Wafanyakazi NMB Wasaidia Wagonjwa Muhimbili na Sinza Hospitali

Wafanyakazi NMB Wasaidia Wagonjwa Muhimbili na Sinza Hospitali

April 11, 2016


Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakimkabidhi mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine) Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje (mwenye nguo nyeupe) walipotembelea wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitalini hapo juzi. Vifaa vingine vilivyokabidhiwa ni ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama. Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakimkabidhi mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine) Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje (mwenye nguo nyeupe) walipotembelea wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitalini hapo juzi. Vifaa vingine vilivyokabidhiwa ni ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama.Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Hazina wa jijini Dar es Salaam wakimkabidhi baadhi ya misaada Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje (katikati) walipotembelea wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama. Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Hazina wa jijini Dar es Salaam wakimkabidhi baadhi ya misaada Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje (katikati) walipotembelea wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama.Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakibeba ma boksi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito kwa ajili ya kuwagawia wajawazito wanaopokelewa katika Wodi ya Wazazi Hospitali ya Sinza, Parestina walipotembelea hospitali hiyo juzi. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo vilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.  Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakibeba ma boksi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito kwa ajili ya kuwagawia wajawazito wanaopokelewa katika Wodi ya Wazazi Hospitali ya Sinza, Parestina walipotembelea hospitali hiyo juzi. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo vilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akimkabidhi mmoja wa wajawazito seti ya vifaa vya kujifungulia alipotembelea Wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Sinza, Parestina juzi jijini Dar es Salaam. Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akimkabidhi mmoja wa wajawazito seti ya vifaa vya kujifungulia alipotembelea Wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Sinza, Parestina juzi jijini Dar es SalaamMeneja Bidhaa wa Benki ya NMB, Beatrice Mwambije akimkabidhi mmoja wa wajawazito seti ya vifaa vya kujifungulia alipotembelea Wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Sinza, Parestina juzi jijini Dar es Salaam.  Meneja Bidhaa wa Benki ya NMB, Beatrice Mwambije akimkabidhi mmoja wa wajawazito seti ya vifaa vya kujifungulia alipotembelea Wodi ya Wazazi katika Hospitali ya Sinza, Parestina juzi jijini Dar es Salaam. Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara (kulia) jijini Dar es Salaam wakikabidhi seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito walipotembelea Wodi ya Wazazi Hospitali ya Sinza, Parestina juzi Dar es Salaam.  Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara (kulia) jijini Dar es Salaam wakikabidhi seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito walipotembelea Wodi ya Wazazi Hospitali ya Sinza, Parestina juzi Dar es Salaam.Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akipokea neno la shukrani toka kwa mmoja wa wagonjwa katika Hospitali ya Sinza, Parestina mara baada ya kutoa misaada. Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akipokea neno la shukrani toka kwa mmoja wa wagonjwa katika Hospitali ya Sinza, Parestina mara baada ya kutoa misaada.Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (wa tatu kushoto) akikabidhi Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Sinza, Parestina, Bi. Agness Mgaya (kulia) baadhi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito. Katikati akishukuru ni Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza, Dk. Kayola Chrispin. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.  Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (wa tatu kushoto) akikabidhi Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Sinza, Parestina, Bi. Agness Mgaya (kulia) baadhi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito. Katikati akishukuru ni Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza, Dk. Kayola Chrispin. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akikabidhi Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Sinza, Parestina, Bi. Agness Mgaya (kushoto) baadhi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito. Katikati akishuhudia ni Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza, Dk. Kayola Chrispin. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.  Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akikabidhi Muuguzi Mfawidhi wa Hospitali ya Sinza, Parestina, Bi. Agness Mgaya (kushoto) baadhi ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito. Katikati akishuhudia ni Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza, Dk. Kayola Chrispin. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza, Dk. Kayola Chrispin (wa pili kulia mbele) sehemu ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.  Mkuu wa Kitengo cha Biashara wa Benki ya NMB, James Meitaron (kulia) akimkabidhi Kaimu Mganga Mkuu Hospitali ya Sinza, Dk. Kayola Chrispin (wa pili kulia mbele) sehemu ya seti za vifaa vya kujifungulia kwa wajawazito. Jumla ya Seti 100 za vifaa hivyo zilitolewa na Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Biashara jijini Dar es salaam na kugawiwa kwa wahusika.Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakiwa wamebeba sehemu ya misaada waliotoa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili. Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina wakiwa wamebeba sehemu ya misaada waliotoa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili.Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje (kulia) akiwashukuru sehemu ya wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina mara baada ya kukabidhi misaada na zawadi kwa wagonjwa walipotembelea wodi hiyo. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama. Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje (kulia) akiwashukuru sehemu ya wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina mara baada ya kukabidhi misaada na zawadi kwa wagonjwa walipotembelea wodi hiyo. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama.Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Hazina wa jijini Dar es Salaam wakikabidhi baadhi ya misaada kwa Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje walipotembelea wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Hazina wa jijini Dar es Salaam wakikabidhi baadhi ya misaada kwa Ichaji wa Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili, Sista Devota Ndendeje walipotembelea wagonjwa waliolazwa katika Wodi ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi.Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina waliotembelea wagonjwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili na kutoa misaada na zawadi kwa wagonjwa katika picha ya pamoja na vifaa vyao. Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina waliotembelea wagonjwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili na kutoa misaada na zawadi kwa wagonjwa katika picha ya pamoja na vifaa vyaoMmoja wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina (kushoto) akiwakabidhi zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi.  Mmoja wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina (kushoto) akiwakabidhi zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi.Mmoja wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina akiwakabidhi zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama. Mmoja wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina akiwakabidhi zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama.Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina (kulia) wakiwakabidhi zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama. Baadhi ya Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina (kulia) wakiwakabidhi zawadi mbalimbali baadhi ya wangonjwa waliolazwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi. Miongoni mwa misaada iliyotolewa ni pamoja na mashine ya kumsaidia mtoto anayeshindwa kupumua vizuri (Suction Machine), ENT Seti mbili kwa ajili ya vipimo vya masikio, koo na pua kwa watoto, mashine ya kuwasaidia watoto wenye pumu (Nebulizer machine), Digital thermometer 14, pampers, sabuni, mafuta ya vaseline, cotton buds, miswaki na dawa za miswaki, toilet papers, chupa za maziwa kwa watoto wachanga na zawadi nyingine kwa watoto kama pipi, juice, biscuits na chama.Mmoja wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina akisalimiana na baadhi ya watoto wanaotibiwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi walipotembelea wagonjwa hospitalini hapo.  Mmoja wa Wafanyakazi wa Benki ya NMB Kitengo cha Hazina akisalimiana na baadhi ya watoto wanaotibiwa katika Wodi 'A' ya Watoto Hospitali ya Taifa Muhimbili juzi walipotembelea wagonjwa hospitalini hapo.

