Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakimkabidhi mashine
ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine) Ichaji
wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota
Ndendeje (mwenye nguo nyeupe) walipotembelea wagonjwa waliolazwa katika
Wodi ya Watoto Hospitalini hapo juzi. Vifaa vingine vilivyokabidhiwa ni
ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto,
mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital
thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds,
miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto
wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na
chama. Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Hazina wa jijini Dar es Salaam
wakimkabidhi baadhi ya misaada Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya
Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje (katikati) walipotembelea
wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili
juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia
mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa
ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya
kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer
14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za
miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi
nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama. Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakibeba ma boksi ya
seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito kwa ajili ya kuwagawia
wajawazito wanaopokelewa katika Wodi ya Wazazi Hospitali ya Sinza,
Parestina walipotembelea hospitali hiyo juzi. Jumla ya Seti 100 za vifaa
hivyo vilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara
jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika. Mkuu
wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia)
akimkabidhi mmoja wa wajawazito seti ya vifaa vya kujifungulia
alipotembelea Wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Sinza, Parestina juzi
jijini Dar es Salaam Meneja
Bidhaa wa Benki ya NMB, Beatrice Mwambije akimkabidhi mmoja wa
wajawazito seti ya vifaa vya kujifungulia alipotembelea Wodi ya Wazazi
katika Hospitali ya Sinza, Parestina juzi jijini Dar es Salaam. Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara (kulia) jijini Dar
es Salaam wakikabidhi seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito
walipotembelea Wodi ya Wazazi Hospitali ya Sinza, Parestina juzi Dar es
Salaam. Mkuu
wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia)
akipokea neno la shukrani toka kwa mmoja wa wagonjwa katika Hospitali ya
Sinza, Parestina mara baada ya kutoa misaada. Mkuu
wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (wa tatu
kushoto) akikabidhi Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Sinza, Parestina,
Bi. Agness Mgaya (kulia) baadhi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa
wajawazito. Katikati akishukuru ni Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza,
Dk. Kayola Chrispin. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na
Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na
kugawiwa kwa wahusika. Mkuu
wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia)
akikabidhi Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Sinza, Parestina, Bi. Agness
Mgaya (kushoto) baadhi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa
wajawazito. Katikati akishuhudia ni Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya
Sinza, Dk. Kayola Chrispin. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa
na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam
na kugawiwa kwa wahusika. Mkuu
wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia)
akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza, Dk. Kayola Chrispin
(wa pili kulia mbele) sehemu ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa
wajawazito. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na Wafanyakazi
wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa
kwa wahusika. Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakiwa wamebeba
sehemu ya misaada waliotoa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa
Muhimbili. Ichaji
wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota
Ndendeje (kulia) akiwashukuru sehemu ya wafanyakazi wa Benki ya NMB
Kitengo cha Hazina mara baada ya kukabidhi misaada na zawadi kwa
wagonjwa walipotembelea wodi hiyo. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni
pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri
(Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo
na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer
machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline,
cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa
kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice,
biscuits na chama. Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Hazina wa jijini Dar es Salaam
wakikabidhi baadhi ya misaada kwa Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali
ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje walipotembelea wagonjwa
waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina waliotembelea
wagonjwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili na kutoa
misaada na zawadi kwa wagonjwa katika picha ya pamoja na vifaa vyao Mmoja
wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina (kushoto)
akiwakabidhi zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika
Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Mmoja
wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina akiwakabidhi zawadi
mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya Watoto
Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni
pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri
(Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo
na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer
machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline,
cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa
kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice,
biscuits na chama. Baadhi
ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina (kulia) wakiwakabidhi
zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya
Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada
iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua
vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya
masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu
(Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya
vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa
za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi,
juice, biscuits na chama. Mmoja
wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina akisalimiana na
baadhi ya watoto wanaotibiwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya
Taifa Muhimbili juzi walipotembelea wagonjwa hospitalini hapo.
AFRICA DIGITAL BANKING SUMMIT WILL BE HELD ON 13TH & 14TH APRIL, 2016 AT JNICC, DAR ES SALAAM
Africa Digital Banking Summit will be held on 13th & 14th April, at Julius Nyerere International Convention Centre, Dar es Salaam from 8.30am- 4.30pm.
