DKT MAHERA AFUNGUA MKUTANO WA MADAKTARI WA KINYWA NA MENO NCHINI ATOA AGIZO KWA VYUO VYA AFYA NCHINI

November 20, 2023

 

Naibu Katibu Mkuu Ofisi ya Rais Tamisemi anayeshughulikia Afya Dkt Wilson Mahera akizungumza wakati akifungua mkutano wa madaktari wa kinywa na meno leo katika Ukumbi wa Halmashauri ya Jiji la Tanga kulia ni Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Kinywa na Meno kutoka Wizara ya Dkt Baraka Nzobo wa pili kushoto ni Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo
Mganga Mkuu wa Mkoa wa Tanga Dkt Japhet Simeo akizungumza wakati wa mkutano huo
Mkurugenzi Msaidizi wa Huduma za Kinywa na Meno kutoka Wizara ya Dkt Baraka Nzobo akizungumza wakati wa mkutano huo
Sehemu ya Washiriki wa kikao hicho