AFRICA DIGITAL BANKING SUMMIT WILL BE HELD ON 13TH & 14TH APRIL, 2016 AT JNICC, DAR ES SALAAM

April 11, 2016

 Africa Digital Banking Summit will be held on 13th & 14th April, at Julius Nyerere International Convention Centre, Dar es Salaam from 8.30am- 4.30pm. 
Topics that will be discussed: 
1. E- commerce/M-commerce in East Africa,
2. Mobile Money & Digital Payment, 
3. Payment Security & Regulation , 
4. The Future of Mobile Money & Digital Platforms. 
Guest of Honour: Dr. Ashatu Kijaji, Assistant Minister, Ministry of Finance. Speakers include: Mr. Bernard Dadi, Director, National Payment System, Bank of Tanzania, Kelvin Twissa, Telecommunications Expert, Imeke Bassemaker, CEO, NMB, Sameer Hirji, Executive Director, Selcom Tanzania. Visit www.africadbs.com for registration detail
-- ---- Cathbert Angelo Kajuna, Founder and Mananging Director Kajunason Blog, P.O Box 6482, Dar es Salaam. Tel: +255 787 999 774 Alt: +255 765 253 445 www.kajunason.blogspot.com "Everything is Possible Through Peace & Stability''

RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA MWAKA YA UTENDAJI WA TAASISI YA TAKUKURU PAMOJA NA HUNDI KIFANI YA SH. BILIONI 6 KUTOKA BUNGE BAADA YA KUBANA MATUMIZI

April 11, 2016

Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya Mwaka ya utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) kutoka kwa Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Kamishna Valentino Mlowola Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa ameishika Taarifa ya Mwaka ya utendaji wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) mara baada ya kukabidhiwa na Mkurugenzi Mkuu wa Taasisi hiyo Kamishna Valentino Mlowola Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Hundi Kifani yenye thamani ya Shilingi Bilioni Sita kutoka kwa Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson mara baada ya Taasisi ya Bunge kutekeleza kwa vitendo kauli ya kubana matumizi yasio na Tija ili fedha hizo zikanunulie madawati kwa ajili ya wanafunzi.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiitazama Hundi Kifani yenye thamani ya Shilingi Bilioni Sita mara baada ya kukabidhiwa na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson mara baada ya Bunge kutekeleza kwa vitendo kauli ya kubana matumizi ili fedha hizo zikatumike kwa ajili ya ununuzi wa madawati kwa ajili ya wanafunzi.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson kulia, Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilillah pamoja na wafanyakazi wengine wa Bunge wakiwa wameishika hundi Kifani hiyo yenye thamani ya Shilingi Bilioni Sita. Rais Dkt. Magufuli ameipongeza Taasisi ya Bunge kutokana na hatua hiyo ya kubana matumizi na kuamua fedha zao zitumike katika kununulia madawati kwa ajili ya wanafunzi.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimsikiliza Naibu Spika Dkt. Tulia Ackson kabla ya kukabidhiwa hundi kifani yenye thamani ya Shilingi Bilioni Sita.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza katika tukio hilo la upokeaji wa Taarifa yaUtendaji wa TAKUKURU pamoja na upokeaji wa Hundi Kifani kutoka Taasisi ya Bunge Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akisisitiza jambo katika Hotuba yake ambayo pia alitengua uteuzi wa Mkuu wa Mkoa wa Shinyanga Ane Kilango Malecela ambaye alikubali kutoa taarifa ambazo si sahihi kuwa Mkoa wa Shinyanga hauna watumishi hewa, japo katika uhakiki uliofanyika mara baada ya taarifa hiyo kumebainika kuwa kuna zaidi ya watumishi 45 ambao ni hewa.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akizungumza jambo na Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi pamoja na Waziri wa Ofisi ya Rais Tamisemi, Utumishi na Utawala bora Angela Kairuki Ikulu jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika picha ya pamoja na Katibu Mkuu Kiongozi Mhandisi John Kijazi wapili kulia, Dkt. Tulia Ackson wakwaza kulia, Katibu wa Bunge Dkt. Thomas Kashilillah wakwanza kushoto, Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Kamishna Valentino Mlowola Ikulu Jijini Dar es Salaam.
Rais Dkt. John Pombe Magufuli akimkabidhi Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Mhandisi John Kijazi Taarifa ya Mwaka ya utendaji kazi wa Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Ikulu jijini Dar es Salaam.
Baadhi ya Viongozi wa juu wa Jeshi la Magereza pamoja na Jeshi la Kujenga Taifa JKT wakisikiliza kwa makini maelekezo ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli aliyokuwa akiyatoa Ikulu jijini Dar es Salaam. PICHA NA IKULU.

