HIS HIGHNESS THE AGA KHAN MEETS WITH TANZANIA VICE PRESIDENT AT STATE HOUSE

August 04, 2014


Tanzania Vice President, Dr. Mohammed Gharib Bilal, (R), poses for a photo with His Highness the Aga Khan, the Chairman of the Aga Khan Development Network, at State House in Dar es Salaam, Sunday August 3, 2014. His Highness the Aga Khan, who is also the Spiritula leader of of the Shia Imami Ismaili Muslims is in the country for a four-day private visit that will including the trip to Arusha, where his foundation is building a New Compass of Agakhan Univercity’, according to the Vice President Office





The two leaders in a briefly close discussions before their meeting at State House in Dar es Salaam, Monday August 4, 2014

Your welcome sir: His Highness the Aga Khan, (L), is being welcomed by his host, The Vice President, Dr. Bilal

Vice President, Dr. Mohammed Gharib Bilal, shares a ligh moment with His Highness the Aga Khan, (2nd-L), Tabora North Member of Parliament, Shafin Sumari, (R), and the Representative of The Agha Khan Foundation in Tanzania,

His Highness The Aga Khan, and his host, Vice President, Dr. Mohammed Gharib Bila, leave the State House after their meeting

Welcome to the State House

SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI, BUNGE LA KATIBA KUANZA JUMANNE

August 04, 2014



Mwenyekiti wa Bunge Maalum Samuel Sita akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi cha Bunge hilo kilichokaa leo Jumatatu Agosti 4, 2014, kupanga ratiba ya Bunge hilo linaloanza  Jumanne, Agosti 5, 2014 mjini Dodoma. Bunge hilo linaanza baada ya kuahirishwa Aprili 25, mwaka huu, ambapo wajumbe wanaotoka vuguvugu la Umoja wa Katiba ya Wananchi wengi wao wakiwa ni wafuasi wa vyama vya upinzani, waligomea mchakato huo ambao ulikuwa umefikia hatua ya kupiga  kura ya kupitisha vipengele vilivyojadiliwa tayari kikubwa kikiwa ni muundo wa serikali. UKAWA inasisitiza kuwepo kwa muundo wa serikali tatu, wakati wajumbe wengine wengi wao wakiwa ni wale wa chama tawala CCM, wakiweka msimamo wa kuendelea na mfumo wa sasa wa serikali mbili.

RAGE APATA AJALI AKIWA NJIANI KUELEKEA DODOMA

August 04, 2014


Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali ya Rufaa, Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014. Rage alipata ajali eneo la Chigongwe, nje kidogo ya Manispaa ya Dodoma, wakati akielekea mjini humo tayari kushiriki vikao vya Bunge Maalum vinavyoanza Jumanne Agosti 5, 2014

Mbunge wa Sikonge mkoani Tabora kupitia CCM, ambaye pia ni Mujumbe wa Bunge Maalum la Katiba, Said Nkumba, akimjulia hali Rage, hospitalini mjini Dodoma, Jumatatu Agosti 4, 2014

RAIS KIKWETE ALIPOKUTANA NA WANAJUMUIYA YA WATANZANIA WA DMV KATIKA MKUTANO WA DIASPORA JIJINI WASHINGTON

August 04, 2014

Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Viongozi na wanachama wa Jumuiya ya Watanzania DMV wakati wakimsubiri Rais Jakaya Mrisho Kikwete Jumapili Julai 3, 2014 katika hoteli ya Marriot jijini Washington DC
Wajumbe wa Bodi ya Jumuiya ya Watanzania DMV
Rais Kikwete akimsalimia mmoja wa watoto waliokuwepo kumlaki

Miss Tanzania 2012, JAT kusomesha albino 50

August 04, 2014

 Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred akizungumza wakati wa uzinduzi wa mpango wa kutoa elimu kwa wajasiliamali kwa albino 50, kushoto ni Kaimu katibu Mkuu wa Jumuiya wa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), Mohamed Chanzi.
 
