Serikali Mtandao inarahisisha utendaji kazi na utoaji wa huduma kwa umma. Usikose kuangalia kipindi hiki cha Seikali Mtandao katika Mamlaka ya Usimamizi wa Bandari Tanzania (TPA) uone jinsi wanavyotumia mifumo mbalimbali ya TEHAMA katika kazi zao za kila siku.
SHIRIKA LA BIMA LA TAIFA (NIC) IMETOA GAWIWO LA SHILINGI BILIONI 1.7 KWA SERIKALI
Mkurugenzi
Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC) Bw. Sam Kamanga, akizungumza
jambo wakati wa tukio la Shirika hilo kukabidhi gawiwo kwa Serikali,
kiasi cha Sh. Bil. 1.7, Makao Makuu ya Wizara ya Fedha, mjini Dodoma.
Waziri
wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Philip Mpango (MB) akimsikiliza
Mkurugenzi Mtendaji wa Shirika la Bima la Taifa (NIC), Bw. Sam Kamanga,
katika hafla ya makabidhiano ya gawiwo la Sh. Bil.1.7 liyofanyika mjini
Dodoma.
Viongozi
waandamizi wa Wizara ya Fedha na Mipango, wakishiriki tukio la Shirika
la Bima la Taifa (NIC) kuikabidhi Serikali gawiwo la Sh. Bil. 1.7 baada
ya Shirika hilo kufanya vizuri kibiashara katika Mwaka wa Fedha
2016/2017, tukio lililofanyika makao Makuu ya Wizara ya Fedha na
Mipango, mjini Dodom
Naibu
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha na Mipango Bi. Doroth Mwanyika, akifurahia
jambo wakati wa tukio la Shirika la Bima la Taifa (NIC) kuikabidhi
Serikali gawiwo la Sh. Bil. 1.7 baada ya Shirika hilo kupata faida
katika mwaka wa fedha 2016/2017
Naibu
Waziri wa Fedha na Mipango, Mhe. Dkt. Ashatu Kijaji (Mb), akisisitiza
jambo wakati wa tukio la Shirika la Bima la Taifa (NIC) kukabidhi
Serikalini gawiwo la Sh. bil. 1.7, baada ya Shirika hilo kupata faida
kibiashara katika mwaka wa Fedha 2016/2017, Makao Makuu ya Wizara ya
Fedha na Mipango Mjini Dodoma
ORIFLAME YASHEREHEKEA MIAKA 50 YA UTOAJI HUDUMA NA UUZAJI BIDHAA ZAKE ZA VIPODOZI DUNIAN
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Oriflame Afrika Mashariki, Piyush Chandra
akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye hafla ya kusheherekea miaka 50 ya kampuni
hiyo katika utoaji huduma na uuzaji wa bidhaa za vipodozi Duniani. Wapili
kushoto ni Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Katarina Rangnitt, Mtaalamu wa
masuala ya siasa na biashara kutoka ubalozini, Ludvig Bontell na Meneja Masoko
wa Oriflame Afrika Mashariki, Mary Riungu.
Balozi wa Uswisi nchini Tanzania, Katarina Rangnitt (wapili kushoto)
akizungumza jijini Dar es Salaam kwenye hafla ya kutimiza miaka 50 ya kampuni
hiyo katika utoaji wa huduma na uuzaji wa bidhaa za vipodozi Duniani. Kushoto
ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Oriflame Afrika Mashariki, Piyush Chandra,Mtaalamu
wa masuala ya siasa na biashara kutoka ubalozini, Ludvig Bontell na Meneja
Masoko wa Oriflame Afrika Mashariki, Mary Riungu.
Meneja
Masoko wa Oriflame Afrika Mashariki, Mary Riungu jijini Dar es Salaam kwenye
hafla ya kutimiza miaka 50 ya kampuni hiyo katika utoaji wa huduma na uuzaji wa
bidhaa za vipodozi Duniani. Wapili Kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya
Oriflame Afrika Mashariki, Piyush Chandra, Balozi wa Uswisi nchini Tanzania,
Katarina.
Balozi wa bidhaa za Oriflame Tanzania, Missie Popular akizungumza jijini
Dar es Salaam baada ya kutambulishwa na Meneja Masoko wa Kampuni hiyo katika
nchi za Afrika Mashariki, Mary Riungu wakati wa maadhimisho ya miaka 50 ya
utoaji wa huduma na uuzaji wa bidhaa za vipodozi Duniani.