KIWANDA CHA KARATASI MUFINDI KUTOZWA FAINI YA SHILINGI MILIONI ISHIRINI KWA UCHAFUZI WA MAZINGIRA

April 11, 2016


Pichani kushoto Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Bw. Jowika Kasunga akitoa ufafanuzi kwa Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi Mazingira na Muungano Mh. Luhaga Mpina (kushoto) wa namna ambavyo wilaya imeelekeza Kiwanda cha Mbao cha Sao Hill na Green Resources Limited cha Mufindi kutunza Mazingira, (katikati) ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kiwanda hicho Bi Roselyne Mariki.
 Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mh. Luhaga Mpina akiangalia kipande cha gogo ambacho ni moja ya waste product  (taka) inayotoka katika kiwanda cha Sao Hill and Green Resources Limited  baada ya uzalishaji wa mbao na nguzo ambayo taka hiyo ya gogo pia hutumika kutengenezea gundi.
 (Kushoto) Naibu Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira akitoa maelekezo kwa uongozi wa kiwanda cha Sao Hill and Green Resources Limited, wa namna ya kuondosha taka za nguzo (hazipo pichani) zilizozagaaa katika eneo la kiwanda hicho..alipofanya ziara ya viwanda, ukaguzi wa usafi wa mazingira na kupanda miti Mkoani Iringa leo.

Katikati Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Bw. Jonika Kasuga akimueleza Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Mh. Luhaga Mpina kuhusu uondoshwaji wa taka za mbao aina  ya chips zinazozalishwa na kiwanda cha Mbao cha Sao Hill and Green Resource Limited zinavyweza kutumika katika jamii kama nishati, pembeni kulia ni lundo la taka hizo.
(Picha zote na Evelyn Mkokoi wa Ofisi ya Makamu wa Raisi)
EVELYN MKOKOI
MUFINDI
10/4/2016

Kiwanda cha kuzalisha karatasi cha Mufindi Paper Mills kilichopo wilayani Mufindi Mkoani Iringa, kimetozwa faini ya shilingi milioni ishirini kwa kukiuka sheria ya usimamizi wa mazingira ya mwaka 2004 na kanuni zake.
Faini hiyo inayotakiwa kulipwa katika kipindi kisichozidi wala kupungua wiki mbili imetokana na ukiukwaji wa sheria ya mazingira kwa utiririshaji wa kemikali hatarishi kwa viumbe hai na mazingira katika mto kigogo, na maeneo ya jirani na vijiji vinavyo uzunguka mto huo.
Akimfafanulia Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Raisi Muungano na Mazingira Mh. Luhaga Mpina alipofanya ziara kiwandani hapo, Mratibu wa Baraza la Taifa la Hifadhi na Usimamizi wa Mazingira (NEMC) kanda ya Nyanda za Juu kusini. Bw. Godlove Mwaisojo, ameeleza kuwa moshi, vumbi na majitaka yanayotoka katika mitambo ya kiwanda hicho baada ya uzalishaji wa karatasi, yamezidi viwango vya sheria kwa kuwa na kemikali hatarishi kwa baiyonuwahi na mazingira na hivyo Baraza limekuwa likielekza mara kadhaa uongozi wa kiwnda hicho kurebisha mfumo wa utoaji taka bila utekelezaji wa aina yoyote.
Bw. Mwamsojo alimueleza Mh Naibu Waziri Mpina Kuwa, kiwanda hicho kimeshauriwa na baraza kuhakiki ubora wa hali wa hewa, na mitambo yao ya uzalishaji lakini kilikaidi.
Kwa Upande wake Mkuu wa Wilaya ya Mufindi Bw. Jowika Kasunga, amemueleza Mh. Naibu Waziri Mpina kuwa, pamoja na ukiukwaji wa utekelezaji wa sheria ya mazingira unaofanywa na kiwanda hicho, pia menejimenti ya kiwanda hicho imekuwa na mgogoro mkubwa  wa ardhi na mahusiano mabaya na wanakijiji wanaozunguka kiwanda hicho, na kuwa karibia hekta elfu kumi na nne za misitu  zilizopo katika eneo hilo, zipo katika mgogoro wa muda mrefu baina ya wanakijiji na muwekezaji huyo, ambapo mgogoro huo umepelekea eneo hilo kutotumika na wanakijiji wala muwekezaji huyo.
Mh. Naibu Waziri Mpina, ameutaka uongozi wa mkoa wa Iringa kwa kushirikiana na wizara husika kutatua mgogoro huo wa ardhi, ili uzalishaji wa rasilimali ya misitu uendelee kwa manufaa ya taifa.
Kwa upande wake Mkuregenzi Mtendaji wa kiwanda hicho Bw. CHOUDARY kutoka barani Asia, alikubaliana na adhabu hiyo na kuhaidi kurekebisha mitambo ya uzalishaji katika kiwanda hicho kwa kipindi kisichozidi wiki mbili.
Ziara ya Naibu Waziri Mpina, pia ilihusisha ukaguzi wa mazingira katika kiwanda cha uzalishaji mbao,nguzo na nishati cha Sao Hill and Green Resources Limited, cha Mjini Mufindi na kujionea namna ambavyo kiwanda hicho kinavyokabiliana na athari zitokanazo na mabadiliko ya tabia nchi kwa kumiliki mashamba makubwa ya misitu katika vijiji vya Mapanda na Achimbile, na kufanya biashara ya hewa ukaa.