 Kaimu katibu Mkuu wa Jumuiya wa watu wenye ulemavu wa ngozi (albino), Mohamed Chanzi (Kushoto) akisisitiza jambo katika uzinduzi wa mpango huo. Wengine katika picha ni Brigitte Alfred (katikati) na Maria Ngowi ambaye ni mkurugenzi wa JAT
 
Viongozi wa Taasisi ya Brigitte Alfred Foundation, TAS na JAT katika picha ya pamoja mara baada ya kuzinduzi mpango wa kusomesha albino 50 masomo ya Ujasiriamali.
 ***********
Na Mwandishi wetu
Taasisi ya ya Miss Tanzania 2012, Brigitte Alfred ijulikanayo kwa jina na Brigitte Alfred Foundation (BAF) ikishirikiana na taasisi ya Junior Achievement Tanzania (JAT) inazindua rasmi mafunzo ya ujasiriamali kwa jamii ya Albino.
 
Akizungumza katika uzinduzi huo jana, Brigitte alisema kuwa taasisi yake kwa kushirikiana na JAT itaanza na mafunzo kwa albino 50.
 
Brigitte alisema kuwa mafunzo hayo yanalenga sehemu kuu mbalimbali ambazo ni kujitambua (Life skills), kutathmini aina mbalimbali za biashara (Business Analysis), namna ya kutunza pesa ( How to save), kuandika mchanganuo wa biashara (Business Plan), kutembelea sehemu mbalimbali zinazoendana na biashara atakayoifanya na jinsi ya kuanza biashara.
 
Alisema kuwa BAF ikishirikiana na wadau mbalimbali na pia itagharimia gharama za mafunzo na mahitaji mbalimbali ya kuboresha hali yao.
 
“Mafunzo haya yatachukua muda wa mwaka mmoja yaani watashiriki na yataanza rasmi Agosti 18, kila mshiriki wa mafunzo haya atapatiwa kitabu chenye masomo yote ili aweze kuendelea kujisomea,” alisema Brigitte.
 
Mkurugenzi wa JAT, Maria Ngowi alisema kuwa wamejipanga kufanikisha mpango huo na wanaamini albino watakaopata mafunzo hayo watafanikiwa katika maisha yao ya kila siku.
 
Ngowi alisema kuwa JAT imejikita katika Nyanja tatu ambazo ni ujasiria mali, elimu ya kuzalisha, kuiwekeza na kutunza fedha na elimu ya kazi.
 
Alisema kuwa taasisi yao ni sehemu ya taasisi kubwa ulimwenguni inayoitwa Junior Achievement International ambayo iko katika nchi 120 duniani huku afrika ikiwa katika nchi 17.
 
Kaimu Katibu Mkuu wa Tanzania Albino Society (TAS), Mohamed Chanzi alimshukuru Brigitte na JAT kwa kuwajali na kuomba wadau mbali mbali kuwaunga mkono.
 
“Wamelenga kutusaidia kimaisha, kwani msaada wa elimu ni mkubwa kulinganisha misaada mingine, naomba wadau wawaunge mkono,” alisema Chanzi.