Baadhi ya wadau waliohudhuria katika maadhimisho ya miaka 50 ya utoaji wa
huduma na uuzaji wa bidhaa za Oriflame, wakifuatilia hotuba mbalimbali
zilizokuwa zikitolewa na viongozi wakuu wa Kampuni hiyo katika hafla
iliyofanyika jijini Dar es Salaam. (PICHA ZOTE NA VENANCE NESTORY)
WANACHUO 592 KUTOKA CHUO CHA MIPANGO NA ST. JOHN DODOMA,WAPEWA ELIMU KUHUSU PSPF NA KUJIUNGA NA MPANGO WA UCHANGIAJI WA HIARI (PSS)
SHIRIKA LA BRAC LAKABIDHI VIFAA VYA MILIONI 153 KWA WASICHANA WAJASIRIAMALI 700 TANGA.
Diwani wa Kata ya Makorora Omari Mzee akizungumza katika Halfa hiyo kulia ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi |
Meneja Mipango wa Elimu kutoka BRAC Tanzania Amina Shabani akizungumza katika halfa hiyo |
Meza kuu wakifuatilia matukio mbalimbali katika halfa hiyo |
Mmoja kati ya wasichana wanaoishi kwenye mazingira magumu ambao wamejengewa uwezo na kupata fursa ya kujiendelea kukuza na kujiendeleza kiuchumi Aisha Mohamed akiishuru Brac kwa kuwawezesha ili waweze kukabiliana na maisha bnaada ya kupatiwa mafunzo
Baadhi ya wananchi na wazazi wa wasichana wakifuatilia matukio mbalimbali ya makabidhiano vifaa vyenye thamani ya sh.,milioni 153 wasichana wajasiriamali 700 kutoka mkoani Tanga ili waweze kujikwamua kiuchumi
Baadhi ya wananchi na wazazi wa wasichana
wakifuatilia matukio mbalimbali ya makabidhiano vifaa vyenye thamani ya
sh.,milioni 153 wasichana wajasiriamali 700 kutoka mkoani Tanga ili
waweze kujikwamua kiuchumi
Walimu ambao walikuwa wakiwafundisha wasichana hao masuala mbalimbali ya ujasiriamali wakiwa kwenye picha ya pamoja wakati wa halfa hiyo
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wasichana wajasiriamali 700 mkoani hapa ambao walikabidhiwa vifaa vyenye thamani ya milioni 153 ambavyo ni vyerahani 90,mashine za kukaushia nywele 90,vifaa vya ufugaji wa kuku,vifaa vya kilimo,vifaa vya upishi,vifaa vya kwa ajili ya utengenezaji wa batiki na mabegi ya kike
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi
katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wasichana wajasiriamali 700
mkoani hapa ambao walikabidhiwa vifaa vyenye thamani ya milioni 153
ambavyo ni vyerahani 90,mashine za kukaushia nywele 90,vifaa vya ufugaji
wa kuku,vifaa vya kilimo,vifaa vya upishi,vifaa vya kwa ajili ya
utengenezaji wa batiki na mabegi ya kike
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi
katika akiwa kwenye picha ya pamoja na wasichana wajasiriamali 700
mkoani hapa ambao walikabidhiwa vifaa vyenye thamani ya milioni 153
ambavyo ni vyerahani 90,mashine za kukaushia nywele 90,vifaa vya ufugaji
wa kuku,vifaa vya kilimo,vifaa vya upishi,vifaa vya kwa ajili ya
utengenezaji wa batiki na mabegi ya kike
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi kushoto akimkabidhi cherehani cha kusonea nguo Aisha Mohamed wakati alipokwenda kuwakabidhi vifaa vyenye thamani ya sh.milioni 153 wasichana wajasiriamali 700 vilivyotolewa na Shirika la BRAC kwa wasichana waliopata mafunzo ya ujasiriamali na shirika hilo
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi kushoto akimkabidhi mashine ya kukaushia nywele mwanafunzi Thabituwa Shabani wakati wa halfa hiyo kulia ni Meneja Mipango wa Elimu kutoka BRAC Tanzania Amina Shaban
Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Mhandisi Zena Saidi katikati akikabidhi mabegi ya kike kwa wasichana 700 wa mkoa wa Tanga kushoto ni Meneja Mipango wa Elimu kutoka BRAC Tanzania Amina Shabani
MPINA ATOKEA TAARIFA YA UJENZI WA JENGO LA OFISI YA MAKAMU WA RAIS
Naibu Waziri Ofisi ya
Makamu wa Rais Muungano na Mazingira Mhe. Luhaga Mpina katikati, akiongea
wakati wa kupokea taarifa ya ujenzi wa jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais
kutoka kwa mwakilishi wa Wakala wa Majengo nchini (TBA) Injinia Mtapuli
Juma (hayupo katika Picha) katika Ofisi hiyo Mtaa wa Luthuli Jijini
Dar es Salaam Leo, kushoto ni Mkurugenzi wa Idara ya Muungano wa Ofisi
Hiyo Bw. Baraka Baraka.