WANAWAKE WAFANYABIASHARA MASOKONI WATAKIWA KUWA CHACHU YA KUPINGA UKATILI WA KIJINSIA KATIKA MAENEO YAO YA BIASHARA

April 11, 2016
 Mwenyekiti wa Soko la Kisutu Tamimu Chande akizungumza katika Kampeni ya Kuongeza uelewa wa kupinga ukatili wa Kijinsia katika Soko la Kisutu Dar es Salaam leo asubuhi. Kampeni hiyo inaendeshwa na Shirika la Eqiuality for Growth (EfG).
Mmoja wa kiongozi wa Soko la Kisutu akifungua mkutano wa kampeni hiyo.
Meneja wa Mradi huo kutoka Shirika la Equality for Growth, Grace Mateh akizungumza kwenye kampeni hiyo.
Mfanyabiashara wa Soko hilo, Bazalo Tazoni akizungumza katika kampeni hiyo.
Ofisa Maendeleo wa Kata ya Mchafukoge, Domonica Balama akizungumza katika kampeni hiyo.
Mfanyabiashara katika Soko hilo, Charles Mloka akichangia jambo kwenye kampeni hiyo kuhusu wanawake wafanyabiashara kujitambua kuhusu ukatili wa jinsia masokoni.
Mfanyabiashara Godfred Kijange akichangia kuhusu wanawake kuwa chanzo cha ukatili wa kijinsia.
Katibu wa Soko la Kisutu, Suitebet Nyawalle akizungumzia kuhusu vitendo vya ukatili masokoni.
Katibu wa Soko la Kisutu, Suitebet Nyawalle akiserebuka na wasanii wa kundi la machozi katika kampeni hiyo.
Wasanii wa kundi la machozi wakitoa burudani katika kampeni hiyo.
Taswira katika kampeni hiyo.
Burudani zaidi kutoka kundi la machozi zikiendelea hapo ni Babu na Bibi wakifanya vitu vyao.
Igizo la kupinga ukatili wa kijinsia kutoka kundi la machozi likifanyika.

Mfanyabiashara wa Soko hilo Editha Mtembei akichangia jambo.
Vijana wakishangia kwenye kampeni hiyo.
Picha ya pamoja kati ya viongozi wa soko hilo na viongozi kutoka EfG.

