BALOZI MDOGO WA INDIA NA MWAKILISHI WA (WHO) WAMUAGA RAIS WA ZANZIBAR DKT. SHEIN
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akisalimiana na Mwakilishi wa Shirika la Afya Duniani (WHO) anefanyia
kazi Zanzibar Dk.Pierre Kahozi,leo alifika Ikulu Mjini Zanzibar kumuaga
Rais baada ya kumaliza muda wake wa Kazi.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akizungumza na Balozi Mdogo wa India anefanyika kazi Zanzibar Pawan
Kumar,alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi kumuaga Rais baada ya
kumaliza muda wake wa kazi.
Rais
wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein
akiagana na Balozi Mdogo wa India anefanyika kazi Zanzibar Pawan
Kumar,baada ya mazungumzo yao alipofika Ikulu Mjini Zanzibar leo asubuhi
kumuaga Rais baada ya kumaliza muda wake wa kazi. Picha na Ramadhan Othman IKulu.