KUTOKA BUNGENI MJINI DODOMA LEO

June 09, 2015

Mbunge wa Kilolo, Profesa Peter Msolla (kushoto) akiteta na Mbunge wa Rungwe Magharibi, Profesa David Mwakyusa, Bungeni mjini Dodoma Juni 9, 2015.
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu, Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa, Hawa Ghasia akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Juni 9, 2015.
Naibu Waziri wa Afya na Ustawi wa Jamii, Dkt. Stephen Kebwe akijibu maswali Bungeni mjini Dodoma Juni 9, 2015.
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akifurahia jambo katika mazungumzo kati yake na Mbunge wa Rombo, Joseph Selasini na Naibu Waziri wa Fedha na Mbunge wa Mkuranga, Adam Malima (kulia) kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 9, 2015.


Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa Maswa Magharibi, John Shibuda kwenye viwanja vya Bunge mjini Dodoma Juni 9, 2015. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu).

KIONGOZI WA MWENGE AKABIDHI KADI ZA CHF KWA WAKINA MAMA JIJINI TANGA

June 09, 2015
Kiongozi wa mbio za Mwenge mwaka 2015,Khatib Chumu
akimkabidhi kadi ya CHF Amina Mohamed kwenye viwanja vya Mkwakwani ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga(NHIF) Ally Mwakababu.



Wakina mama wakiwa na kadi zao za CHF mara baada ya
kukabidhiwa na kiongozi wa mbio za Mwenge 2015 Khatibu Chumu ambazo walikabidhi wakina mama waliolipiwa na Naibu Waziri wa Sheria na Katiba ,Ummy Mwalimu nyuma yake ni Meneja wa Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya Mkoa wa Tanga (NHIF) Ally Mwakababu.

WAZIRI BERNARD MEMBE AJINYAKULIA WADHAMINI WA KUTOSHA MKOA WA LINDI NA MTWARA

June 09, 2015
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia) akishangiliwa na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, mara baada ya kufika ofisi hapo akitokea mjini Dodoma.
 Umati wa wanachama waliojiokeza kumpokea Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe.
Mama Dorcas Membe akiwasalimia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, wakati wakitia saini fomu za kumdhamini kwa ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, katika Ofisi ya CCM mkoani humo.
Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Lindi, Ali Mtopa akiwasalimia wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, wakati wakitia saini fomu za kumdhamini kwa ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, katika Ofisi ya CCM mkoani humo.
Wanachama wakifuatilia kwa makini jinsi wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, wakati wakitia saini fomu za kumdhamini kwa ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho, katika Ofisi ya CCM mkoani humo.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiwa na Mkewe Dorcas Membe mara baada ya kufika ofisi za CCM) Mkoa wa Lindi, wakati wakitia saini fomu za kumdhamini kwa ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akisalimia na wananchama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mtwara, waliofika kwenye Ofisi ya CCM Mtwara mjini.
 Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (wa pili kushoto) na mkewe Dorcas (kushoto) wakifuatilia kwa makini jinsi wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, wakati wakitia saini fomu za kumdhamini kwa ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe akiteta jambo na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mkoa wa Lindi, wakati wakitia saini fomu za kumdhamini kwa ajili ya kuteuliwa kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kushoto) akizungumza na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mtwara, waliofika kwenye Ofisi ya CCM Mtwara mjini, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
Katibu wa CCM Mtwara mjini, Modesta Mwaya akimkabidhi Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa na Mbunge wa Jimbo la Mtama, Bernard Membe (kulia), fomu zilizotiwa saini na wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mtwara mjini, waliofika kwenye Ofisi hizo Juni 08.2015, kwa ajili ya kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
Sehemu ya umati wa wanachama wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) wa Mtwara, waliofika kwenye Ofisi ya CCM Mtwara mjini Juni 08.2015, kwa ajili ya kutia saini fomu za kumdhamini ili ateuliwe kuwania urais katika uchaguzi mkuu ujao kwa tiketi ya chama hicho.
-- ---- Cathbert Angelo Kajuna, Founder and Mananging Director Kajunason Blog, P.O Box 6482, Dar es Salaam. Tel: +255 787 999 774 Alt: +255 765 253 445 www.kajunason.blogspot.com "Everything is Possible Through Peace & Stability''
KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN AMALIZA ZIARA YAKE KATIKA JIMBO LA MULEBA KUSINI

KATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN AMALIZA ZIARA YAKE KATIKA JIMBO LA MULEBA KUSINI

June 09, 2015


????????????????????????????????????
Umoja ni Nguvu’ , Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na viongozi wengine wa chamaKatibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Mushabago, Muleba ya Kaskazini. serikali akishiriki zoenga, Muleba Kaszi la kutandanza umeme wa mradi wa umeme vijijini katika kijiji cha Nyakatakazini, akiwa katika ziara yake ya kikazi yenye lengo la Kukagua, Kuhimiza , utekelezaji wa Ilani ya Chama cha Mapinduzi CCM katika mikoa ya Kagera, Geita na Mwanza (PICHA NA KIKOSIKAZI CHA FULLSHANGWE-MULEBA)
  • ????????????????????????????????????

  • Umoja ni Nguvu’ , Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na viongozi wengine wa chama na serikali akishiriki zoezi la kutandanza umeme wa mradi wa umeme vijijini katika kijiji cha Nyakatanga, Muleba Kaskazini.
  • ????????????????????????????????????
  •   Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini Charles Mwijage akihutubia wakazi wa Mushabago ambapo alisisitiza kufanya uchaguzi mzuri wa madiwani wa CCM kwani watasaidia kusukuma utekelezaji wa ilani ya CCM na kurahisisha kuleta maendeleo.

  • ????????????????????????????????????
    Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana na Mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Mh. Charles Mwijage wakiwasalimia wananchi. 
  • ????????????????????????????????????

  • Mbunge wa Jimbo la Muleba Kaskazini ambaye pia ni Naibu Waziri Nishati Charles Mwijage (kushoto)akicheza ngoma na mmoja wa wananchi wa Kata ya Kamachumu wakati alipotembelea kata hiyo na kuhutubia mkutano wa hadhara.
  • ????????????????????????????????????

  • Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akicheza ngoma ya asili inayojulikana kwa jina la Bikorwengonzi wakati wa mkutano wa hadhara Kamachumu.
  • ????????????????????????????????????
    Mkuu wa Mkoa wa Kagera Mh. John Mongella akimtunza Mbunge wa jimbo la Muleba Kusini Mh Charles Mwijage akitunzwa na Nape Nnauye Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM.
  • ????????????????????????????????????
    Mbunge wa jimbo la Muleba Kusini mh. Charles Mwijage akicheza na mbunge wa jimbo la Muleba Kaskazini Prof.Anna Tibaijuka.
  • ????????????????????????????????????
    Nape Nnauye akiwahutubia wananchi katika kata ya Kamachumu.
  • ????????????????????????????????????

  •   Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akikabidhi pampu ya maji zilizotolewa na Mbunge wa Jimbo Mhe. Charles Mwihage kwa ajili ya umwagiliaji ambayo zilitolewa kwa vikundi mbali vya kijasirimali.
  • ????????????????????????????????????
    Baadhi ya vijana wakiwa  wanavua samaki katika mabwawa ya bonde la  Ruhanga
  • ????????????????????????????????????

  • Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akipata maeezo juu ya mradi wa ufugaji samaki katika kata ya Ruhanga.
  • ????????????????????????????????????

  • Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Izigo ambapo aliwaambia kuwa mwaka huu CCM itashinda vizuri kutokana na sera zake nzuri na zinazotekelezeka.
    ????????????????????????????????????
    Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Mushabago, Muleba ya Kaskazini.

    ????????????????????????????????????
    Baadhi ya wananchi wakiwa katika mkutano huo
    ????????????????????????????????????
    Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakati wa mkutano wa hadhara uliofanyika Mushabago, Muleba ya Kaskazini.

