Furaha ya Tuzo

June 11, 2013
MENEJA Mkuu wa Hotel ya Tanga Beach Resort,Joseph Ngonyo akiwa ameshikilia tuzo mapema leo katika halfa ya kuwatunikia vyeti wafanyakazi bora wa mwezi wa sita katika hotel hiyo ambapo Tuzo hiyo alikabidhiwa na Rais wa shirikisho la Uhamasishaji wa biashara za hotel za Kimataifa hivi karibuni nchini Marekani. 

Furaha ya Tuzo

June 11, 2013
MTANGAZAJi wa kituo cha Radio cha Breeze Fm ya Tanga,Benson Jackson kushoto akiwa ameshikilia tuzo ya dhahabu na Meneja Mkuu wa Tanga Beach Resort kulia mwenye suti Joseph Ngonyo mapema hii leo.

Nafurahia tuzo

June 11, 2013
WAANDISHI wa habari Mkoa wa Tanga wakifanya mahojiano na Mfanyakazi bora wa mwezi wa sita katika Hotel ya Tanga Beach Resort kutoka Idara ya Mapokezi,Mariam Kimaro mapema leo huku akiwa ameshikilia tunzo ya dhahabu ambayo hotel hiyo ilitunikiwa na Shirikisho la uhamasishaji wa Biashara za hotel za Kimataifa .picha kwa hisani ya blog hii

Jamani tumeshinda Tuzo

June 11, 2013
MENEJA Mkuu wa Hotel ya Tanga Beach Resort,Joseph Ngonyo akiwa ameshikilia tuzo ya dhahabu ambayo hoteli hiyo ilipata kutoka shirikisho la uhamasishaji wa biashara za Hotel za Kimataifa akiwa na wafanyakazi bora wa mwezi wa tano hotelini hapo mapema leo mara baada ya kuwatunu vyeti vya uchapakazi nzuri wafanyakazi hao.
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI

June 11, 2013
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Juni 11, 2013

WAALGERIA KUCHEZESHA TAIFA STARS, IVORY COAST
Shirikisho la Kimataifa la Mpira wa Miguu (FIFA) limeteua waamuzi kutoka Algeria kuchezesha mechi kati ya Taifa Stars na Ivory Coast itakayofanyika Jumapili saa 9 alasiri kwenye Uwanja wa Taifa, Dar es Salaam.

Waamuzi hao watakaochezesha mechi hiyo ya kundi C kuwania tiketi ya kucheza fainali za Kombe la Dunia mwakani nchini Brazil wataongozwa na Charef Mehdi Abid atakayepuliza filimbi. Atasaidiwa na Hamza Hammou na Bouabdallah Omari wakati mezani atakuwa Sofiane Bousseter.

Abdi na wezake wanatarajiwa kutua nchini Ijumaa (Juni 14 mwaka huu) saa 12 asubuhi kwa ndege ya EgyptAir. Mtathmini wa waamuzi ni Athanase Nkubito kutoka Rwanda ambaye atatua nchini Ijumaa (Juni 14 mwaka huu) saa 12 jioni kwa ndege ya RwandAir.

Kamishna wa mechi hiyo ni Bernard Mfubusa kutoka nchini Burundi ambapo atawasili nchini Ijumaa (Juni 14 mwaka huu) saa 3.35 asubuhi kwa ndege ya Kenya Airways. Maofisa wote hao wa mechi hiyo watarejea makwao Jumatatu (Juni 17 mwaka huu).

HATUA YA TATU RCL KUCHEZWA JUMAMOSI
Mechi za kwanza za hatua ya tatu ya Ligi ya Mabingwa wa Mikoa (RCL) kuwania nafasi tatu za kupanda Ligi Daraja la Kwanza (FDL) msimu ujao zitachezwa Jumamosi (Juni 15 mwaka huu) wakati za marudiano zitachezwa Jumatano ya Juni 19 mwaka huu.