MAMA SALMA KIKWETE AKUTANA NA WANAWAKE WATANZANIA WAJASIRIAMALI WA DMV JIJINI WASHINGTON

August 04, 2014


 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea shada la maua kutoka kwa Ndugu Juster Mutakyawa mara baada ya kuwasili kwenye ofisi ya ubalozi wa Tanzania nchini Marekani iliyoko Washington tarehe 3.8.2014.
 Mke wa Rais na Mwenyekiti wa Taasisi ya Wanawake na Maendeleo,WAMA, Mama Salma Kikwete akipokewa na Mwenyekiti wa kikundi cha wanawake wajasiriamali cha Watanzania wanaoishi Washington kiitwacho TANO Ladies Ndugu Asha Hariz wakati alipotembelea ofisi ya ubalozi wa Tanzania nchini Marekani tarehe 3.8.2014.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea kipeperushi kutoka kwa Rais na Mtendaji Mkuu wa kampuni ya  Help for Underserved Communities  (HUC) ya nchini Marekani Ndugu Zawadi Sakapalla baada ya kupata taarifa ya huduma mbalimbali zitolewazo na kampuni hiyo. Kampuni hiyo husaidia familia maskini kwa kuwapatia huduma ya maji safi na salama kwa kuwachimbia visima pamoja na kutoa vifaa vya elimu kwa wanafunzi.
 Baada ya kutembelea maonesho ya wanawake wajasiriamali Mama Salma Kikwete akifuatana na Afisa Tawala wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani Mama Lily Munanka kwenda kuweka saini kwenye kitabu cha wageni.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitia saini kwenye kitabu cha wageni. Aliyesimama kushoto ni Bibi Lily Munanka, Afisa wa Ubalozi wa Tanzania nchini Marekani.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akitambulishwa kwa wana kikundi wa TANO Ladies. Wa kwanza kushoto ni Mwenyekiti Asha Hariz, akifuatiwa na Asha Nyang’anyi, Isca Kauga, Juster Mutakyawa na Tumaini Kaisi aliyeshika kipaza sauti.
  Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akipokea zawadi kutoka kikundi cha TANO Ladies cha nchini Marekani. Anayekabidhi zawadi hiyo kwa niaba ya wanakikundi wenzake  Ndugu Juster  Mutakyawa.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na akina mama wa kitanzania wajasiriamali wanaoishi nchini Marekani kwenye ukumbi wa ofisi ya ubalozi wetu mjini Washington tarehe 3.8.2014.
 Baadhi ya wanawake wajasiriamali na wafanyakazi wa ubalozi wa Tanzania nchini Marekani wakisikiliza kwa makini hotuba iliyokuwa ikitolewa na Mke wa Rais Mama Salma Kikwete.
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza 
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akizungumza na akina mama wa kitanzania wajasiriamali wanaoishi nchini Marekani
 Mke wa Rais Mama Salma Kikwete akiagana na baadhi ya wanawake mwishoni mwa mazungumzo yake na wanawake hao yaliyofanyika kwenye ukumbi wa ofisi ya ubalozi wa Tanzania nchini Marekani huko  Washington tarehe 3.8.2014.
  Mke wa Rais akipiga picha ya pamoja na Balozi wa Tanzania nchini Marekani Mheshimiwa Liberata Mulamula.
Balozi wa Tanzania nchni Marekani Mheshimiwa Liberata  Mulamula akimuaga Mke wa Rais Mama Salma Kikwete mara baada ya kutembelea ofisi za ubalozi huo na kuongea na wanawake wa Tanzania wanaoishi nchini Marekani. PICHA NA JOHN LUKUWI.

OMARI NUNDU,AMINA MWIDAU WAHUDHURIA KIKAO CHA BARAZA LA MADIWANI HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA KUJADILI MASUALA YA MAENDELEO LEO

August 04, 2014
MBUNGE WA JIMBO LA TANGA,OMARI NUNDU KATIKATI KUSHOTO NI MBUNGE WA VITI MAALUMU CUF WILAYA YA TANGA AMINA MWIDAU NA NAIBU MEYA WA JIJI LA TANGA MUDHAMIRU SHEMDOE WAKIFUATILIA MIJADALA MBALIMBALI KWENYE KIKAO HICHO LEO

MEYA WA JIJI LA TANGA,OMARI GULEDI KUSHOTO NA KULIA NI MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA JULIANA MALANGE

MSTAHIKI MEYA WA JIJI LA TANGA,OMARI GULEDI AKIPITIA MAKBRASHA MBALIMBALI.

MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA JIJI LA TANGA,JULIANA MALANGE.

MBUNGE WA JIMBO LA TANGA OMARI GULEDI AKIPITIA MAKABRASHA ,MBALIMBALI YA VIKAO

WAJUMBE WAKIFUATILIA MIJADALA MBALIMBALI LEO




DIWANI WA KATA YA MSAMBWENI KUPITIA CUF ABDURHAMANI AKITOA HOJA YAKE LEO