Injinia Mtapuli Juma kutoka wakala wa majengo nchini (TBA) akiwasilisha taarifa ya jengo la Ofisi ya Makamu wa Rais leo katika ofisi hiyo jijini Dar es Salaam |
Kushoto Mkurugenzi wa
Manunuzi wa Ofisi ya Makamu wa Rais Bi Monica Kasuma akiongea jambo
katika kikao cha kupokea Taarifa ya Ujenzi wa Jengo la Ofisi hiyo Jijini
Dar es Salaam Leo. Kulia ni Mkurugenzi wa Utumishi na Utawala wa Ofisi
hiyo Bi Mary Fidelis ( Picha na Evelyn Mkokoi w Ofisi ya Makamu wa Rais.)
Sehemu ya Washiki katika
Picha wakifuatilia uwasilishwaji wa taarifa ya jengo la Ofisi ya Makamu
wa Rais katika kikao kilichofanyika Ofisini hapo jijini Dar es Salaam
leo.
WAAMUZI WA DJIBOUTI KUCHEZESHA TAIFA STARS v LESOTHO
Shirikisho
la Mpira wa Miguu Afrika (CAF), limetangaza wamuzi wa mchezo kati ya
Tanzania na Lesotho unaotarajiwa kufanyika Jumamosi Juni 10, mwaka huu
kwenye Uwanja wa Azam ulioko Chamazi, Dar es Salaam.
Kwa
mujibu wa CAF, waamuzi hao ni Abdillah Mahamoud - atakayekuwa mwamuzi
wa kati wakati wasaidizi wake ni Gamaladen Abdi na Farhan Bogoreth
wakati mwamuzi wa akiba atakuwa Twagirumukiza Abdoulkarim kutoka Rwanda
huku Kamishna akiwa ni Amir Hassan wa Somalia
Waamuzi
hao pamoja na kamishna wanatarajiwa kufika Dar es Salaam, Tanzania
kesho Ijumaa kwa ndege ya Shirika la Ndege la Kenya (KQ) wakati
wapinzani wa Taifa Stars wanaingia jioni ya saa 11.55 kwa ndege ya
Shirika la Ndege la Afrika Kusini. Timu hiyo itafikia Hoteli ya Southern
Sun, Dar es Salaam.
Mchezo
kati ya Taifa Stars na Lesotho, utafanyika kuanzia saa 2.00 usiku
kwenye Uwanja wa Azam uliko Chamazi, Dar es Salaam na ili kuwapa fursa
Watanzania wengi kushuhudia mchezo huo, Shirikisho la Mpira wa Miguu
Tanzania (TFF), limeondoka kiingilio cha Sh 15,000.
Hivyo sasa Viingilio katika mchezo huo vitakuwa ni Sh 10,000 kwa Jukwaa Kuu wakati mzunguko itakuwa ni Sh 5,000.
Kujiandaa
na Mchezo huo Taifa Stars ilipiga kambi hapa nchini kuanzia Mei 23,
mwaka huu kabla ya kwenda Alexandria, Kaskazini kabisa mwa nchi ya Misri
ambako ilipiga kambi ya wiki. Kambi hiyo ilifurahiwa na Kocha Mkuu wa
Taifa Stars, Salum Mayanga.
Mchezo
huo dhidi ya Lesotho utakuwa ni wa kwanza kwa Taifa Stars katika Kundi
‘L’ kuwania nafasi muhimu ya kucheza fainali za Kombe la Mataiafa ya
Afrika (AFCON) za mwaka 2019 zitakazofanyika Cameroon.
Mbali
ya Lesotho na Tanzania, mataifa mengine katika Kundi ‘L’ ni Uganda na
Cape Verde ambao pia wikiendi ya Juni 9, 10 na 11, mwaka huu watakuwa
katika mchezo wa kwanza pia kuwania nafasi hiyo.