Tigo waadhimisha siku ya Karume day na wateja wake

April 11, 2016

 Kamishna Msaidizi wa jeshi la polisi Tanzania Mkadam Khamis Mkadam,ambaye ni  Kamanda wa Polisi mkoa wa mjini Magharibi, Unguja, akimkabidhi Bi.Fauzia Mohamed Hassan mkaazi wa Fuoni zawadi kutoka Tigo katika maadhimisho ya Karume day, katika ofisi za Tigo Unguja, Zanzibar.

 Kamishna Msaidizi wa jeshi la polisi Tanzania,  Mkadam Khamis Mkadam, Kamanda wa Polisi mkoa wa mjini Magharibi, Unguja,akimkabidhi Bwana Nadim Ibrahim mkaazi wa Malindi zawadi kutoka Tigo katika maadhimisho ya Karume day, katika ofisi za Tigo Unguja, Zanzibar.




photo Krantz Mwanteple C.E.O & Founder, MWANAHARAKATI MZALENDO MEDIA Phone: +255-712579102 /+255-767392840 Email: krantzcharles@gmail.com Website: www.mwanaharakatimzalendo.blogspot.com Whatsapp: 0712579102 "HABARI MAKINI KWA WATU MAKINI"

UKATILI WA KINSIA SOKO LA TABATA MUSLIM JIJINI DAR ES SALAAM WAPUNGUA KWA MSAADA WA SHIRIKA LA EfG.

April 11, 2016

 Msaidizi wa kisheria katika soko la Tabata Muslim, Aisha Juma akizungumza wakati akifungua tamasha la kuongezea uelewa kuhusu kupinga ukatili wa kijinsia masokoni lililofanyika mwishoni mwa wiki Soko la Tabata Muslim jijidi Dar es Salaam ambapo ilielezwa kupungua kwa vitendo vya ukatili katika soko hilo. Upunguaji wa vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia umetokana na elimu iliyotolewa na wasaidizi hao wa kisheria kwa msaada wa Shirika la Equality for Growth (EfG)
 Msaidizi  wa kisheria katika soko hilo, Irene Daniel akielezea kupungua kwa vitendo hivyo vya ukatili wa kijinsia katika soko hilo kutokana na msaada wa wasaidizi hao wa kisheria masokoni waliowezeshwa na Shirika la EfG.
 Msaidi wa kisheria katika soko hilo akichangia jambo.
 Ofisa Ufuatiliaji na Tathmini wa Shirika la EfG, Mr Shabani akitoa ufafanuzi wa masuala mbalimbali ya ukatili wa kijinsia masokoni.
 Wasanii wa Kundi la Machozi lenye maskani yake Temeke jijini Dar es Salaam wakitoa burudani kwenye tamasha hilo lililofanyika mwishoni mwa wiki viwanja vya Soko la Tabata Muslim.
 Burudani zikiendelea katika viwanja hivyo.
 Mpiga picha wa EfG akipiga  mzigo katika tamasha hilo.
 Watoto nao walikuwepo kushuhudia burudani za tamasha hilo.
 Katibu wa Soko hilo, John Nombo (kushoto), akichangia jambo kwenye tamasha hilo. Kulia ni Mratibu wa Tamsha hilo,Bibi  Grace kutoka Shirika la EfG.
 Baunsa wa kujitolea wa Tamasha hilo naye alishindwa kuvumilia midundo ya ngoma iliyokuwa ikitolewa na kundi la Machozi ambapo alijikuta akiingia uwanjani naye kufanya vitu vyake kama anavyoonekana.
 Wananchi wakifuatilia tamasha hilo.
 Mkazi wa Tabata, Mwahija Rajab akichangia jambo kuhusu ukatili wa kijinsia.
 Burudani kutoka kundi la machozi zikiendelea.
 Taswira ya jukwaa kuu katika tamasha hilo.
Wageni waalikwa na wasaidizi wa kisheria katika soko hilo na viongozi wa Shirika la Equality for Growth (EfG), wakiwa katika picha ya pamoja.