Kamati ya Mashindano ya Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) imekutana leo (Juni 11 mwaka huu) jijini Dar es Salaam kupitia ripoti za michezo iliyopita na kufanya uamuzi mbalimbali ikiwemo mechi ya marudiano kati ya Mpwapwa Stars na Machava FC ambayo haikuchezwa.

Machava FC ambayo ilishinda mechi ya kwanza iliyochezwa mjini Moshi kwa mabao 2-0 inaendelea katika hatua ya tatu kwa vile haikuhusika katika kukwamisha mchezo wa marudiano uliopangwa kuchezwa Uwanja wa Jamhuri mjini Dodoma.

Chama cha Mpira wa Miguu Mkoa wa Dodoma (DOREFA) kiliuhamishia mchezo huo kwenye Uwanja wa Mgambo mjini Mpwapwa kinyume na maelekezo ya Kamati ya Mashindano ya TFF. Kamati katika kikao chake cha awali iliekeleza kuwa mechi zote za RCL zitachezwa makao makuu ya mikoa isipokuwa kwa Morogoro ambapo timu ya Techfort FC iliruhusiwa kutumia Uwanja wa CCM Mkamba mjini Ifakara.

Hivyo timu nane zilizofuzu kucheza raundi hiyo ni Friends Rangers ya Dar es Salaam, Kariakoo ya Lindi, Katavi Warriors ya Katavi, Kimondo SC ya Mbeya, Machava ya Kilimanjaro, Njombe Mji ya Njombe, Polisi Jamii ya Mara na Stand United FC ya Shinyanga.

Wakati timu nyingine zimefuzu kwa kushinda mechi zao za raundi ya mbili, Njombe Mji imeingia hatua hiyo kwa kuwa timu yenye uwiano mdogo wa kufungwa (best looser) katika hatua ya pili.

Katika hatua hiyo mechi ni ifuatavyo; Kariakoo vs Friends Rangers, Machava FC vs Stand United FC, Polisi Jamii vs Katavi Warriors, na Kimondo SC vs Njombe Mji. Timu zilizoanza kutajwa ndizo zinazoanzia nyumbani.

Vilevile Kamati ya Mashindano imeagiza Kamishna wa mechi ya marudiano kati ya Mpwapwa Stars vs Machava FC, Mwijage Rugakingira wa Tanga ambaye alikwenda Uwanja wa Mgambo badala ya Uwanja wa Jamhuri kinyume na maelekezo ya TFF aondolewe kwenye orodha ya makamishna.

Pia waamuzi wa mechi hiyo ambao nao walikwenda Mpwapwa badala ya Dodoma Mjini wamepelekwa Kamati ya Waamuzi ya TFF kwa ajili ya kuchukuliwa hatua kutokana na tukio hilo.

Kamati ya Mashindano imekumbusha kuwa RCL ni mashindano yanayosimamiwa na TFF, hivyo maelekezo yoyote kuhusiana na mashindano hayo pia yatatoka TFF na si mahali pengine popote. Hivyo, msimamizi wa kituoa hana mamlaka ya kubadili uwanja.

Hatua ya nne ya RCL itachezwa kati ya Juni 23 na 23 mwaka huu wakati mechi za marudiano zitachezwa kati ya Juni 29 na 30 mwaka huu.

Boniface Wambura
Ofisa Habari
Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF)

Otabi safi

June 11, 2013
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tanga,Kassim Mbuguni aliyevaa shati nyeupe akicheza samaba na katibu Itikadi Uenezi Kapange mara baada ya uzinduzi wa Kampu ya Otabi kata ya Majengo jijini Tanga.

KIdumu Chama cha Mapinduzi

June 11, 2013
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tanga,Kassim Mbuguni Mwenye shati jeupe akiwa na diwani wa kata ya Majengo kulia kwake ni kushoto kwake ni mwenyekiti wa mtaa huo na Katibu Itikadi na Uenezi wa Chama cha Mapinduzi wilaya hiyo,Kapange wakati wa uzinduzi wa Kampu ya Otabi.

Mbunguni akionyesha mambo yake.

