Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo akizungumza na viongozi wa
CCM na Jumuia ya Wazazi mkoa wa Dar es Salaam, katika Ofisi ya CCM mkoa
huo, mwanzoni mwa ziara yake, kukagua uhai wa chama na mwenendo wa
mchakato wa uchaguzi wa viongozi wa CCM. Waliokaa kulia ni Katibu wa CCM
mkoa wa Dar es Salaam, Saad Kusilawe na Katibu wa Jumuia ya Wazazi mkoa
huo, Lugano Mwafongo
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi, Alhaji Abdallah Bulembo akiwasili katika Ofisi ya
CCM Wilaya ya Ilala kwa ajili ya kukutana na viongozi wa Jumuia hiyo
leo. Anayemkaribusha ni Mjumbe wa NEC, Ramesh Patel.
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo akisalimia baadhi ya
wanachama wa CCM nje ya Ofisi ya CCM wilaya ya Ilala baada ya kuwasili
kweye ofisi hiyo, leo
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi Alhaji Abdallah Bulembo akipokea saluti ya Kijana
wa CCM alipowasili ofisi ya CCM wilaya ya Ilala jana akiwa katika ziara
hiyo
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo akivishwa skafu na kijana wa
CCM alipowasili Ofisi ya CCM wilaya ya Ilala kufanya ziara hiyo
Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi alhaj Abdallah Bulembo akisalimia wana CCM
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Buulembo akimsalimia Mbunge wa
zamani wa Ukonga, Paul Rupia nje ya Ofisi ya CCM wilaya ya Ilala
alipowasili kwenye ofisi hiyo
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo akisaini kitabu cha wageni
katika ofisi ya CCM wilaya ya Ilala, baada ya kuwasili kuanza ziara
hiyo. Kulia ni Mjumbe wa NEC Ramesh Patel
Baadhi ya viongozi wa CCM kutoka Makao Makuu ya Jumuia ya Wazazi waliofuatana na Bulembo kwenye ziara hiyo
Mwenyekiti
wa Jumuia ya Wazazi Alhaj abdallah Bulembo akisalimia wananchi baada ya
kuwasili kwenye ukumbi kilikofanyika kikao cha viongozi wa Jumuia hiyo,
Tabata jana.
Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo akiingia ukumbini, Tabata
Ukumbi ukilipuka kwa nyimbo za mapokezi Mwenyekiti wa Jumuia ya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo alipingia ukumbini
Mwenyekiti
wa Jumuiaya Wazazi Alhaj Abdallah Bulembo akiwasili meza kuu tayari
kuendesha kikao. Kushoto ni Katibu wa CCM mkoa wa Dar es Salaam, Saad
Kusilawe na kulia ni Mjumbe wa NEC, Ramesh Patel ambaye anajiita
Mwenyekiti wa CCM wilaya ya Ilala