Topics that will be discussed:
1. E- commerce/M-commerce in East Africa,
2. Mobile Money & Digital Payment,
3. Payment Security & Regulation ,
4. The Future of Mobile Money & Digital Platforms.
Guest of Honour: Dr. Ashatu Kijaji, Assistant Minister, Ministry of Finance. Speakers include: Mr. Bernard Dadi, Director, National Payment System, Bank of Tanzania, Kelvin Twissa, Telecommunications Expert, Imeke Bassemaker, CEO, NMB, Sameer Hirji, Executive Director, Selcom Tanzania. Visit www.africadbs.com for registration detail
--
----
Cathbert Angelo Kajuna,
Founder and Mananging Director
Kajunason Blog,
P.O Box 6482,
Dar es Salaam.
Tel: +255 787 999 774
Alt: +255 765 253 445
www.kajunason.blogspot.com
"Everything is Possible Through Peace & Stability''RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI WA TAASISI YA TAKUKURU PAMOJA NA HUNDI KIFANI YA SH. BILIONI 6 KUTOKA BUNGE BAADA YA KUBANA MATUMIZI
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya Mwaka ya utendaji wa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kutoka kwa
Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Kamishna Valentino Mlowola Ikulu jijini
Dar es Salaam.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameishika Taarifa ya Mwaka ya utendaji wa
Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mara baada ya
kukabidhiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Kamishna Valentino
Mlowola Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hundi Kifani yenye thamani ya Shilingi
Bilioni Sita kutoka kwa Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson mara baada ya
Taasisi ya Bunge kutekeleza kwa vitendo kauli ya kubana matumizi yasio
na Tija ili fedha hizo zikanunulie madawati kwa ajili ya wanafunzi.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akiitazama Hundi Kifani yenye thamani ya
Shilingi Bilioni Sita mara baada ya kukabidhiwa na Naibu Spika Dkt.
Tulia Ackson mara baada ya Bunge kutekeleza kwa vitendo kauli ya kubana
matumizi ili fedha hizo zikatumike kwa ajili ya ununuzi wa madawati kwa
ajili ya wanafunzi.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson kulia,
Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilillah pamoja na wafanyakazi wengine wa
Bunge wakiwa wameishika hundi Kifani hiyo yenye thamani ya Shilingi
Bilioni Sita. Rais Dkt. Magufuli ameipongeza Taasisi ya Bunge kutokana
na hatua hiyo ya kubana matumizi na kuamua fedha zao zitumike katika
kununulia madawati kwa ajili ya wanafunzi.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson
kabla ya kukabidhiwa hundi kifani yenye thamani ya Shilingi Bilioni
Sita.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika tukio hilo la upokeaji wa
Taarifa yaUtendaji wa TAKUKURU pamoja na upokeaji wa Hundi Kifani
kutoka Taasisi ya Bunge Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo katika Hotuba yake ambayo pia
alitengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ane Kilango Malecela
ambaye alikubali kutoa taarifa ambazo si sahihi kuwa Mkoa wa Shinyanga
hauna watumishi hewa, japo katika uhakiki uliofanyika mara baada ya
taarifa hiyo kumebainika kuwa kuna zaidi ya watumishi 45 ambao ni hewa.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Katibu Mkuu Kiongozi
Balozi Mhandisi John Kijazi pamoja na Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi,
Utumishi na Utawala bora Angela Kairuki Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu
Kiongozi Mhandisi John Kijazi wapili kulia, Dkt. Tulia Ackson wakwaza
kulia, Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilillah wakwanza kushoto,
Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna Valentino Mlowola Ikulu Jijini Dar
es Salaam.
Rais
Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi
Mhandisi John Kijazi Taarifa ya Mwaka ya utendaji kazi wa Taasisi ya
Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Ikulu jijini Dar es Salaam.
Baadhi
ya Viongozi wa juu wa Jeshi la Magereza pamoja na Jeshi la Kujenga
Taifa JKT wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya
Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyokuwa akiyatoa Ikulu
jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.
KIWANDA CHA KARATASI MUFINDI KUTOZWA FAINI YA SHILINGI MILIONI ISHIRINI KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA
Pichani kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Bw. Jowika
Kasunga akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi Mazingira
na Muungano Mh. Luhaga Mpina (kushoto) wa namna ambavyo wilaya imeelekeza
Kiwanda cha Mbao cha Sao Hill na Green Resources Limited cha Mufindi
kutunza Mazingira, (katikati) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda hicho
Bi Roselyne Mariki.
