  na mbeyacityfc.com mapema leo, Chombo amesema kuwa City inakwenda Dar kucheza mchezo huo ikiwa na kumbukumbu ya kupoteza mchezo wa uliopita kama ilivyo kwa simba, jambo ambalo linaufanya mchezo huo kuwa mgumu kutokana na uhitaji wa matokeo kwa timu zote.
“Ni wazi utakuwa mgumu, hii ni kwa sababu kila timu inahitaji matokeo baada ya kupoteza mchezo uliopita,Simba na timu nzuri na wako kwenye nafasi nzuri pia lakini wasitegeme kupata ushindi kw sababu sisi tunauhitaji zaidi yao” alisema.
Aidha Chombo aliweka wazi kuwa City ina nafasi kubwa ya kufanya vizuri kwenye mchezo huo hasa ukizingatia  kuwa imekuwa na historia nzuri kila inapokutana na Simba kwenye uwanja wa Taifa.
“City imeshinda mara  kadhaa mbele ya Simba,hili ni jambo nzuri kisaikolojia kwa sababu linaleta kujiamini,imani yangu kubwa dakika 90 za jumapili zitakuwa upande wetu” alisema.
Kuhusu ligi kuu ya Vodacom inayoendelea sasa Redondo aliweka wazi kuwa imekuwa ngumu na yenye changamoto nyingi sana,hasa ukizingatia kuwa timu nyingi zilijiandaa vizuri toka mwanzo wa msimu ingawa pia suala la kusima simama au kupanguliwa kwa ratiba linapunguza msisimko wake.
DSC_0084