Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa
Watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti
ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa
Chimwaga mjini Dodoma.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata
utepe katika vitabu hivyo vya taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa
watumishi wa umma alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika
Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu
Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma
(UDOM) Profesa Idris Kikula.
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa kitabu cha Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti kwa
watumishi wa umma alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais
Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika
Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu
Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma
(UDOM) Profesa Idris Kikula.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akinyanyua
juu Taarifa na vitabu vye majina 9,932 ya watumishi wenye vyeti vya
kugushi.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata
utepe na kufungua boksi kubwa lenye majina ya watumishi zaidi ya 9,932
waliobainika kuwa na vyeti vya kugushi mara baada ya kupokea Taarifa ya
zoezi la uhakiki wa vyeti kwa
watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti
ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa
Chimwaga mjini Dodoma.