ZIARA YA ACCESSS BANK KWA VYOMBO VYA HABARI
Meneja Masoko wa AccessBank Ndugu Muganyizi Jonas
Bisheko (katikati ) akiwa Azam tv Pamoja na Watangazaji wa Kipindi
cha alasiri ndugu Andrian (kushoto) pamoja na wasiwasi Mwabulambo
kwenye ziara kubwa ya Meneja kwenye Vyombo Mbalimbali vya Habari
Kutoa Elimu kwa Jamii juu ya Mambo mbalimali ya Kiuchumi ikiwemo Tatizo
la Ajira ,Namna ya Kujiajiri na Nidhamu utawala wa Rasilimali fedha.
HIFADHI ZA TAIFA TANZANIA(TANAPA) KUPITIA UJIRANI MWEMA WAKABIDHI MRADI WA MAJI KATIKA KIJIJI CHA ASHIRA WILAYA YA MOSHI
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama akisoma kilichoandikwa katika vibao mara baada ya uzinduzi wa mradi huo. |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro ,Leonidas Gama kuashiria uzinduzi rasmi wa mradi huo. |
RC ,Gama akinywa maji kwa kutumia mkono mara baada ya kufungua bomba la maji katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi vijijini. |
Tanki la Maji la mradi wa ujirani mwema uliofadhiliwa na Hifadhi za Taifa ,Tanzania (TANAPA). |
Baadhi ya wananchi katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi vijijini. |
Baadhi ya wananchi wa kijiji cha Ashira katika wilaya ya Moshi . |
Kaimu Mkurugenzi mkuu TANAPA,Ibrahim Musa akitoa taarifa mbele ya mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama kuhusu ujenzi wa mradi wa maji katika kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi , |
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akizungumza wakati wa makabidhiano ya mradi wa maji uliofadhiliwa na TANAPA kwa ajili ya wananchi wa kijiji cha Ashira wilaya ya Moshi. |
Na Dixon Busagaga wa Globu ya Jamii,Kanda ya Kaskazini, |
MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO LEONIDAS GAMA AZINDUA DUKA JIPYA LA KAMPUNI YA SIMU ZA MKONONI YA TIGO.
Duka jipya la kampuni ya mawasiliano ya simu za mkononi,Tigo lafunguliwa mjini Moshi. |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama akizungumza wakati wa uzinduzi wa duka jipya la kampuni ya simu za mkononi ya Tigo lililozinduliwa mjini Moshi. |
Mkuu wa wilaya ya Moshi,Novatus Makunga akifuatilia kwa makini shughuli za uzinduzi wa duka la Tigo katika mji wa Moshi. |
Baadhi ya wafanyakazi wa kampuni ya simu za mkononi ya Tigo,wakimsikiliza mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama wakati wa uzinduzi wa duka jipya la kampuni hiyo mjini Moshi. |
Meneja huduma kwa wateja kanda ya Kaskazini,Gwamaka Mwakilembe akitoa maelezo kwa mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Leonidas Gama wakati akitembelea vitengo mbalimbali ndani ya duka hilo. |
Wafanyakazi wa kampuni ya Tigo wakiwa kazini. |
Uuzaji wa simu za aina mbalimbali pia ulikuwa ukifanyika katika duka hilo. |
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro,Leonidas Gama ,akifurahia jambo mara baada ya kutembelea ndani ya duka hilo na kujionea shughuli mbalimbali zinazofanywa na kampuni hiyo ya Tigo. |
Subscribe to:
Posts (Atom)