KATIBU SEFUE AWAPA SOMO WATUMISHI WA HALMASHAURI MKOANI TANGA.

September 17, 2014
                      









                        NA MWANDISHI WETU,TANGA.
KATIBU MKUU Kiongozi Balozi,Ombeni Sefue amewaonya watumishi wa serikali wenye tabia ya kudanyanga katika masuala mbalimbali yakiwemo ya malipo madai yao kwa kuwataka kuacha mara
moja kwani watakapobainika watachukuliwa hatua za kisheria.

Sefue alitoa wito huo wakati wa mkutano wake na watumishi wa sekretarieti ya mkoa na taasisi za serikali mkoani Tanga ambapo alisema kuwa wapo baadhi ya watumishi ambao wanafanya udanganyifu baada ya kulipwa madai yao na baadae kudai tena jambo ambalo linaleta usumbufu mkubwa .

Amesema mara nyingi watumishi hao wamekuwa kikwazo kikubwa cha maendeleo kwa kuidanganya serikali kwa kutaka kulipwa madai ambayo tayari yalikwisha kulipwa na mamlaka husika hivyo kabla wao hawajafanya hivyo watashughulikiwa ili kuweza kukomesha tabia hiyo.

  “Tunashangaa sana tabia za baadhi ta watumishi ambao sio waaminifu hasa katika masuala ya malipo kwa kudai mara mbili licha ya kulipwa hivyo nataka niwaambie acheni mara moja jambo hilo kwani mtakaobainika mtashughulikiwa kwa mujibu wa sheria zilizopo “Alisema Sefue.

Akizungumzia suala la watumishi wa serikali kujiingiza katika masuala ya siasa,Sefue alisema watumishi wa kada hizo hawapaswi kufanya hivyo ikiwemo kuwaonya kuacha kufanya hivyo mara moja kwa sababu watakuwa wamekiuka taratibu zilizopo kisheria.

Badala yake aliwataka wafanya kazi zao kwa uadilifu mkubwa na serikali iliyopo madarakani lengo likiwa kuharakisha kasi ya maendeleo kwenye maeneo mbalimbali hapa nchini .

  “Kama kuna watumishi wa serikali wanataka kujiingiza kwenye siasa ni bora wakachagua moja waache kazi na kuendelea siasa kwa kufuata taratibu zilizopo kisheria kwa sababu hawawezi kuchanganya vitu viwili kwa wakati mmoja “Alisema Katibu Kiongozi.

Alisema jambo hilo linasababisha wakati mwengine kuchukua muda mrefu kujiridhisha ili kuweza kujua madai yaliyopo yaweze kulipwa badala ya kupokea madai na kulipa kwa wakati kutokana na vitendo vya baadhi yao kufanya udanyanyifu kutokana na kutaka kulipwa madai mara mbilimbili.

*KASSIM MGANGA, AUNT EZEKIEL WATEMBELEA MJENGO MWEUPE, AUNT ATIA SAINI KITABU UBALOZI WA TANZANIA WASHINGTON DC MAREKANI

September 17, 2014

Aunty akitia saini kitabu cha wageni alipotembelea Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani siku ya Jumanne Sept 16, 2014.
 Aunty Ezekiel akipata picha ndani ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania Washington, DC




 Aunty akipata picha nje ya mjengo wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
 Aunty na Cassim Mganga wakipata menu ndani ya jiji la Washington, DC.
KWA PICHA ZAIDI BOFYA READ MORE
 Cassim Mganga akipata picha nje ya mjengo mweupe wa Obama
 Aunty Ezekiel akipata picha nje ya mjengo wa Obama
 Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga
  Shabiki akipata picha na wasanii Aunty na Cassim Mganga.
Aunt na Cassim wakiwa ubalozi wakisubiri kuonana na Balozi hii ndani ya jengo la ubalozi wa Tanzania New York City.
Mh. Balozi Manongi akishuudia Aunt Ezekiel akitia saini kwenye kitabu cha wageni ubalozini hapo.
Cassim Mganga nae alipata fursa ya kunguka saini yake kwenye kitabu hicho cha wageni
Deborah rafiki wa Aunt Ezekiel akiweka saini yake pia ubalozini
Aunt Ezekiel akipa ukodak na Mh. Balozi Tovako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York.
Cassim Mganga akipata ukodak na Mh. Balozi Tuvako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York.
Cassim na Aunt kwapamoja wakiwa pata ukodak na Mh. Balozi Tuvako Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York.
Hapa ni Deborah nae kwenye ukodak na Mh. Balozi
Hapa ni mabalozi wote wakipata ukodak na wageni Mh. Balozi Manongi Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania katika Umoja wa Mataifa, New York. na Mh. Balozi Ramadhan Mwinyi Naibu Mwakilishi wa Kudumu wa Tanzania Umoja wa Mataifa New York.
Noel Kaganda afisa ubalozi kushoto na kulia na Tuly afisa ubalozi pia wakipata ukodak.
Mh. Balozi Manongi akiwa kwenye chakula cha mchana wageni wake
Hapa ni Deborah, Aunt Ezekiel na Mh. Balozi kabla ya chakula kuletwa