DKT. SHEIN ATENMBELA SKULI NA MAKUMBUSHO BERLIN UJERUMANI

June 09, 2015

Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akisalimiana na Naibu Meya wa Postdam Bibi Elona Muller wakati alipotembelea Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam mjini Berlin akiwa na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe waliofuatana katika ziara ya kikazi Nchini Ujerumani nao ambapo Skuli hiyo inaushirikiano na Mwanakwerekwe Skuli ya Zanzibar.
Wanafunzi wa Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam walipomkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein na ujumbe waliofuatana katika ziara ya kikazi Mjini Berlin Nchini Ujerumani mara walipotembelea skulini hapo ambapo Skuli hiyo inaushirikiano na Mwanakwerekwe Skuli ya Zanzibar.
Wanafunzi wa Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam wakiiimba wimbo maalum wakiwa na utambilisho wa Bendera ya Zanzibar walipomkaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein na ujumbe waliofuatana katika ziara ya kikazi Mjini Berlin mara walipotembelea skulini hapo ambapo Skuli hiyo inaushirikiano na Mwanakwerekwe Skuli ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein na ujumbe waliofuatana katika ziara ya kikazi Mjini Berlin wakiwa wamesimama wakiimbiwa wimbo maalum na Wanafunzi wa Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam walipotembelea Skuli hiyo ambayo inaushirikiano na Skuli ya Mwanakwerekwe ya Zanzibar.
Wanafunzi wa Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam wakiiimba na kucheza kuwakaribisha Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein na ujumbe waliofuatana katika ziara ya kikazi Mjini Berlin Nchini Ujerumani mara walipotembelea skulini hapo ambapo Skuli hiyo inaushirikiano na Mwanakwerekwe Skuli ya Zanzibar.

Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la MapinduziDk.Ali Mohamed Shein na ujumbe waliofuatana katika ziara ya kikazi Mjini Berlin Nchini Ujerumani wakiwa katika picha ya pamoja na Wanafunzi wa Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam walipotembelea Skuli hiyo yenye ushirikiano na Mwanakwerekwe Skuli ya Zanzibar.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na Mkewe Mama Mwanamwema Shein pamoja na ujumbe wake wakiwaangalia wanafunzi wa Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam wakati walipokuwa wakijibu masuala wakiwa katika moja ya madarasa skulini hapo wakiwa katika ziara Mjini Berlin nchini Ujerumani.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akiulizwa suali na watoto wakati wa zoezi hilo maalum lililotayarishwa kwa wanafunzo hao wakati Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake walipoingia katika darasa kuangalia jinsi wanavomudu masomo yao na vitendo mbali mbali wanavyofundishwa na walimu wao katika Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam walipofanya ziara ya kikazi Mjini Berlin Nchini Ujerumani.
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein akimkabidhi zawadi Mwalimu Mkuu wa Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam Bibi Michael Jungling alipotembelea Skuli hiyo na ujumbe wake katika ziara ya kikazi Mjini Berlin Nchini Ujerumani.
Mke wa Rais wa Zanzibar Mama Mwanamwema Shein akimkabidhi zawadi Naibu Meya wa Postdam Bibi Elona Muller alipotembelea Skuli ya Bruno H-Burgel Schule ya Postdam yenye ushirikiano na Skuli ya Mwanakwerekwe Zanzibar akiwa katika ziara ya kikazi Mjini Berlin Nchini Ujerumani.
Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Dr.Christoph Hauser Naibu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Ushikiano wa Kimataifa wa Sayansi walipokuwa wakiangalia kukumbu mbali mbali walipotembelea Makumbusho ya Mjini Berlin Nchini Ujerumani wakiwa katika ziara ya kikazi.
Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake wakipata maelezo kutoka kwa Meneja wa Idara ya Sayansi katika Historia halisia Mjini Berlin Nchini Ujerumani wakati walipotembelea makumbusho katika Mji huo wakiwa katika ziara ya kikazi.
Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein na ujumbe wake wakimsikiliza Daniela katika Idara bya Sayansi Mjini Berlin Nchini Ujerumani akitoa maelezo wakati walipotembelea makumbusho yenye vitu vingi halisia katika Mji huo wakiwa katika ziara ya kikazi.
Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (wa tatu kulia) na ujumbe wake wakiwa katika mazungumzo na Uongozi wa Idara ya Sayansi wakati walipotembelea Makumbusho katika Mji wa Berlin Nchini Ujerumani katika ziara ya kikazi.
Rais wa wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dk.Ali Mohamed Shein (katikati) akimakabidhi zawadi ya mlango wa Zanzibar Dr.Christoph Hauser Naibu Mkurugenzi Mkuu Idara ya Ushikiano wa Kimataifa wa Sayansi baada ya mazungumzo yao walipotembelea Makumbusho katika Mji wa Berlin Nchini Ujerumani katika ziara ya kikazi(kushoto) Mama Mwanamwema Shein. [Picha na Ramadhan Othman,]