Imewekwa leo Desemba 19 2013 saa 10:54 Asubuhi.Na Makongoro Oging’
MASIKU Mbaraka Mwishehe ametiwa mbaroni na Jeshi la Polisi Kinondoni,
Dar es Salaam kwa madai ya kuwashambulia kwa kisu watu wawili wa familia
moja.
Tukio hili lilitokea hivi karibuni Mwananyamala Kisiwani, Dar ambapo kwa mujibu wa taarifa ya kipolisi, mtuhumiwa huyo alikutwa ndani ya nyumba ya Nelson Ainea Shoo, saa kumi na moja alfajiri.
Akizungumza na Amani, mke wa Nelson aliyejitambulisha kwa jina la Neema Hamis Zame (32), alikuwa na haya ya kusema:
“Siku ya tukio, ilikuwa alfajiri kabla hatujaamka, ghafla nilimsikia shemeji yangu aitwaye Goodluck (Ainea Shoo) akipiga kelele na kusema: ‘Kaka kuna mwizi.’ Mume wangu aliamka akatoka kuelekea sebuleni na mimi nilikuwa nyuma yake.
Tukio hili lilitokea hivi karibuni Mwananyamala Kisiwani, Dar ambapo kwa mujibu wa taarifa ya kipolisi, mtuhumiwa huyo alikutwa ndani ya nyumba ya Nelson Ainea Shoo, saa kumi na moja alfajiri.
Akizungumza na Amani, mke wa Nelson aliyejitambulisha kwa jina la Neema Hamis Zame (32), alikuwa na haya ya kusema:
“Siku ya tukio, ilikuwa alfajiri kabla hatujaamka, ghafla nilimsikia shemeji yangu aitwaye Goodluck (Ainea Shoo) akipiga kelele na kusema: ‘Kaka kuna mwizi.’ Mume wangu aliamka akatoka kuelekea sebuleni na mimi nilikuwa nyuma yake.