April 02, 2014
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Aprili 2, 2014
WACHEZAJI NGORONGORO HEROES WAAHIDI USHINDI
TFF_LOGO12Nahodha wa timu ya Taifa ya vijana wenye umri chini ya miaka 20 (Ngorongoro Heroes), Aishi Manula amesema wamejipanga kwa ajili ya kupata ushindi kwenye mechi dhidi ya Kenya itakayochezwa Jumapili (Aprili 6 mwaka huu) katika mji wa Machakos.
Akizungumza leo (Aprili 2 mwaka huu) kwenye hafla ya kukabidhiwa bendera kwa timu hiyo kwenye ofisi za Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF), Manula ambaye pia anaidakia timu ya Azam alisema lengo lao ni kufanya vizuri kwenye mechi hiyo.
April 02, 2014

President Kikwete attends EU-Africa Summit in Brussels

DSC_3613 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete shares a light moment with Swaziland King Mswati III shortly before the commencement  of the Fourth European Union and Africa Summit held in Brussels Belgium this afternoon. The summit will illustrate how EU-Africa relations have evolved over the past years, will highlight the results achieved by the continental Partnership and will frame cooperation for the years to comDSC_3627 President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete meets German leader Chancellor Angela Merkel during the  Fourth European Union and Africa Summit held in Brussels Belgium this afternoon. President Kikwete arrived in Brussels today for a two days working visit.DSC_3650President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete greets French President Francois Hollande at the beginning of the EU Africa Summit held in the Belgium Capital Brussels this afternoon.
(Photos by Freddy Maro)
April 02, 2014

matukio katika picha kamati za Bunge maalum la Katiba

1 (8) 
Spika Mstaafu wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Pius Msekwa (kulia) akitoa ufafanuzi leo mjini Dodoma  kuhusu hati ya Muungano kwa wajumbe wa Kamati namba mbili(2) ya Bunge Maalum la Katiba  baada ya wajumbe hao kumuomba aende kuwaelimisha juu ya hati hiyo. Wengine ni Mwenyekiti wa Kamati namba mbili Shamsi Vuai Nahodha(katikati) na Mwanasheri Mkuu wa Serikali ya Mapinduzi Zanzibar Othaman Masoud Othaman(kulia)
April 02, 2014

WENGI WAJITOKEZA KUJIUNGA NA NSSF

Waziri wa Kazi na Ajira, Gaudensia Kabaka (wa pili kulia), akipata maelezo kutoka kwa Ofisa Uhusiano wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Carloyne Newa (kushoto), kuhusu kujiunga na Mfuko huo wakati wa uzinduzi wa michuano ya Kombe la NSSF kwa vyombo vya Habari. Michuano hiyo inafanyika katika viwanja vya TCC Chag’ombe jijini Dar es Salaam.
 Mkazi wa jijini Dar es Salaam akiulizia taratibu za kujiunga na Mfuko wa Hifadhi ya Jamii wa NSSF.