Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa akiongea na
wakazi wa Kanyonza Wilaya ya Kakonko Mkoani Kigoma, alipokagua maendeleo
ya ujenzi wa barabara ya Kibondo-Nyakanazi yenye urefu wa KM 50.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa (wa tatu
kulia) akimsikiliza Mkandarasi wa Kampuni ya Ujenzi ya Nyanza (kulia),
inayojenga barabara ya Kibondo-Nyakanazi yenye urefu wa KM 50 mkoani
Kigoma. Kushoto ni Meneja wa Wakala wa Barabara nchini (TANROADS), Mkoa
wa Kigoma Eng. Narcis Choma.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akiangalia
nodo zinazoshikilia moja ya madaraja yanayojengwa katika barabara ya
Kibondo-Nyakanazi yenye urefu wa KM 50 mkoani Kigoma.
Waziri
wa Ujenzi, Uchukuzi na Mawasiliano, Profesa Makame Mbarawa, akitoka
kukaguzi wa moja ya madaraja yanayojengwa kwenye barabara ya
Kibondo-Nyakanazi yenye urefu wa KM 50 mkoani Kigoma.