June 11, 2013
MWENYEKITI wa Chama cha Mapinduzi wilaya ya Tanga,Kassimu Mbuguni akiwa na Diwani wa Kata ya Majengo wakati wa uzinduzi wa Kampu ya Otabi iliyopo kwenye kata hiyo,Picha kwa hisani ya blog hii
Umisseta Nation Competion Basketball Time table

Umisseta Nation Competion Basketball Time table

June 11, 2013

MICHEZO YA 35 YA UMISSETA TAIFA 2013
UMISSETA NATIONAL COMPETITION
BASKETBALL TIMETABLE-KIBAHA
NO
POOL (A)-BOYS
POOL(B) BOYS
POOL (A) GIRLS
POOL (B) GIRLS
1
ZIWA
NYANDA ZA JUU KUSINI
NYANDA ZAA JUU
MASHARIKI
2
MASHARIKI
NYANDA ZA JUU
ZANZIBAR
KUSINI
3
ZANZIBAR
DAR ES SALAAM
KASKAZINI/MAGH
KASKAZINI MASHARIKI
4
KASKAZINI MAGHARIBI
KATI
KATI
DAR ES SALAAM
5
MAGHARIBI
KASKAZINI
ZIWA
MAGHARIBI
6
ZIWA MAGHARIBI
KASKAZINI MASHARIKI

