WANAWAKE WAWILI WAKAMATWA NA MADAWA YA KULEVYA MKOANI ARUSHA
Mkuu
wa kitengo cha kuzuia na kupambana na madawa ya kulevya Mkoa wa Arusha
Mrakibu Msaidizi wa Polisi (ASP) Aben Mgode akiwaonyesha waandishi wa
habari misokoto 5000 pamoja na baadhi ya magunia 16 ya madawa ya kulevya
aina ya bangi yaliyokamatwa kutokana na misako mbalimbali iliyofanyika
mkoani hapa. (Picha na Rashid Nchimbi wa Jeshi la Polisi Arusha)