Nice&Lovely Miss Tanga 2014,Diana Theo Jackson akiwa kwenye kiti na taji la Miss Tanga mara baada ya kuibuka mshindi kwenye shindano ambalo lilifanyika juzi kwenye ukumbi wa Hotel ya Mkonge kushoto ni mshindi namba mbili Noon Juma na mshindi wa tatu Vannessa Charles
PINDA AMPOKEA MAKAMU WA RAIS WA CHINA ARUSHA
Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda akiongozana na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Watu
wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa
ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. (Picha na
Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda akiongozana na Makamu wa rais wa Jamhuri ya Watu
wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa
ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. Kulia ni
Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais, Utawala Bora, Capt.George Mkuchika.(Picha
na Ofisi ya Waziri Mkuu)
Waziri
Mkuu, Mizego Pinda akizungumza na Makamu wa Rais wa China , Li
Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa ndege wa Arusha
Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. (Picha na Ofisi ya Waziri
Mkuu)
Waziri
Mkuu,Mizengo Pinda akizungumza na Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Watu
wa China, Li Yuanchao baada ya mgeni huyo kuwasili kwenye uwanja wa
ndege wa Arusha Juni 21, 2014 kwa ziara ya kikazi nchini. Kulia ni
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Waziri Rais, Utawala Bora, Capt. George
Mkuchika. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAGENI KUTOKA CHINA NA OMAN LEO
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Dkt Anne Suk-Ching, Mjumbe wa
Kamati ya Utendaji wa Chama Tawala cha Jamhuri ya Watu wa China
aliyemtembelea Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2014
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akimsindikiza Dkt Anne Suk-Ching, Mjumbe wa
Kamati ya Utendaji wa Chama Tawala cha Jamhuri ya Watu wa China baada ya
kukutana naye Ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2014
Rais
Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mhe Saoud Ali Mohamed Al
Ruqaishi, Balozi wa Oman hapa nchini na Mjumbe Maalum wa Sultan Qaboos
Bin Said wa Oman ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 22, 2014
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akipokea ujumbe kutoka kwa Mhe Saoud Ali
Mohamed Al Ruqaishi, Balozi wa Oman gapa nchini na Mjumbe Maalum wa
Sultan Qaboos Bin Said wa Oman ikulu jijini Dar es salaam leo Juni 22,
2014
Kampeni ya Diwani Bonnah Kaluwa wa Kipawa ya kuchangia damu yafikia kilele leo
Meya
wa Ilala, Jerry Silaa akifungua rasmi tamasha la kuchangia damu katika
viwanja vya Stakishari, Majumbasita, Dar es Salaam leo. Kampeni hiyo ya
siku 10 iliratibiwa na Diwani wa Kipawa Bonnah Kaluwa (CCM).
Meya
Silaa akipata maelezo kutoka kwa maofisa wa Damu Salama kabla ya
kuchangia damu ili kuwaokoa wagonjwa wakiwemo wakina mama wajawazito
katika viwanja vya Sitakishari Majumbasita, Dar es Salaam.
Meya
Silaa na Diwani Bonnah wakiendelea kusikiliza maelezo kutoka kwa
maofisa wa damu salama kabla ya kuchangia damu ili kuwaokoa wagonjwa
wanaoteseka mahospitali kwa kukosa damu. Meya
wa Ilala, Jerry Silaa akiugulia maumivu ya sindano wakati akitoa damu
ili kuwaokoa wagonjwa wanaohitaji damu katika hospitali mbalimbali
wakiwemo wajawazito bila kuwasahau madereva na abiria wa bodaboda
wanaoandamwa na ajali.
Diwani
wa Kipawa, Bonnah Kaluwa naye akidhihirisha azma yake ya kuchangia damu
kwa vitendo katika kilele cha kampeni yake ya kuchangia damu jana
katika viwanja vya Sitakishari, Majumbasita ambapo mamia ya wakazi wa
Dar es Salaam walijitokeza.
Mwakilishi
wa Chuo cha Diplomasia, Kennedy Ndosi (katikati) aliyewahamasisha
wanafunzi wa Chuo hicho waliofika kuchangia damu akiwasikiliza Meya
Silaa na Diwani Bonnah wakati wa tamasha hilo.
Meya
Silaa na Mganga Mkuu wa Manispaa ya Ilala, Dk Willy Sangu (kulia)
wakiondoka baada ya kumaliza zoezi la kuchangia damu katika tamasha
lililoandaliwa na Diwani wa Kipawa, Bonnah Kaluwa katika Viwanja vya
Sitakishari leo.
KAMANDA KOVA AZINDUA PIKIPIKI YA HERO DAWN 125 CC
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
(katikati), na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors
Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), akifungua kitmbaa kuashiria
uzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla
yailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
(katikati), na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors
Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto), akifungua kitmbaa kuashiria
uzinduzi wa pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla
yailiyofanyika jijini Dar es Salaam jana.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla
ya uzinduzi wa pikipiki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Wa tatu
kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors Tanzania
Ltd, Sameer Musale na wawakilishi kutoka Astarc.
akijaribu moja ya pikipiki mpya aina ya Hero Dawn 125cc katika hafla
ya uzinduzi wa pikipiki hiyo jijini Dar es Salaam jana. Wa tatu
kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors Tanzania
Ltd, Sameer Musale na wawakilishi kutoka Astarc.
Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova
(kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc
Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto) katka hafla hiyo.
(kulia), akizungumza na Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc
Motors Tanzania Ltd, Sameer Musale (kushoto) katka hafla hiyo.
Mkuu wa Kikosi cha Usalama Barabarani Kanda ya Dar es Salaam
Kamishna Msaidizi wa Polisi, Amiri Konja (kulia) akitoa rai kwa
waendesha bodaboda kutii sheria za barabarani ili klupunguza ajali
ambazo tawimu zinaonyesha kuongezeka. Kulia kwake ni Kamanda wa
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati), na
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer
Musale. Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Roma Mkatoliki akitoa burudani
katika hafla ua uzinduzi wa pikipiki aina ya Hero Dawn 125cc jijini
Dar es Salaam jana.
Kamishna Msaidizi wa Polisi, Amiri Konja (kulia) akitoa rai kwa
waendesha bodaboda kutii sheria za barabarani ili klupunguza ajali
ambazo tawimu zinaonyesha kuongezeka. Kulia kwake ni Kamanda wa
Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Suleiman Kova (katikati), na
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Astarc Motors Tanzania Ltd, Sameer
Musale. Msanii wa muziki wa kizazi kipya, Roma Mkatoliki akitoa burudani
katika hafla ua uzinduzi wa pikipiki aina ya Hero Dawn 125cc jijini
Dar es Salaam jana.
HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA KUTUMIA KIASI CHA SH.BILIONI 6.1 KWA MWEZI KWA AJILI YA KULIPIA STARTIMES.
HALMASHAURI ya Jiji la Tanga inatarajia kutumia kiasi cha
Sh.bilioni 6.1 kila mwezi kwa ajili ya kuilipa kampuni ya Star Times ili
kuiwezesha Televisoni ya Tanga TV kurusha matangazo yao kwenye maeneo
mbalimbali mkoani Tanga.
Hayo yameelezwa na Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Omari
Guledi wakati akitoa taarifa kwa vyombo vya habari mkoani hapa kuhusu kurudi
hewani kituo hicho cha Halmashauri ya Jiji la Tanga katika mfumo wa digitali.
Subscribe to:
Posts (Atom)