Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

Maadhimisho ya Siku ya Wanawake Duniani

March 04, 2015

Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakiingia kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakiingia kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakiingia kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakiingia kwa maandamano mara baada ya kuwasili katika viwanja hivyo.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam.
Kaimu Mkurugenzi Mtendaji wa TGNP Mtandao, Bi. Lilian Liundi akizungumza katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakijiandikisha kabla ya kuanza kwa hafla ya maadhimisho.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakijiandikisha kabla ya kuanza kwa hafla ya maadhimisho.
Baadhi ya wanafunzi walioshiriki katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakifuatilia mada anuai.
Baadhi ya wanafunzi walioshiriki katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakifuatilia mada anuai.
Baadhi ya washiriki wenye ulemavu wa kusikia wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya washiriki wenye ulemavu wa kusikia wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Meza kuu katika maadhimisho hayo.
Meza kuu katika maadhimisho hayo.
Vikundi vya maigizo katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam vikitoa burudani katika hafla hiyo.
Vikundi vya maigizo katika maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam vikitoa burudani katika hafla hiyo.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.
Baadhi ya washiriki wenye ulemavu wa kusikia wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya washiriki wenye ulemavu wa kusikia wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam waifuatilia mada anuai katika maadhimisho hayo.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakijiandikisha kabla ya kuanza kwa hafla ya maadhimisho.
Baadhi ya washiriki wa maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakijiandikisha kabla ya kuanza kwa hafla ya maadhimisho.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.
Baadhi ya wanaharakati toka meza kuu ya maadhimisho ya siku ya wanawake duniani yaliofanyika katika viwanja vya TGNP Mtandao jijini Dar es Salaam wakizungumza na wananchi.

HOSPITALI KUU YA MNAZI MMOJA YAZIDUA UPIMAJI USIKIVU WA WATOTO WACHANGA

March 04, 2015

Waziri wa Afya wa Zanzibar Rashid Seif Suleiman akikata utepe kuzindua mpango wa upimaji usikivu wa watoto wachanga katika hafla iliyofanyika Hospitali Kuu ya Mnazimmoja Mjini Zanzibar, wa kwanza (kushoto) mwakilishi wa WHO Zanzibar Dkt. Ghirmay Andemichael na (wakatikati) Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Halima Maulid Salum.
Daktari Asma Ame Hassan akimpima usikivu mtoto Nour Sabri Al hilal katika uzinduzi wa kuwapima usikivu watoto wachanga hafla iliyofanyika Hospitali kuu ya Mnazimmoja.
Waziri wa Afya Rashid Seif Suleiman akisitiza jambo wakati wa uzinduzi wa kuwapima usikivu watoto wachanga. (kulia) Mkurugenzi wa Hospitali Kuu ya Mnazimmoja Dkt. Jamala Adam Taib na (kushoto) Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Afya Zanzibar Bi. Halima Maulid Salum.
Mjumbe wa Bodi ya ZOP Yahya Mohammed Slim akitoa maelezo kuhusu Jumuiya hiyo inavyotoa huduma za kijamii vijijini katika usinduzi wa kuwapima usikivu watoto wachanga.
Wafanyakazi wa Afya waliopatiwa mafunzo maalum ya kuwapima usikivu watoto wachanga wakimsikiliza Waziri wa Afya (hayupo pichani) katika uzinduzi huo.
baadhi ya wageni walioalikwa katika uzinduzi wa kuwapima usikivu watoto wachanga wakifuatilia uzinduzi huo uliofanyika Hospitali ya Mnazimmoja. Picha na Makame Mshenga-Maelezo Zanzibar.

