Megawati 150 kuongezeka katika Gridi ya Taifa
Naibu
Mkurugenzi Mtendaji, Uwekezaji Mhandisi Decklan Mhaiki (katikati)
akimweleza Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo
(kushoto) pamoja na Waandishi wa habari moja ya mashine za kufua Umeme
zitakazofungwa katika eneo la Kinyerezi I jijini, Dar es Salaam. Kulia
ni Mkurugenzi Mkazi wa Mradi wa ujenzi huo, Bw. Shaun Moore.
MWENYEKITI TUME YA TAIFA YA UCHAGUZI AELEZEA MAANDALIZI YA MWISHO UCHAGUZI KALENGA
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu Damian Lubuva akifafanua jambo kwa msisitizo kuhusia na maandalizi
ya mwisho ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga, unaotarajiwa kufanyika
Machi 16, mkutano huo umewakutanisha wadau mbalimbali vikiwemo vyama
vya Siasa,vyombo vya usalama na wadau wengine
Mwenyekiti
wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu Damian Lubuva akizungumza
mbele ya waandishi wa habari mapema leo,kuhusu uchaguzi mdogo wa jimbo
la Kalenga katika kikao cha pamoja na vyama vilivyosimamisha wagombea
kwenye mkutano uliofanyika katika ukumbi wa Siasa ni Kilimo ulioko
Halmashauri ya wilaya ya Iringa Vijijini.Uchaguzi wa Jimbo hilo
unatarajiwa kufanyika Machi 16.Ambapo Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi
ameeleza kuwa idadi ya wapiga kura jumla yao ni 71,765.
Mwenyekiti
wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu Damian Lubuva akijadiliana
jambo na Makamu Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi,Jaji Mstaafu
Hamid Mahmoud Hamid kwenye mkutano uliohusu kupeana taarifa ya
maandalizi ya mwisho ya Uchaguzi mdogo wa Jimbo la Kalenga,unaotarajiwa
kufanyika Machi 16,mkutano huo umewakutanisha wadau mbalimbali vikiwemo
vyama vya Siasa,vyombo vya usalama na wadau wengine,mkutano huo
umefanyika leo asubuhi kwenye ukumbi wa Siasa ni Kilimo zilizomo ndani
ya Ofisi za Halmashauri Wilaya ya Iringa.
Stori: Makongoro Oging’ na Harun Sanchawa
MAJONZI, huzuni na masikitiko vimeikumba familia ya Lwena kufuatia mtoto wao mpendwa Dorryce Lwena (27) kufariki dunia kwa kupigwa risasi mkono wa kushoto na ubavu wa kushoto na watu wasiojulikana, Uwazi lilifuatilia.
MAJONZI, huzuni na masikitiko vimeikumba familia ya Lwena kufuatia mtoto wao mpendwa Dorryce Lwena (27) kufariki dunia kwa kupigwa risasi mkono wa kushoto na ubavu wa kushoto na watu wasiojulikana, Uwazi lilifuatilia.
Jeneza lenye mwili wa Dorryce Lwena.
Tukio hilo la kusikitisha lilitokea mwanzoni mwa mwezi huu, saa tatu
usiku, Uwanja wa Edosi, Kitunda, Ilala hatua chache kutoka nyumbani kwa
marehemu huyo.
Subscribe to:
Posts (Atom)