Release No. 208
TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Desemba 13, 2013
FA MIKOA YAPATA MIPIRA TFF
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limetoa mipira kumi kwa kila chama cha
mpira wa miguu cha mkoa ili isaidie kuendesha ligi za mikoa husika.
Mipira
hiyo 250 yenye thamani ya sh. 16,250,000 tayari imeanza kutumwa kwa
makatibu wa vyama vya mikoa husika. Mpira mmoja una thamani y ash.
65,000.
Ni maratajio ya TFF kuwa mipira hiyo itakuwa chachu kwa vyama vya mikoa katika uendeshaji wa ligi hizo.