*RAIS KIKWETE AONGOZA WANANCHI WA MIONO JANA KATIKA MAZIKO YA ALIYEKUWA MBUNGE WA CHALINZE, RAMADHAN BWANAMDOGO.
Rais
Jakaya Kikwete, akiteta jambo na Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe (kushoto)
na Makamu wa Rais Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiteta jambo na Waziri Mkuu
Mstaafu, Edward Lowassa, wakati wakiwa katika maziko ya aliyekuwa Mbunge wa
Chalinze, Ramadhan Bwanamdogo, aliyefariki dunia juzi.
Rais
Jakaya Kikwete, akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Mbunge wa
Chalinze, kwa tiketi ya CCM, Ramadhan Bwanamdogo, aliyefariki dunia
juzi. Maziko ya marehemu Bwanamdogo, yamefanyika kijijini kwake Chalinze
Miono, Wilaya ya Bagamoyo.
Makamu
wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal,
akiweka udongo katika kaburi la aliyekuwa Mbunge wa Chalinze, kwa
tiketi ya CCM, Ramadhan Bwanamdogo, aliyefariki dunia juzi. Maziko ya
marehemu Bwanamdogo, yamefanyika kijijini kwake Chalinze Miono, Wilaya
ya Bagamoyo.
Rais
Jakaya Kikwete, akisaini katika kitabu cha maombolezo ya aliyekuwa
Mbunge wa Chalinze, kwa tiketi ya CCM, Ramadhan Bwanamdogo, aliyefariki
dunia juzi. Maziko ya marehemu Bwanamdogo, yamefanyika kijijini kwake
Chalinze Miono, Wilaya ya Bagamoyo.