MWANDISHI Mwandamizi wa Mwananchi Comunication,Burhan Yakub akibadilishana mawazo na Rais wa AAT nchini,Nizar Jivani mara baada ya kumalizika semina ya mafunzo ya usalama barabarani kwa wanafunzi wa shule ya msingi Darajani mapema hii leo
WANAFUNZI wa shule ya msingi darajani wakiwa wanavuta barabarani wakati wa mafunzo ya alama za barabarani yaliyokuwa yakiendeshwa na shirikisho la kuratibu mbio za magari nchini AAT leo asubuhi.