Na Oscar Assenga,Tanga
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kata ya Mwanzange jijini Tanga,Said Bakari amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya kuchoshwa na sera zisizotekelezeka ndani ya chama chake ambazo hazina mashiko.
Uamuzi huo aliutangaza katika mkutano wa hadhara uliofanyika juzi wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kata hiyo ulikuwa ukihutubiwa na Mwenyekiti wa cha Mapinduzi wilaya ya Tanga,Kassim Mbughuni ambao aliambatana na viongozi wengine wa chama hicho.
Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa kati kwenye mkutano huo,Bakari alisema awali alijiunga na chadema akitokea chama cha mapinduzi akidhani chama hicho kina mashiko na wananchi badala yake mambo aliyoyakuta hayakuwa kama alivyotarajia.
Aliyekuwa Mwenyekiti wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo kata ya Mwanzange jijini Tanga,Said Bakari amejiunga na Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa madai ya kuchoshwa na sera zisizotekelezeka ndani ya chama chake ambazo hazina mashiko.
Uamuzi huo aliutangaza katika mkutano wa hadhara uliofanyika juzi wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika kata hiyo ulikuwa ukihutubiwa na Mwenyekiti wa cha Mapinduzi wilaya ya Tanga,Kassim Mbughuni ambao aliambatana na viongozi wengine wa chama hicho.
Akizungumza mara baada ya kukabidhiwa kati kwenye mkutano huo,Bakari alisema awali alijiunga na chadema akitokea chama cha mapinduzi akidhani chama hicho kina mashiko na wananchi badala yake mambo aliyoyakuta hayakuwa kama alivyotarajia.