Rais
Dkt John pombe Magufuli mapema leo amefungua barabara ya
Kagoma-Biharamulo-Lusahunga yenye urefu wa Kilometa 154. Barabara hii ni
muhimu kwa uchumi wa mikoa ya kanda ziwa, kanda ya kati na kanda ya
magharibi. Inaunganisha mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma, Mwanza,
Shinyanga na nchi jirani za Burundi, Uganda na Rwanda
Rais
Dkt John pombe Magufuli akiwasalimia baadhi ya akina Mama waliofika
kushuhudia hafla fupi ya ufunguzi wa barabara ya
Kagoma-Biharamulo-Lusahunga yenye urefu wa Kilometa 154. Barabara hii ni
muhimu kwa uchumi wa mikoa ya kanda ziwa, kanda ya kati na kanda ya
magharibi. Inaunganisha mikoa ya Kagera, Geita, Kigoma, Mwanza,
Shinyanga na nchi jirani za Burundi, Uganda na Rwanda.
Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt John Pombe Joseph Magufuli,
akipungia vikundi vya kwaya,ngoma na Burudani alipowasili kwenye viwanja
vya stendi ya Biharamulo tayari kwa kuzindua Barabara ya Biharamulo,
Kagoma, Lusaunga yenye urefu wa kilometa 154,Biharamulo Mkoani Kagera
wakati akiwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani humo, 19 Julai 2017.
Baadhi
ya waananchi waliohudhuria uzinduzi wa Biharamulo,Kagoma ,Lusaunga
yenye urefu wa kilometa 154,wakimsikiliza kwa makini Mhe. Rais wa
Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli, wakati
akiwahutubia 19 Julai 2017.
Mkuu
wa Mkoa wa Kagera Meja Jenerali Mustafa kijuu akisoma taarifa ya mkoa
wake mbela ya Rais wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. John Pombe
Joseph Magufuli,wakati wa ufunguzi wa Barabara ya Biharamulo,Kagoma
,Lusaunga yenye urefu wa kilometa 154,Biharamulo Mkoani Kagera wakati
akiwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani humo, 19 Julai 2017.
Rais
wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Joseph Magufuli,
akihutubia wananchi wa Biharamulo wakati wa ufunguzi wa Barabara ya
Biharamulo,Kagoma ,Lusaunga yenye urefu wa kilometa 154,Biharamulo
Mkoani Kagera wakati akiwa kwenye ziara ya siku mbili mkoani humo, 19
Julai 2017.