Mvuvi katika kisiwa cha Yozu wilaya ya Sengerema Aibuka na Toyota IST

March 04, 2015

Kaimu Meneja Mauzo Kanda ya Ziwa wa Airtel Bwana David Wankuru akimkabithi gari aina ya Toyota IST bwana Kijiji Gweso ambaye ni Mvuvi na mkazi wa wilaya ya Sengerema Mwanza mara baada ya kuibuka mshindi wa promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi akishuhudia ni Afisa Uhusiano wa Airtel,Bi. Jane Matinde.
Mshindi wa gari kupitia promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi Bwana Kijiji Gweso akifungua gari mara baada ya kukabidhiwa gari na Airtel mara baada ya kuibuka mshindi, Bwana Gweso ni Mvuvi na mkazi wa wilaya ya Sengerema Mwanza. akishuhudia ni Kaimu Meneja Mauzo Kanda ya Ziwa wa Airtel David Wankuru.
Mshindi wa gari kupitia promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi Bwana Kijiji Gweso akiwa ndani ya gari yake mara baada ya kukabidhiwa gari na Airtel mara baada ya kuibuka mshindi, Bwana Gweso ni Mvuvi na mkazi wa wilaya ya Sengerema Mwanza.
Kaimu Katibu wa Wilaya ya Sengerema Bwana Aaron L Laizer ( wa pili kushoto) akimkabithi gari aina ya Toyota IST bwana Kijiji Gweso ambaye ni Mvuvi na mkazi wa wilaya ya Sengerema Mwanza mara baada ya kuibuka mshindi wa promosheni ya Airtel Yatosha Zaidi akishuhudia ni Afisa Uhusiano wa Airtel Bi Jane Matinde na Kaimu Meneja Mauzo Kanda ya Ziwa wa Airtel Bwana David Wankuru.

Mkazi wa wilaya ya sengerma na mvuvi katika kisiwa cha Yozu bwana Kijiji Gweso Jana amekabithiwa gari aina ya Toyota IST na kampuni ya simu za mkononi ya Airtel mara baada ya kuibuka mshindi wa promosheni ya Airtel yatosha zaidi.

Akiongea wakati wa halfa ya kukabithiwa gari lake Bwana kijiji Gweso alisema” nilipopigiwa simu na Airtel nilipuuzia sikuamini kabisa kama nimeshinda gari mpaka ndugu zangu waliponipigia na kunihakikishia kuwa mimi nimetangazwa mshindi ndipo nilipoenda ofisi za Airtel na kukuta kweli nimejishindia. Mimi ni mvuvi na mke na watoto wawili na nilinunua kifurushi cha Airtel yatosha cha mia tano tu na furahi sana kushinda gari hili kupitia promosheni hii”.

“Sijawahi kumiliki gari hivyo usafiri huu utanisaidia katika shughuli zangu za uvuvi, za kifamilia na kiuchumi kwa ujumla, nachukua fulsa hii kuwaambia watanzania wenzangu waamini kuwa Airtel inatoa magari na kwamba wao pia wanaweza kuwaibuka washindi. Nawashukuru sana Airtel kwa kuboresha maisha yangu na yawatanzania wengine walioshinda kama mimi”aliongeza Gweso.

Akiongea wakati wa kukabithi gari kaimu katibu wa wilaya ya sengerema bwana Aaron L Laizer alisema” nampongeza sana bwana Kijiji Gweso kwa kuibuka mshindi, ushindi huu umetuthihirishia wakazi wa sengerema kuwa promosheni hii ya ya ukweli na zawadi zinatolewa. Tunawashukuru sana Airtel kwa kutoa huduma bora za mawasiliano nchini ambazo zimerahisisha shughuli za kiuchumi, kijamii na kiusalama lakini pia kuanzisha promosheni inayowazawadia wateja wake, na kwa wananchi wa sengerema na wa mwanza kwa jumla hii nifulsa kwetu tuendelee kutumia huduma za Airtel na kupata nafasi ya kushinda”.

Kwa upande wake Kaimu Meneja wa kanda ya Airtel Bwana David Wankuru alisema “ promosheni hii bado inaendelea mpaka sasa ni washindi 24 tumeshapatikana , magari bado yapo hivyo natoa wito kwa wakazi wa kanda yangu na watanzania kwa ujumla kuweza kushiriki. Tunafurahi kuwa na washindi wane mpaka sasa kutoka katika kanda ya ziwa washindi hawa ni pamoja na Bi Ester Mathias Mashauri muuguzi bugando, Bi kajala kokutima said mkulima na mkazi wa bukoba, Seleman Daudi Onesmo mkazi wa nyakato Mwanza na leo tunamkabithi gari bwana Kijiji Gweso mkazi wa Sengerema’.

Wankuru aliongeza kwa kusema “kujishindia unatakiwa kujinga na kifurushi chochote cha Airtel yatosha cha siku, wiki au mwenzi kwa kupiga *149*99# au kununua vocha ya Airtel yatosha au kwa kununua kupiita huduma ya Airtel Money, baada ya kununua kifurushi chako namba yako moja kwa moja itaingizwa kwenye droo na kupata nafasi ya kujishindia gari aina ya Toyota IST kila siku”.