NYANDA ZA JUU KUSINI

DATE
TIME
GAME
GROUP
TEAM
GENDER
RESULTS
10/06/2013/MONDAY
14:30 HRS
1
B
MASHARIKI VS DAR ES SALAAM
GIRLS


15:30 HRS
2
B
N/J/KUSINI Vs NYANDA ZA JUU
BOYS


16:30 HRS
3
A
ZIWA MAGHARIBI VS ZANZIBAR
BOYS

11/06/2013/TUESDAY
08:00 HRS
4
B
MASHARIKI Vs KUSINI
GIRLS


09:00HRS
5
A
ZIWA Vs MASHARIKI
BOYS


10:00 HRS
6
A
ZANZIBAR Vs KASK. MAGHARIBI
GIRLS


11:00HRS
7
B
DAR ES SALAAM Vs KATI
BOYS

12/06/2013 WEDNESDAY
08:00 HRS
8
B
KASK/MASHARIKI Vs DAR ES SALAAM
GIRLS


09:00 HRS
9
A
ZANZIBAR Vs KASKAZINI MAGHARIBI
BOYS


10:00 HRS
10
A
KATI Vs ZIWA
GIRLS


11:00HRS
11
B
KUSINI Vs KASKAZINI MASHARIKI
BOYS


15:00 HRS
12
B
MAGHARIBI Vs N/JUU KUSINI
GIRLS


16:30 HRS
13
A
MAGHARIBI Vs ZIWA MAGHARIBI
BOYS

13/6/2013 THURSDAY
08:00 HRS
14
B
N/JUU KUSINI Vs KATI
BOYS


09:00 HRS
15
A
ZIWA Vs ZANZIBAR
BOYS


10:00 HRS
16
A
KATI Vs NYANDA ZA JUU
GIRLS


11:00HRS
17
B
NYANDA ZA JUU Vs  KASK/MASHARIKI
BOYS


15:00 HRS
18
B
KUSINI Vs  N/JUU KUSINI
GIRLS


16:30 HRS
19
A
MAGHARIBI Vs MASHARIKI
BOYS

14/6/2013/FRIDAY
08:00 HRS
20
A
ZIWA Vs KASKAZINI MAGHARIBI
GIRLS


09:00 HRS
21
B
DAR ES SALAAM Vs  KUSINI
BOYS


10:00 HRS
22
B
KASKAZINI MASHARIKI Vs MAGHARIBI
GIRLS


11:00HRS
23
A
ZIWA MAGH.  Vs KASK/MAGHARIBI
BOYS


15:00 HRS
24
B
N/JUU KUSINI Vs KASKAZINI MASH.
BOYS


16:30 HRS
25
B
MASHARIKI Vs N/JUU KUSINI
GIRLS

15/6/2013/SATURDAY
08:00 HRS
26
A
ZIWA Vs MAGHARIBI
BOYS


09:00 HRS
27
A
ZIWA Vs ZANZIBAR
GIRLS


10:00 HRS
28
B
KATI Vs KUSINI
BOYS


11:00HRS
29
B
DAR ES SALAAM Vs MAGHARIBI
GIRLS


15:00 HRS
30
A
KASK /MAGHARIBI Vs NYANDA ZA JUU
GIRLS


16:30 HRS
31
B
NYANDA ZA JUU Vs DAR ES SALAAM
BOYS

16/6/2013/SUNDAY
08:00 HRS
32
B
KUSINI Vs KASK/MASHARIKI
GIRLS


09:00 HRS
33
A
KASK/MAGHARIBI Vs MASHARIKI
BOYS


10:00 HRS
34
B
N/JUU KUSINI Vs KUSINI
BOYS


11:00HRS
35
A
ZIWA Vs ZIWA MAGHARIBI
BOYS


15:00 HRS
36
A
KASK/MAGHARIBI Vs KATI
GIRLS


16:30 HRS
37
B
KASK/MASHARIKI Vs DAR ES SALAAM
BOYS

17/6/2013/MONDAY
08:00 HRS
38
B
N/JUU KUSINI Vs KASKAZINI MASH.
GIRLS


09:00 HRS
39
A
KASK/MAGHARIBI Vs  MAGHARIBI
BOYS


10:00 HRS
40
A
NYANDA ZA JUU Vs  ZANZIBAR
GIRLS


11:00HRS
41
B
KATI  Vs NYANDA ZA JUU
BOYS


15:00 HRS
42
B
DAR ES SALAAM  Vs  KUSINI
GIRLS


16:30 HRS
43
A
MASHARIKI Vs  ZANZIBAR
BOYS

18/06/2013/TUESDAY
08:00 HRS
44
B
MASHARIKI Vs MAGHARIBI
GIRLS


09:00 HRS
45
B
N/JUU KUSINI Vs DAR ES SALAAM
BOYS


10:00 HRS
46
B
MASHARIKI Vs KASKAZIKI MASHARIKI
GIRLS


11:00HRS
47
A
ZIWA Vs KASKAZINI MAGHARIBI
BOYS


15:00 HRS
48
A
NYANDA ZA JUU Vs ZIWA
GIRLS


16:30 HRS
49
B
KUSINI Vs NYANDA ZA JUU
BOYS

19/06/2013/WEDNESDAY
08:00 HRS
50
B
MAGHARIBI Vs KUSINI
GIRLS


09:00 HRS
51
A
MASHARIKI Vs ZIWA MAGHARIBI
BOYS


10:00 HRS
52
A
ZANZIBAR Vs KATI
GIRLS


11:00HRS
53
B
KASK/MASHARIKI Vs KATI
BOYS


15:00 HRS
54
B
N/JUU KUSINI Vs DAR ES SALAAM
GIRLS


16:30 HRS
55
A
ZANZIBAR Vs MAGHARIBI
BOYS

20/06/2013/THURSDAY
08:00HRS
56

SEMI – FINALS-
WINNER A1 VS B2
GIRLS


10:00HRS
57

 B1 VS A2
BOYS


14:00 HRS
58

A1 VS B2
BOYS


16:00 HRS
59

B1 VS A2
GIRLS

21/06/2013/FRIDAY
08:00 HRS


60

3RD PLAY OFF

LOOSER NO. 61 Vs 64


GIRLS


09:00 HRS
61

LOOSER NO. 62 Vs 63
BOYS


14:00 HRS
62

FINALS WINNER NO. 61 Vs 64
GIRLS


16:00 HRS
63

WINNER NO. 62 Vs 63 FINAL
BOYS

22/06/2013/SURTDAY
10:00 HRS
00000

OFFICIALS VS TEACHERS
MEN& WOMEN





CLOSING THE GAMES