WAKULIMA NCHINI KUSHIRIKI MKUTANO NA MAONESHO YA KIMATAIFA YA KILIMO APRIL MWAKA HUU
Mratibu
wa Mkutano na Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo kutoka Kampuni ya Bizfora
Investment Co. Ltd, Dk.Ellen Otara-Okoedian akizungumza na wanahabari
(hawapo pichani) jijini Dar es Salaam leo kuhusu mkutano na maeonesho
hayo yatakayofanyika kuanzia tarehe 10 April mwaka huu kwenye ukumbi wa
Mlimani City jijini hapa.Kulia ni Meneja Maonesho na Teknolojia ya
Habari na Mawasiliano wa kampuni John Matiko.Picha na Hussein
Makame-MAELEZO. Meneja
Maonesho na Teknolojia ya Habari na Mawasiliano wa kampuni ya Bizfora
Investment Co. Ltd, John Matiko, akiwaeleza jambo wanahabari (hawapo
pichani) kuhusu Mkutano na Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo
yatakayofanyika kuanzia tarehe 10 April mwaka huu kwenye ukumbi wa
Mlimani City jijini hapa. Kulia ni Mratibu wa Mkutano na Maonesho ya
Kimataifa ya Kilimo kutoka Kampuni ya Bizfora Investment Co. Ltd,
Dk.Ellen Otara-Okoedian. Picha na Hussein Makame-MAELEZO. Baadhi
ya wanahabari wakimsikiliza Meneja Maonesho na Teknolojia ya Habari na
Mawasiliano wa kampuni ya Bizfora Investment Co. Ltd, John Matiko
(kushoto) kuhusu Mkutano na Maonesho ya Kimataifa ya Kilimo
yatakayofanyika kuanzia tarehe 10 April mwaka huu kwenye ukumbi wa
Mlimani City jijini hapa. Picha na Hussein Makame-MAELEZO. Mmoja
wa wanahabari ambaye ni mpiga picha wa Televisheni ya Tumaini
(katikati), akiuliza swali kwenye mkutano wa wanahabari na kampuni ya
Bizfora Investment Co. Ltd iliyoandaa Mkutano na Maonesho ya Kimataifa
ya Kilimo yatakayofanyika kuanzia tarehe 10 April mwaka huu kwenye
ukumbi wa Mlimani City jijini hapa. Picha na Hussein Makame-MAELEZO.
………………………………………………………………………………………
Na Frank Mvungi-MAELEZO
TANZANIA
inatarajia kuwa mwenyeji wa Mkutano na Maonesho ya Kilimo (AGRITECH)
2014, yatakayofanyika katika ukumbi wa Mlimani City jijini Dar es
salaam kuanzia April 10 mwaka huu na kuwashiriksha waoneshaji wan je na
ndani ya nchi katika Nyanja mbalimbali za kilimo.