Promosheni ya Airtel yatosha Zaidi ilizinduliwa na kampuni simu za mkononi ya Airtel Mwanzoni mwa mwenzi wa Februari, watanzania wengi kutoka katika mikoa mbalimbali wameweza kujishindia magari na kubadili maisha ya kupitia promosheni hii. Magari 24 yameshapata washindi toka promosheni hii ianze hadi sasa.
KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME YA REA MKOANI DODOMA

KAMATI YA KUDUMU YA BUNGE YA NISHATI NA MADINI YAFANYA UKAGUZI WA MIRADI YA UMEME YA REA MKOANI DODOMA

March 04, 2015


1
Mtaalam kutoka kampuni ya kitanzania ya Derm Electric inayojenga miundombinu ya umeme katika mkoa wa Dodoma chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Azizi Msuya (kushoto) akiielezea Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini hatua iliyofikiwa ya ujenzi wa miundombinu ya umeme katika mkoa wa Dodoma katika eneo iliyopo bohari ya kuhifadhi vifaa vya ujenzi vya kampuni hiyo, nje kidogo ya mji wa Dodoma. Kamati hiyo inafanya ziara kwenye miradi ya umeme mkoani Dodoma lengo likiwa ni kujionea utekelezwaji wake   pamoja na kuzungumza na wawakilishi wa wananchi.
2
Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, Richard Ndassa (kushoto) akitoa maelekezo kwa wataalamu wa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) mara kamati hiyo ilipofanya ziara ya kukagua miradi ya umeme katika kijiji cha Msanga kilichopo wilayani Chamwino mkoani Dodoma.
3
Mtaalam kutoka kampuni ya kitanzania ya Derm Electric inayojenga miundombinu ya umeme katika mkoa wa Dodoma chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Azizi Msuya (wa pili kutoka kushoto) akielezea Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, wataalamu kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini hatua iliyofikiwa katika usambazaji wa miundombinu ya umeme katika eneo la Kibaigwa wilayani Kongwa mkoani Dodoma. Kamati hiyo iliiagiza kampuni hiyo kuweka miundombinu ya umeme katika vijiji vilivyosahaulika.
4
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye ni Mbunge wa Jimbo la Chambani- Pemba, Yusuph Salim (katikati) akitoa maelekezo kwa wataalamu kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) na Wizara ya Nishati na Madini (hawapo pichani)
6
Meneja wa Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) Dodoma, Zakayo Temu ( wa pili kutoka kulia) akielezea mikakati ya shirika hilo katika usimamizi wa miradi inayofadhiliwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Awamu ya Pili mbele ya Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini, wataalamu kutoka Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) na wataalamu kutoka Wizara ya Nishati na Madini.
8
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Geita, Josephine Chagula ( wa tatu kutoka kulia) akitoa ushauri kwa kampuni ya kitanzania ya Derm Electric inayojenga miundombinu ya umeme katika mkoa wa Dodoma chini ya Wakala wa Nishati Vijijini (REA) wa namna ya kuboresha kasi ya usambazaji wa miundombinu ya umeme katika mkoa wa Dodoma.
9
Mjumbe wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Nishati na Madini ambaye pia ni Mbunge wa Kilwa, Murtaza Mangungu (katikati) akilishauri Shirika la Umeme Nchini (Tanesco) namna bora ya kuwawezesha wananchi kuunganishiwa na huduma ya umeme mara baada ya kukamilika kwa ujenzi wa miundombinu ya umeme inayotekelezwa na Wakala wa Nishati Vijijini (REA) Awamu ya Pili.

KWAMBA SASA KUMEKUCHA,HIVI NDIVYO OFISI MPYA YA BAYPORT FINANCIAL INAVYOONEKANA

March 04, 2015
Hivi ndivyo ofisi mpya ya tawi la 79 la taasisi ya kifedha ya Bayport Financial Services wilayani Kwimba, mkoani Mwanza inavyoonekana kwa mbele siku lilipozinduliwa rasmi mapema wiki hii, huku mgeni rasmi akiwa ni Vicent Emmanuel, Katibu Tawala wa wilaya ya Kwimba, hayupo pichani.
Katibu Tawala wa wilaya Mwanza, Vicent Emmanuel wa pili kutoka kulia, akiangalia matukio tofauti katika uzinduzi wa tawi la Bayport Financial Services, wilayani Kwimba, mkoani Mwanza. Kushoto kwake ni Meneja Mauzo wa Bayport Kanda ya Ziwa, Lugano Kasambala. Kulia kwa Katibu Tawala ni OCS Adam Amir, akiafutiwa na Meneja wa Bayport Mwanza, August Tesha. Bayport wamezindua tawi la 79 nchi nzima kwa ajili ya kusogeza huduma karibu na wananchi.