MSANII IRENE VEDA AULA UBALOZI WA UTALII KUPITIA BODI YA TAIFA YA UTALII TANZANIA (TTB)
Mkurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB) Bi. Devotha Mdachi(kulia) Akimkabidhi mkataba Balozi wa ukarimu 'Goodwill Ambassador' wa TTB Irene Veda mara baada ya kusaini.
Mkurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB) Bi. Devotha Mdachi(kulia) akimwelekeza Balozi wa ukarimu 'Goodwill Ambassador' wa TTB Irene Veda sehemu za kusaini mkataba wake wa miaka miwili.
Balozi wa ukarimu 'Goodwill Ambassador' wa TTB Irene Veda(kushoto) akiendelea kusaini mkataba wake .
Mkurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB) Bi. Devotha Mdachi(kulia) akimalizia kumwelezea Balozi wa ukarimu 'Goodwill Ambassador' wa TTB Irene Veda sehemu za mwisho za kusaini katika Mkataba huo.
Balozi wa ukarimu 'Goodwill Ambassador' wa TTB Irene Veda akimalizia kusaini Mkataba wake ili kuanza rasmi kazi za kupeperusha Bendera ya kutangaza Utalii nchini Tanzania.
Mkurugenzi wa Bodi ya Taifa ya Utalii (TTB) Bi. Devotha Mdachi(kulia) pamoja na Balozi wa ukarimu 'Goodwill Ambassador' wa TTB Irene Veda wakionesha Mikataba yao baada ya kumaliza kusaini.
Kuona kazi ambazo ameanza kuzifanya bofya
Instagram: www.instagram.com/twendetukataliitz
Twitter: www.twitter.com/TukataliiTz
Facebook: www.facebook.com/TwendeTukataliiTz
Kuona kazi ambazo ameanza kuzifanya bofya
Instagram: www.instagram.com/twendetukataliitz
Twitter: www.twitter.com/TukataliiTz
Facebook: www.facebook.com/TwendeTukataliiTz
DC MUHEZA AFUTURISHA WAKAZI WA WILAYA HIYO.
Wageni wilayani Muheza Mkoani Tanga wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi,Hajat Mwanasha Tumbo
Wageni wilayani Muheza Mkoani Tanga wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi,Hajat Mwanasha Tumbo
Wageni wilayani Muheza Mkoani Tanga wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mhandisi,Hajat Mwanasha Tumbo
MKUU wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo kulia akiwa na Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga (RAS) Mhandisi Zena Saidi katikati anayefuatia ni Katibu Tawala wa wilaya ya Muheza (DAS) na Mkurugenzi wa Halmashauri ya wilaya ya Muheza,Luiza Mlelwa wakipata futari iliyoandaliwa na mkuu huyo wa wilaya nyumbani kwake.
Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo kulia kushoto ni Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga Mhandisi Zena Saidi wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu huyo wa wilaya.
Baadhi ya waalikwa wakipata futari hiyo
Baadhi ya wageni waalikwa wakipata futari iliyoandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo
Wageni waalikwa wakipata futari nyumbani kwa Mkuu wa wilaya ya Muheza.
Katibu Mwenezi wa CCM wilaya ya Muheza,Makame Seif katikati akiwahudumia wageni waalikuwa kwenye futari hiyo anayepokea chai ni Mganga Mkuu wa wilaya ya Muheza,Mathew Mganga
Waalikwa wakipata futari hiyo wa pili kutoka kulia ni Mganga Mkuu wa wilaya ya Muheza,MathewMganga
Wageni waalikuwa kwenye futari hiyo katikati ni Amina Omari Mwandishi wa gazeti la Mtanzania Mkoa wa Tanga na kulia ni Mariam Shedafa kutoka Azam TV Tanga
Mkuu wa wilaya ya Tanga,Thobias Mwilapwa katikati akiwa na wageni wengine wakishiriki kwenye futari hiyo ambayo iliandaliwa na Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo
Mkuu wa wilaya ya Muheza Mkoani Tanga,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo akizungumza na waandishi wa habari ambapo alitoa shukrani kwa kuitikia mwitikio wa futari hiyo
Mkuu wa wilaya ya Muheza,Hajat Mhandisi Mwanasha Tumbo akiagana na waandishi wa habari mara baada ya kumalizika futari hiyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)