“Majambazi walifanikiwa kumpora bunduki aina ya SMG na kisha kumpiga
risasi na kumjeruhi begani, tuko katika msako mkubwa hivi sasa,”Kamishna
wa Polisi Zanzibar.
ZANZIBARA.
Askari wa Kikosi cha FFU, Mohamed Mjombo (Namba E 5607) ameuawa kwa kupigwa risas, huku mwingine akijeruhiwa baada ya majambazi kuvamia hoteli ya kitalii ya Pongwe Bay iliyo Pongwe mkoani Kusini Unguja.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 3:00 usiku wakati wageni wakiwa wamepumzika na askari hao wa FFU kutoka Kituo cha Polisi Machui wakiwa katika lindo kwenye hoteli hiyo.
ZANZIBARA.
Askari wa Kikosi cha FFU, Mohamed Mjombo (Namba E 5607) ameuawa kwa kupigwa risas, huku mwingine akijeruhiwa baada ya majambazi kuvamia hoteli ya kitalii ya Pongwe Bay iliyo Pongwe mkoani Kusini Unguja.
Akizungumza na gazeti hili jana, Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Omar Makame alisema tukio hilo lilitokea juzi saa 3:00 usiku wakati wageni wakiwa wamepumzika na askari hao wa FFU kutoka Kituo cha Polisi Machui wakiwa katika lindo kwenye hoteli hiyo.