*KINANA AWAAMBIA UKWELI VIONGOZI WA CCM MAFIA

September 17, 2014

 Umati wa wananchi wa Mafia wakimsikiliza mkutano wa Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana alipokuwa akiwahutubia wananchi hao.
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akihutubia wakazi wa wilaya ya Mafia ambapo aliwataka Viongozi wa CCM waache mkorogano badala yake wafanye shughuli za maendeleo kwanza.
 Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akihutubia wakazi wa Mafia kwenye uwanja wa Mkunguni stendi ya Mabasi mjini Mafia.
Naibu Waziri Nishati Charles Kitwanga akihutubia wakazi wa Mafia ambapo aliwaambia Mafia ndio wilaya pekee itakayopata Umeme kwa asilimia 100%.

*MAKAMU WA RAIS DKT. BILAL AFUNGUA MKUTANO WA MASHAURIANO KATI YA VYOMBO VYA HABARI NA VYOMBO VYA ULINZI, USALAMA NA SHERIA, JIJINI DAR ES SALAAM.

September 17, 2014

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akihutubia wakati akifungua rasmi mkutano wa Mashauriano kati ya Vyombo vya Habari na Vyombo vya Ulinzi, Usalama na Sheria, uliofanyika kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam, leo Septemba 17, 2014. Mkutano huo uliandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT).
 Baadhi ya Washiriki, waandishi wa habari na Wahariri wa habari kutoka Vyombo mbalimbali vya habari waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua rasmi mkutano huo leo.  
 Baadhi ya Washiriki, waandishi wa habari na Wahariri wa habari kutoka Vyombo mbalimbali vya habari waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua rasmi mkutano huo leo.  
 Baadhi ya Washiriki, waandishi wa habari na Wahariri wa habari kutoka Vyombo mbalimbali vya habari waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua rasmi mkutano huo leo.  
 Rais wa Baraza la Habari Tanzania, (MCT) Jaji Thomas Mihayo, akizungumza kabla ya kumkaribisha mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, kufungua rasmi mkutano huo,  uliofanyika leo Septemba 17, 2014 kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam
 Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania, (MCT) Kajubi Mukajanga, akizungumza kabla ya mgeni rasmi Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, kufungua rasmi mkutano huo,  uliofanyika leo Septemba 17, 2014 kwenye Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro jijini Dar es Salaam.
 Baadhi ya Washiriki, waandishi wa habari na Wahariri wa habari kutoka Vyombo mbalimbali vya habari waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua rasmi mkutano huo leo.  
 Baadhi ya Washiriki, waandishi wa habari na Wahariri wa habari kutoka Vyombo mbalimbali vya habari waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua rasmi mkutano huo leo.  
 Baadhi ya Washiriki, waandishi wa habari na Wahariri wa habari kutoka Vyombo mbalimbali vya habari waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua rasmi mkutano huo leo.  
 Baadhi ya Washiriki, waandishi wa habari na Wahariri wa habari kutoka Vyombo mbalimbali vya habari waliohudhuria mkutano huo wakimsikiliza Makamu wa Rais Dkt. Bilal, wakati akihutubia kufungua rasmi mkutano huo leo.  
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo baada ya ufunguzi rasmi.
 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo baada ya ufunguzi rasmi.
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiwa katika picha ya pamoja na washiriki wa mkutano huo baada ya ufunguzi rasmi.
 
 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiongozana na baadhi ya viongozi wakati akiondoka katika Hoteli ya Hyatt Kilimanjaro, baada ya kufungua mkutano huo.
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akiagana na Katibu Mkuu wa Baraza la Habari Tanzania, (MCT) Kajubi  Mukajanga, wakati akiondoka mara baada ya kufungua mkutano huo. Kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari Maelezo, Asah Mwambene.