MAN UNITED SAMBAMBA NA IlKAY GUNDOGAN

March 04, 2015

Baada ya klabu ya Manchester United kupwaya katika nafasi ya kiungo siku za hivi karibuni, klabu hiyo chini ya kocha Mholanzi Louis Van Gaal yenye maskani yake katika dimba la Old Trafford, ipo mbioni kumfukuzia kiungo wa klabu ya Borrusia Dortmund Ilkay Gundogan.

Gundogan ambaye amekuwa akifanya vizuri katika mechi za karibuni akiwa na klabu yake ya Dortmund sasa ameonekana Lulu kwa Manchester United huku klabu hiyo ikifanya jitihada za kumpeleka Old Trafford. 

MAGEREZA WAJIFUA TAYARI KWA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO

March 04, 2015

Sehemu ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi makali katika mitaa ya mji wa Moshi ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro ifikapo Machi 6,2015. Katikati (mwenye vazi jeupe) ni Kamishna Msaidizi wa Magereza Alexander Mmasy kutoka Makao Makuu ya Magereza, wa kwanza kulia ni Mrakibu Msaidizi wa Magereza Mbezi Ramadhani kutoka Ofisi ya Mkuu wa Magereza Mkoa wa Tanga na wa kwanza kushoto ni Mkaguzi wa Magereza Jamhuri Yassin kutoka Makao Makuu ya Magereza, Dar es salaam.
Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi ya kutembea katika viunga vya Manispaa ya Moshi ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro mnamo Machi 6, 2015. Kutoka kushoto ni Mkaguzi wa Magereza Vicent Magessa kutoka Gereza Bagamoyo Mkoa wa Pwani, Mkaguzi wa Magereza Tumaini Kihampa na Mkaguzi wa Magereza Jamhuri Yassin wote kutoka Makao Makuu ya Magereza.
Maafisa na Askari na baadhi wa watumishi raia wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi makali ya kupita katika njia ngumu ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro ifikapo Machi 6, 2015. Wa sita kutoka mbele ni Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Magereza Estomiah Hamis na wa mwisho ni Mkaguzi wa Magereza Abas Mikidadi.
Maafisa na Askari na baadhi wa watumishi raia wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi makali ya kupita katika njia ngumu ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro ifikapo Machi 6, 2015.
Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakiwa katika mazoezi ya viungo baada ya kutembea na kukimbia katika viunga vya Manispaa ya Moshi ikiwa ni maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro mnamo Machi 6, 2015.
Baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza wakipata kifungua kinywa baada ya mazoezi mazito ya maandalizi ya kupanda mlima Kilimanjaro ifikapo Machi 6,2015. Maafisa hao wako kambini eneo la Gereza Karanga mjini Moshi.
Baadhi wa washiriki wa Kilimanjaro Marathon Machi 1, 2015 mbio ambazo baadhi ya Maafisa na Askari wa Jeshi la Magereza walishiriki ikiwa ni maandalizi ya kupanda Mlima Kilimanjaro mnao Machi 6, 2015. Picha zote na Mkaguzi wa Magereza Deodatus Kazinja

Waziri Membe akutana kwa mazungumzo na Balozi wa China hapa nchini

March 04, 2015

Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe. Bernard K. Membe (Mb.), akizungumza na Balozi wa China nchini Mhe. Lu Youqing alipofika Wizarani kwa ajili ya mazungumzo  ya kuimarisha ushirikiano baina ya Tanzania na China 
Mkurugenzi wa Idara ya Mashariki ya Kati katika Wizara ya Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa, Balozi Simba Yahya (kushoto), akiwa na  Mkurugenzi Idara ya Asia na Australasia Balozi Mbelwa Kairuki (wa pili kushoto), Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano,  Bi. Mindi Kasiga na  Afisa Mambo ya Nje, Bw. Imani Njalikai (kulia) wakifuatilia mazungumzo kati ya Waziri Membe na Mhe. Lu Youqing ambao hawapo pichani.
Balozi Lu Youqing akizungumza na Mhe. Membe
Maafisa walioambatana na Balozi Lu wakinukuu mazungumzo akiwemo Kaimu Mkuu wa masuala ya Siasa katika Ubalozi huo, Bw. Li Xhuhang (kulia).   
Mkurugenzi Msaidizi wa Idara ya Asia na Australasia, Bw. Nathaniel Kaaya (kulia)  na Katibu wa Waziri, Bw. Thobias Makoba nao wakisikiliza mazungumzo hayo.
Mazungumzo yakiendelea
WaziriMembe akiagana na Balozi Lu Youqing mara baada ya mazungumzo yao.
Picha na Reginald Philip.