Mkurugenzi
wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Crescentius Magori akifafanua
jambo wakati wa semina kuhusu mafao na utunzaji kumbukumbu kwa maofisa
utumishi RAS, DED na Manispaa kutoka mikoa yaote ya Tanzania Bara.
Semina hiyo imeandaliwa na NSSF na kufanyika leo Mkoani Morogoro. Wa
pili kushoto ni Ofisa Rasilimali Watu na Utawala, Chiku Matessa.
Mkurugenzi wa Uendeshaji wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii
(NSSF), Crescentius Magori akitoa mada kuhusu
mafao ya muda mrefu ya pensheni ya uzeeni, Pensheni ya ulemavu, pensheni ya urithi
pamoja na mafao ya muda mfupi ambayo ni mafao ya matibabu, mafao ya kuumia
Kazini, mafao ya uzazi na msaada wa mazishi. Semina hiyo iliandaliwa na NSSF
kwa ajili ya maofisa utumishi RAS, DED na Manispaa kutoka mikoa yote ya
Tanzania Bara.
Mshiriki wa semina ya maofisa utumishi
wa manispaa akisoma kipeperushi cha taarifa za Shirika la Taifa la
Hifadhi ya Jamii (NSSF), kabla ya kuanza kwa semina ya maofisa utumishi
ilifanyika mjini Morogoro na kuandaliwa na NSSF.
Maofisa wa NSSF wakiwa katika semina hiyo.
Mmoja wa washiriki wa semina hiyo akiuliza maswali.
Washiriki wa semina hiyo wakifuatilia mada.
Baadhi ya maofisa Utumishi wakiwa katika semina hiyo.
Meneja
wa NSSF anayeshughulika na Idara za Serikali na Ofisi za Balozi, Rehema
Chuma (kushoto), Mkurugenzi wa Uendeshaji wa NSSF, Crescentius Magori
na Mkurugenzi wa Rasilimali Watu na Utawala, Chiku Matessa.
Mshiriki kutoka Kigoma akichangia mada katika semina hiyo.
Maofisa wa NSSF wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika semina hiyo.
Maofisa wa NSSF wakifuatilia mada zilizokuwa zikitolewa katika semina hiyo.
Baadhi ya washiriki wa semina hiyo.
Mkurugenzi
wa Uendesha wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius
Magori (wa pili kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na
washiriki wa semina kuhusu mafao na utunzaji kumbukumbu kwa maofisa utumishi RAS, DED na Manispaa iliyofanyika leo mjini Morogoro.
Mkurugenzi
wa Uendesha wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF), Crescentius
Magori (wa pili kushoto waliokaa) akiwa katika picha ya pamoja na
washiriki wa semina kuhusu mafao na utunzaji kumbukumbu kwa maofisa utumishi RAS, DED na Manispaa iliyofanyika leo mjini Morogoro.