Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa
akisalimiana na Askofu Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius
Ngalalekumtwa wakati wa Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wake,iliyofanyika
Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa.
Waziri
Mkuu Mstaafu na Mbunge wa Jimbo la Monduli,Mh. Edward Lowassa
akisalimiana na Makamu wa Rais wa Baraza la Maaskofu Tanzania,Mhashamu
Severini Niwemugizi wakati wa Jubilei ya Miaka 25 ya Uaskofu wa Askofu
Mkuu wa Jimbo la Iringa,Mhashamu Tarcisius Ngalalekumtwa,,iliyofanyika
Julai 01,2014 kwenye Kanisa Kuu la Katolini Mjini Iringa.