JAMES MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO (MBATIA CUP 2015).

August 19, 2015
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi taifa,James Mbatia akisamiana na wachezaji wa timu ya Wazalendo fc kabla ya kuanza kwa mchezo.

Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akikagua kikosi cha wachezaji wa timu ya Himo fc.

Kikosi cha timu ya Himo fc.
Kikosi cha timu ya Wazalendo fc.
Heka heka zikiendelea uwanjani.
Mwenyekiti wa chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akizungumza wakati wa fainali hiyo kaba ya kukabidhi zawadi kwa mabingwa wa mashindano hayo.
Mmoja wa waratibu wa mashindano ya Kuwania kombe la Mbatia,Danielson Shayo akisoma risala ya mashindano hayo wakati wa fainali hizo.
Mh Mbatia akikabidhi zawadi ya kikombe kwa mabingwa wa mashindano hayo timu ya Himo fc,iliyochomoza na ushindi dhidi ya Wazalendo fc wa bao 2 kwa 0.
Mh Mbatia akikabidhi kitita cha fedha kiasi cha sh Milioni 2 kwa mabingwa hao.
Mh Mbatia akikabidhi zawadi ya mipira mitatu kwa mabingwa hao.
Mh Mbati akikabidhi zawadi ya viatu vya mpira kwa mfungaji bora.
Mh Mbatia akikabidhi vyeti kwa waratibu wa mashindano hayo .
Mh Mbatia akikabidhi zawadi kwa msaidizi wake ,Hamisi Athumani kwa kufanikisha mashindano hayo.
Waratibu wa mashindano ya Mbatia Cup wakiwa katika pcha ya pamoja na Mh Mbatia.
Kikundi cha sarakasi kikionesha umahiri katika kucheza sarakasi katika fainali hizo.

Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii ,Kanda ya Kaskazini.

BUNGE LA VIJANA LAENDELEA BUNGENI DODOMA

August 19, 2015

 Afred Salwa (MZUMBE) akiwasilisha Mchango wake kuhusu Muswada wa Baraza la Vijana la Taifa wa Mwaka 2015  wakati wa kipindi cha majadiliano kwenye Bunge hilo

 Wajumbe wa Bunge la Vijana wakishiriki Vikao vya Bunge hilo Mjini Dodoma
 Waziri Mkuu katika Bunge la Vijana kwa mwaka 2015 Alexandra Wasonga (ARDHI) akijibu Maswali ya papo kwa papo Bunge wakati wa Kipindi cha Masuali kwa Waziri Mkuu
 Waziri kivuli wa Vijana kutoka Kambi Pinzani kwenye Bunge la Vijana Bi. Joyce Shirima akielezea baadhi ya Mapendekezo ambayo yanastahili kuingizwa kwenye Muswada wakati wa Majadiliano Bungeni
 Mbunge wa Bunge la Vijana Shughaib Abdi (CBE) akielezea baadhi ya mapungufu yaliyopo katika Muswada huo wakati wa Mjadala wa kujadili Muswada huo Bungeni
Mwanasheria Mkuu katika Bunge la Vijana kwa mwaka 2015 Gama Zulu Leonidas (SAUT) akiwasilisha Muswada wa Serikali wa Kuanzisha sheria ya Baraza la Vijana la Taifa wa Mwaka 2015 Bungeni jana. 
 Spika wa Bunge la Vijana kwa mwaka 2015 Baraka Thomas (UDSM) akiongoza vikao vya Bunge
 Daudi Maneno (MUST) nae akitoa dukuduku lake wakati wa Majadiliano Bungeni
 Spika wa Bunge la Vijana kwa mwaka 2015 Baraka Thomas (UDSM) akiwa na wasaidizi wake
Mmoja wa wabunge akichangia hoja. Picha zote na Owen Mwandumbya wa Bunge

Mgombea Urais wa Chadema, EDWARD LOWASSA na Mwenza wake DUNI HAJI, wasaini Hati ya Kiapo

August 19, 2015


Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisaini fomu za
hati ya Kiapo kwenye ofisi za Jaji wa Mahakama ya Kuu ya Tanzania,
Jijini Dar es salaam leo Agosti 19, 2015. Hati ambayo kila mgombea wa
nafasi ya urais anatakiwa kusaini katika mahakama kuu jijini Dar es
Salaam ili kuthibitisha usahihi wa fomu hizo kabla ya mkuzirejesha Tume
ya Taifa ya Uchaguzi, kwa uteuzi. Kushoto ni Mgombea Mwenza, Juma Haji
Duni, maarufu kama “Babu Duni”
 
Mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni
akisaini fomu za hati ya Kiapo kwenye ofisi za Jaji wa Mahakama ya
Tanzania, Jijini Dar es salaam leo Agosti 19, 2015. Kushoto kwake ni
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama
hicho, Mh. Edward Lowassa.
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa na Mgombea Mweza
wake, Dkt. Juma Haji Duni wakiwa kwenye ofisi za Jaji wa Mahakama ya
Tanzania, Jaji Suleiman Said Komu (mbele) wakati wa kusaini fomu za hati
ya Kiapo, leo Agosti 19, 2015. Kulia ni Mwanasheria wa CHADEMA, Mh.
Mabele Marando.
 
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama cha
Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akipokea fomu za
hati ya Kiapo kutoka kwa Jaji wa Mahakama ya Tanzania, Jaji Suleiman
Said Komu.
 
Mgombea mwenza wa urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia
Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Dkt. Juma Haji Duni
akipokea fomu za hati ya Kiapo kutoka kwa Jaji wa Mahakama ya Tanzania,
Jaji Suleiman Said Komu. Kulia ni Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano
wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama hicho, Mh. Edward Lowassa.
 

Dkt John Pombe Magufuli alipotambulishwa kwa wazee wa Dar es salaam ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam

August 19, 2015

 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahma Kinana alipokuwa anawasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Makamu wa Mwenyekiti wa CCM (Bara) Ndg Philip Mangula alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Mkuu wa Mkoa wa Dar es salam Mhe Saidi Meck Sadick alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akilakiwa na Kamanda wa Kanda Maalum ya Dar es salaam Suleiman Kova  alipowasili kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli 
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan  
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mwenyekiti wa UWT Mhe Sophia Simba
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mama Masaburi
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Meya wa jiji la Dar es salaam Dkt Masaburi
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wana CCM
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na mkereketwa wa CCM
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wakereketwa wa CCM
 Sehemu ya umati wa maelfu ya wananchi wa Dar es salaam kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
  Sehemu ya umati wa maelfu ya wananchi wa Dar es salaam kwenye hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
 Kila mtu alikuwa na kamera yake ya simu kurekodi hafla ya kumtambulisha mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli katika ukumbi wa Diamond Jubilee jijini Dar es salaam Jumatano Agosti 19, 2015
 Wabunge watarajiwa wa Dar es salaam 
 Sehemu ya umati
 Sehemu ya umati

 Sehemu ya umati

 Sehemu ya umati

 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Mikono juu
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Nyomi ya wana CCM wa Dar es salaam
 Wanahabari kazini
 Mwenyekiti wa Wenyeviti wa CCM Ndg Ramadhani Madabida akisalimia umati
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimia umati
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea
 Msanii nyota wa Bongo Fleva Inspekta Haroun alikuwepo pia
Nyomi
 Wana CCM kila pembe ya ukumbi
 Diwani Kitwana Manara Popat na wajumbe wenzie
 Wabunge wa Dar es salaam
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiendelea kuongea
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisisitiza jambo
  Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akimtambulisha mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan
 Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan akisalima wananchi
 Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan akiongea
 Pongezi kwa Mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan 
 JK akimualika Dkt Magufuli
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akiongea
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati
 Mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli akisalimia umati
 Pongezi kwa mgombea wa Urais wa CCM Dkt John Pombe Magufuli baada ya kuogea 
 Meza kuu
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Dkt Magufuli  na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana 
 Mwenyekiti wa CCM Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiongea na Dkt Magufuli  na Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana 
 Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akiongea 
 Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akiongea 

 Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akipongezwa na Dkt Magufuli
 Mwenyekiti wa wazee wa Dar es salaam akipongezwa na mgombea mwenza Mhe Samia Suluhu Hassan
 Meza kuu
Kwaherini na asante sana
Click here to Reply, Reply to all, or Forward 8.01 GB (53%) of 15 GB used Manage Terms - Privacy Last account activity: 12 hours ago Details 110 more MUHIDIN MICHUZI's profile photo MUHIDIN MICHUZI