KISAKA APUMZISHWA NYUMBA YA MILELE
Imewekwa Desemba 27 Saa 5:51 Jioni.
Kocha wa makipa wa klabu ya Simba,James Kisaka aliyefariki dunia juzi katika Hospitali ya Burhani Jijini Dar es salaam na mwili wake kusafirishwa kijijini kwake Lusanga Wilaya ya Muheza hatimaye alizikwa leo katika makaburi ya familia yake.
Kocha wa makipa wa klabu ya Simba,James Kisaka aliyefariki dunia juzi katika Hospitali ya Burhani Jijini Dar es salaam na mwili wake kusafirishwa kijijini kwake Lusanga Wilaya ya Muheza hatimaye alizikwa leo katika makaburi ya familia yake.
Misa
ya mazishi ya Kocha huyo yaliyohudhuriwa na waombolezaji wengi
iliendeshwa na Padri wa Kanisa Anglikana Lusanga,Aidano Kamote.
Subscribe to:
Posts (Atom)