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira
Mh. Luhaga Mpina akiangalia kipande cha gogo ambacho ni moja ya waste product
(taka) inayotoka katika kiwanda cha Sao Hill and Green Resources Limited
baada ya uzalishaji wa mbao na nguzo ambayo taka hiyo ya gogo pia hutumika
kutengenezea gundi. (Kushoto) Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira akitoa maelekezo kwa uongozi wa kiwanda cha Sao Hill and Green Resources Limited, wa namna ya kuondosha taka za nguzo (hazipo pichani) zilizozagaaa katika eneo la kiwanda hicho..alipofanya ziara ya viwanda, ukaguzi wa usafi wa mazingira na kupanda miti Mkoani Iringa leo.
EVELYN MKOKOI
MUFINDI
10/4/2016
Kiwanda cha kuzalisha karatasi cha Mufindi Paper Mills kilichopo wilayani Mufindi
Mkoani Iringa, kimetozwa faini ya shilingi milioni ishirini kwa kukiuka
sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake.
Faini hiyo inayotakiwa kulipwa katika kipindi kisichozidi wala kupungua
wiki mbili imetokana na ukiukwaji wa sheria ya mazingira kwa utiririshaji
wa kemikali hatarishi kwa viumbe hai na mazingira katika mto kigogo,
na maeneo ya jirani na vijiji vinavyo uzunguka mto huo.
Akimfafanulia Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira
Mh. Luhaga Mpina alipofanya ziara kiwandani hapo, Mratibu wa Baraza
la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kanda ya Nyanda
za Juu kusini. Bw. Godlove Mwaisojo, ameeleza kuwa moshi, vumbi na majitaka
yanayotoka katika mitambo ya kiwanda hicho baada ya uzalishaji wa karatasi,
yamezidi viwango vya sheria kwa kuwa na kemikali hatarishi kwa baiyonuwahi
na mazingira na hivyo Baraza limekuwa likielekza mara kadhaa uongozi
wa kiwnda hicho kurebisha mfumo wa utoaji taka bila utekelezaji wa aina
yoyote.
Bw. Mwamsojo alimueleza Mh Naibu Waziri Mpina Kuwa, kiwanda hicho
kimeshauriwa na baraza kuhakiki ubora wa hali wa hewa, na mitambo yao
ya uzalishaji lakini kilikaidi.
Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Bw. Jowika Kasunga, amemueleza
Mh. Naibu Waziri Mpina kuwa, pamoja na ukiukwaji wa utekelezaji wa sheria
ya mazingira unaofanywa na kiwanda hicho, pia menejimenti ya kiwanda
hicho imekuwa na mgogoro mkubwa wa ardhi na mahusiano mabaya
na wanakijiji wanaozunguka kiwanda hicho, na kuwa karibia hekta elfu
kumi na nne za misitu zilizopo katika eneo hilo, zipo katika mgogoro
wa muda mrefu baina ya wanakijiji na muwekezaji huyo, ambapo mgogoro
huo umepelekea eneo hilo kutotumika na wanakijiji wala muwekezaji huyo.
Mh. Naibu Waziri Mpina, ameutaka uongozi wa mkoa wa Iringa kwa kushirikiana
na wizara husika kutatua mgogoro huo wa ardhi, ili uzalishaji wa rasilimali
ya misitu uendelee kwa manufaa ya taifa.
Kwa upande wake Mkuregenzi Mtendaji wa kiwanda hicho Bw. CHOUDARY kutoka barani Asia, alikubaliana
na adhabu hiyo na kuhaidi kurekebisha mitambo ya uzalishaji katika kiwanda
hicho kwa kipindi kisichozidi wiki mbili.
Ziara ya Naibu Waziri Mpina, pia ilihusisha ukaguzi wa mazingira katika
kiwanda cha uzalishaji mbao,nguzo na nishati cha Sao Hill and Green
Resources Limited, cha Mjini Mufindi na kujionea namna ambavyo kiwanda
hicho kinavyokabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia nchi
kwa kumiliki mashamba makubwa ya misitu katika vijiji vya Mapanda na
Achimbile, na kufanya biashara ya hewa ukaa.
WANAWAKE WAFANYABIASHARA MASOKONI WATAKIWA KUWA CHACHU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KATIKA MAENEO YAO YA BIASHARA
Mwenyekiti wa Soko la Kisutu Tamimu Chande akizungumza katika Kampeni ya Kuongeza uelewa wa kupinga ukatili wa Kijinsia katika Soko la Kisutu Dar es Salaam leo asubuhi. Kampeni hiyo inaendeshwa na Shirika la Eqiuality for Growth (EfG).
Mmoja wa kiongozi wa Soko la Kisutu akifungua mkutano wa kampeni hiyo.
