Katibu Mkuu wa Umoja wa wanawake Tanzania (UWT) Amina Makilagi na Katibu wa Halmashauri Kuu ya Taifa ya Chama Cha Mapinduzi (CCM)Idara ya Oganaizesheni Pereila Silima wakiwasili ukumbini tayari kwa ajili ya kusimamia Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017.
Wajumbe na waalikwa wakishangilia baada ya viongozi wa meza kuu kuwasili ukumbini kuanza Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017.
Wajumbe na waalikwa wakishangilia baada ya viongozi wa meza kuu kuwasili ukumbini kuanza Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017.
Wajumbe na waalikwa wakishangilia baada ya viongozi wa meza kuu kuwasili ukumbini kuanza Kikao cha kawaida cha Baraza Kuu la Jumuiya hiyo ngazi ya Taifa, kilichofanyika Makao Makuu ya CCM mjini Dodoma, leo Oktoba17, 2017.
Katibu Mkuu wa Jumuiya ya Wanawake Tanzania (UWT) na Katibu wa NEC Oganaizesheni Pereila Silima wakifurahi baada ya kuwasili ukumbini
Katibu Mkuu wa UWT Amina Makilagi akitoa maelezo ya awali kuanza kikao hicho
"kikao hiki tutakiendesha kwa mujibu wa Katiba yetu hii ya UWT..." anafafanua Amina Makilagi
Makilagi akitangazia wajumbea kumchagua Mwenyekiti wa muda wa kuendesha kikao hicho. Mwenyekiti wa muda ilibidi achaguliwe kutokana na aliyekuwa Mwenyekiti wa UWT Taifa Sophia Simba, kuvuliwa uongozi kutokana na kupatikana na hatia ya kuisaliti CCM wakati wa Uchaguzi Mkuu uliopita.
Wajumbea wakipiga kura za kunyoosha mikono kuchagua Mwenyekiti wa muda wa kikao hicho
Wajumbea wakipiga kura za kunyoosha mikono kuchagua Mwenyekiti wa muda wa kikao hicho ambapo walimchagua Diana Chilolo kutoka Singida
Diana Chilolo akienda meza kuu
Katibu Mkuu wa UWT Amina Makilagi akiwa amesimama kumlaki meza kuu Diana Chilolo
Diana Chilolo akikaribishwa meza kuu
Katibu wa NEC Oganaizesheni Pereila Silima (kushoto) akiwa amesimama baada ya kutambulishwa kwa wajumbe na Katibu Mkuu wa UWT Amina Makilagi (kulia), Utambulisho huo ulifanyika baada ya Mweneyekiti wa muda wa kikao hcho Dina Chilolo (katikati) kuketi.