BENKI YA CRDB NA KAMPUNI YA BIMA YA HERITAGE ZA NYAKUA TUZO ZA BBLA 2014

February 01, 2015

2
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Charles Kitwanga, (Kushoto) akimkabidhi tuzo mshindi wa Tuzo za Bodi yenye Uongozi Bora za 2014 (BBLA) katika sekta ya kibenki, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya Benki ya CRDB Bw. Martin Mmari (kulia). Benki ya CRDB iliibuka mshindi katika sekta ya kibenki wakati kampuni ya Heritage Insurance iliibuka kinara katika sekta ya bima katika tuzo hizo zilizofanyika  jijini Dar es Salaam.
4
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Charles Kitwanga, (Kushoto) akimkabidhi tuzo mshindi wa Tuzo za Bodi yenye Uongozi Bora za 2014 (BBLA) katika sekta ya bima, Mwenyekiti wa Bodi ya Wakurugenzi ya kampuni ya Heritage Insurance, Bw. Yogesh Manek (kulia). Heritage Insurance iliibuka mshindi katika sekta ya bima wakati Benki ya CRDB iliibuka kinara katika sekta ya kibenki katika tuzo hizo.
5
Mwenyekiti wa jopo la majaji waliosimamia Tuzo za Bodi yenye Uongozi Bora za 2014 (BBLA), Bw. Leonard Mususa akizungumza katika hafla ya kutangaza washindi wa tuzo hizo ambapo kampuni ya bima ya. Heritage iliibuka mshindi katika sekta ya bima wakati Benki ya CRDB iliibuka kinara katika sekta ya kibenki katika tuzo hizo.
6
Naibu Waziri wa Nishati na Madini, Mhe. Charles Kitwanga akizungumza katika hafla ya kutangaza washindi wa Tuzo za Bodi yenye Uongozi Bora za 2014 (BBLA), ambapo kampuni ya bima ya. Heritage iliibuka mshindi katika sekta ya bima wakati Benki ya CRDB iliibuka kinara katika sekta ya kibenki katika tuzo hizo.
Picha mpiga picha wetu.

Share this

Related Posts

Previous
Next Post »