RAIS DKT. MAGUFULI APOKEA TAARIFA YA ZOEZI LA UHAKIKI WA VYETI KWA WATUMISHI WA UMMA LEO MJINI DODOMA

April 28, 2017


  Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akipokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa Watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe katika vitabu hivyo vya taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa watumishi wa umma alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa Idris Kikula.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akitoa kitabu cha Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa watumishi wa umma alivyopokea kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma. Katikati ni Makamu wa Rais Samia Suluhu Hassan na wakwanza kushoto ni Makamu Mkuu wa Chuo Kikuu cha Dodoma (UDOM) Profesa Idris Kikula.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akinyanyua juu Taarifa na vitabu vye majina 9,932 ya watumishi wenye vyeti vya kugushi.
 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akikata utepe na kufungua boksi kubwa lenye majina ya watumishi zaidi ya 9,932 waliobainika kuwa na vyeti vya kugushi mara baada ya kupokea Taarifa ya zoezi la uhakiki wa vyeti  kwa watumishi wa umma kutoka kwa Waziri wa Nchi Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala bora Angela Kairuki katika Ukumbi wa Chimwaga mjini Dodoma.

RIP MY GUARDIAN ANGEL ISABELLA

April 28, 2017

I do not pretend to be older than many but the truth is that, I'm old enough to confess that life is indeed a mystery.

I've seen a Landlord becoming a tenant of his former tenant before his death. 

I know a student who became the Vice Chancellor in his former University with most of his lecturers still teaching under him.

I have seen a rejected person becoming the bread winner for a whole community. A victor becoming a victim. A driver conductor buying the bus of his master. And A borrower recruiting his erstwhile credit bank manager. 



In life, no one knows tomorrow & you can never trust life, because it is mysterious. 

Never ever forget. U may not know the full story, Don't be quick to judge. Every coin has two sides. 

Treat everyone during your life time fairly like your own & love and forgive as much as you live. 

So let us be humble, kind, love more & do not try to be smart in anything; for we do not know what tomorrow holds for us.

Five years ago, on 28th April 2012, my Guardian Angel Isabella Benita Bulengo was laid to eternal rest at Makongo Juu, Dar es Salaam at the Age of 5 years. RIP! My Guardian Angel Isabella.

Fr. James Byebazo Rugemalira Rutakwabyera


Kingdom Heritage Presents Discover Your Potential

April 28, 2017



Kampuni ya KINGDOM HERITAGE imeandaa event inaitwa "Discover Your Potential" ni event yenyewe wazungumzaji wahamasishaji katika mambo ya mipango,maendeleo,ndoto na maono na ujasiliamali.

Watakuwa wakizungumza mambo kadhaa yatakayotukumbusha kutambua uwezo wetu tulio nao kila mmoja wetu kwa ulivyo na mahala ulipo na namna ya kuutumia uwezo huo ili kufikia Malengo,Mipango,Ndoto na Maono kila mmoja.

Ni Jumapili wiki hii ya 30 April 2017 katika Kanisa la Living Water Centre Kawe Kuanzia saa 9:00 mchana.Usipange kukosa! ni Bureee!

UMUHIMU WA MAONYESHO YA KIBIASHARA KWA KAMPUNI YAKO

April 28, 2017
Na Jumia Travel Tanzania

Wafanyabiashara wengi wamekuwa wazito kujihusisha kwenye maonyesho ya kibiashara kutokana na kuhofia gharama kubwa za ushiriki. Wapo sahihi kwa kiasi fulani kwani ili ushiriki lazima kuna gharama zitakazohitajika kama vile; ada ya kiingilio, kuwapatia mafunzo wafanyakazi wako kuhusu unachotarajia kukifanikisha, vifaa vya kimasoko na matangazo pamoja na kuwasafirisha wafanyakazi wako endapo itahitajika.  


Lakini katika soko hili ambalo ili uaminike na kujulikana ndipo ufanye vizuri, wamiliki wa biashara hawana budi kutafakari kwa makini kushiriki kwenye maonyesho mbalimbali. Jumia Travel ingependa kukuelimisha kuwa ukizingatia yafuatayo basi biashara yako itanufaika vya kutosha:  

SKIMU 7 ZA UMWAGILIAJI WILAYANI MBARALI ZATOZWA FAINI KWAKUTO ZINGATIA SHERIA YA MAZINGIRA

April 28, 2017
Mkurugenzi wa Mazingira Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Richard Muyungi akizungumza kwa niaba ya wajumbe wa Kikosi kazi cha kitaifa cha kutathmini  Ikolojia ya Mto Ruaha Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya.

Kikosi kazi cha kitaifa cha kutathmini  Ikolojia ya Mto Ruaha kikiwa katika moja ya skimu za umwagiliaji Wilayani Mbarali Mkoani Mbeya