Meneja wa Mradi huo kutoka Shirika la Equality for Growth, Grace Mateh akizungumza kwenye kampeni hiyo.
Mfanyabiashara wa Soko hilo, Bazalo Tazoni akizungumza katika kampeni hiyo.
Ofisa Maendeleo wa Kata ya Mchafukoge, Domonica Balama akizungumza katika kampeni hiyo.
Mfanyabiashara katika Soko hilo, Charles Mloka akichangia jambo kwenye kampeni hiyo kuhusu wanawake wafanyabiashara kujitambua kuhusu ukatili wa jinsia masokoni.
Mfanyabiashara Godfred Kijange akichangia kuhusu wanawake kuwa chanzo cha ukatili wa kijinsia.
Katibu wa Soko la Kisutu, Suitebet Nyawalle akizungumzia kuhusu vitendo vya ukatili masokoni.
Katibu wa Soko la Kisutu, Suitebet Nyawalle akiserebuka na wasanii wa kundi la machozi katika kampeni hiyo.
Wasanii wa kundi la machozi wakitoa burudani katika kampeni hiyo.
Taswira katika kampeni hiyo.
Burudani zaidi kutoka kundi la machozi zikiendelea hapo ni Babu na Bibi wakifanya vitu vyao.
Igizo la kupinga ukatili wa kijinsia kutoka kundi la machozi likifanyika.
Mfanyabiashara wa Soko hilo Editha Mtembei akichangia jambo.
Vijana wakishangia kwenye kampeni hiyo.
Picha ya pamoja kati ya viongozi wa soko hilo na viongozi kutoka EfG.
Tigo waadhimisha siku ya Karume day na wateja wake
photo Krantz Mwanteple C.E.O & Founder, MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA Phone: +255-712579102 /+255-767392840 Email: krantzcharles@gmail.com Website: www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com Whatsapp: 0712579102 "HABARI MAKINI KWA WATU MAKINI"
UKATILI WA KINSIA SOKO LA TABATA MUSLIM JIJINI DAR ES SALAAM WAPUNGUA KWA MSAADA WA SHIRIKA LA EfG.
Msaidizi wa kisheria katika soko la Tabata Muslim, Aisha Juma akizungumza wakati akifungua tamasha la kuongezea uelewa kuhusu kupinga ukatili wa kijinsia masokoni lililofanyika mwishoni mwa wiki Soko la Tabata Muslim jijidi Dar es Salaam ambapo ilielezwa kupungua kwa vitendo vya ukatili katika soko hilo. Upunguaji wa vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia umetokana na elimu iliyotolewa na wasaidizi hao wa kisheria kwa msaada wa Shirika la Equality for Growth (EfG)
Msaidizi wa kisheria katika soko hilo, Irene Daniel akielezea kupungua kwa vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia katika soko hilo kutokana na msaada wa wasaidizi hao wa kisheria masokoni waliowezeshwa na Shirika la EfG.
Msaidi wa kisheria katika soko hilo akichangia jambo.
Ofisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Shirika la EfG, Mr Shabani akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya ukatili wa kijinsia masokoni.
Wasanii wa Kundi la Machozi lenye maskani yake Temeke jijini Dar es Salaam wakitoa burudani kwenye tamasha hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki viwanja vya Soko la Tabata Muslim.
Burudani zikiendelea katika viwanja hivyo.
Mpiga picha wa EfG akipiga mzigo katika tamasha hilo.
Watoto nao walikuwepo kushuhudia burudani za tamasha hilo.
Katibu wa Soko hilo, John Nombo (kushoto), akichangia jambo kwenye tamasha hilo. Kulia ni Mratibu wa Tamsha hilo,Bibi Grace kutoka Shirika la EfG.
Baunsa wa kujitolea wa Tamasha hilo naye alishindwa kuvumilia midundo ya ngoma iliyokuwa ikitolewa na kundi la Machozi ambapo alijikuta akiingia uwanjani naye kufanya vitu vyake kama anavyoonekana.
Wananchi wakifuatilia tamasha hilo.
Mkazi wa Tabata, Mwahija Rajab akichangia jambo kuhusu ukatili wa kijinsia.
Burudani kutoka kundi la machozi zikiendelea.
Taswira ya jukwaa kuu katika tamasha hilo.
Wageni waalikwa na wasaidizi wa kisheria katika soko hilo na viongozi wa Shirika la Equality for Growth (EfG), wakiwa katika picha ya pamoja.
Subscribe to:
Posts (Atom)