Ofisa
Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo
akizungumza na waandishi wa habari Dar es salaam jana kuhisina na uzinduzi wa upimaji
macho utakao fanyika Dar es Slaam free market mkabala na kituo cha DSTV ,
Kinondoni jijini Dr es Salaam. Kushoto ni Mratibu mradi huo Violet Shirima.
Ofisa
Mkazi wa Taasisi isiyo ya kiserikali ya Brien Holden Vision, Eden Mashayo akionesha miwani itakayozinduliwa.
********
MKUU wa Wilaya ya
Kinondoni, Jordan Rugimbana anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika ufunguzi wa
utoaji wa huduma ya macho bure, itakayofanyika Dar es Slaam free market mkabala
na kituo cha DSTV , Kinondoni jijini Dr es Salaam.