SAMIR NASRI AZIDI KUWAZIBA MIDOMO WABAYA WAKE MAN CITY IKIUA 3-0 UARABUNI

May 15, 2014
KIUNGO Samir Nasri ameendeleza wiki nzuri za mafanikio katika soka, baada ya jioni ya leo kufanya kazi nzuri Manchester City ikicheza mchezo wa kirafiki na Al Ain katika ziara yake ya Falme za Kiarabu. 
Mfaransa huyo atakwenda na kulala na tabasamu zuri baada ya kutengeneza mabao mawili katika ushindi wa 3-0 wa mabingwa hao wa Ligi Kuu ya England kwenye Uwanja wa Hazza bin Zayed.

Anakwenda na mpira: Nyota wa Manchester City, Samir Nasri akimtoka beki wa Al Ain katika mchezo wa kirafiki leo
Greeting: At least this fan was happy to see Manchester City forward Samir Nasri
Greeting: At least this fan was happy to see Manchester City forward Samir Nasri
Tunakupenda: Shabiki huyo alishindwa kujizuia na kuvamia uwanjani kwenda kumbusu Samir Nasri

*RAIS KIKWETE AMUAPISHA BALOZI MPYA WA TANZANIA URUSI, NAIBU KATIBU MTENDAJI WA TUME YA MIPANGO

May 15, 2014

  Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam leo mchana.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi makabrasha baada ya kumuapisha  Luteni Generali Wyjones Kisamba kuwa Balozi wa Tanzania nchini Urusi Ikulu jijini Dar es salaam leo.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimuapisha Mhe Paul Thomas Sangawe kuwa Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango  Ikulu jijini Dar es salaam leo.
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi makabrasha  baada ya kumuapisha Mhe Paul Thomas Sangawe kuwa Naibu Katibu Mtendaji Tume ya Mipango  Ikulu jijini Dar es salaam leo.
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete, Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali, Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Kimataifa Mhe Bernard Membe, wakiwa na walioapishwa Luteni Generali Wyjones Kisamba na  Mhe Paul Thomas Sangawe  Ikulu jijini Dar es salaam leo. PICHA NA IKULU

NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISENI DEO MTASIWA AKUTANA NA VIONGOZI WA MFUKO WA BIMA YA AFYA NHIF KWENYE MKUTANO WA 30 WA ALAT MJINI TANGA.

May 15, 2014


VIONGOZI WA BIMA YA AFYA WAKIWA KATIKA MKUTANO MKUU WA 30 WA ALAT KWENYE UKUMBI WA REGAL NAIVERA JIJINI TANGA PAMOJA NA NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISEMI  DEO MTASIWA,WA PILI KUSHOTO NI MENEJA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA NIHF MKOA WA TANGA,ALLY MWAKABABU WA PILI KUTOKA KULIA NI NDG RAPHAEL MWAMOTO AMBAYE NI MKURUGENZI WA UTAFITI NA MASOKO WA ELIMU KWA JAMII WA MFUKO WA BIMA YA AFYA.


VIONGOZI WA BIMA YA AFYA WAKIWA KATIKA MKUTANO MKUU WA 30 WA ALAT KWENYE UKUMBI WA REGAL NAIVERA JIJINI TANGA PAMOJA NA NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISEMI  DEO MTASIWA,WA PILI KUSHOTO NA WA KWANZA KULIA NI MENEJA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA NIHF MKOA WA TANGA,ALLY MWAKABABU WA PILI KUTOKA KULIA NI NDG RAPHAEL MWAMOTO AMBAYE NI MKURUGENZI WA UTAFITI NA MASOKO WA ELIMU KWA JAMII WA MFUKO WA BIMA YA AFYA.

MENEJA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA MKOA WA TANGA (NHIF) AKIFURAHIA JAMBO JANA KWENYE MKUTANO WA 30 WA ALAT UNAOFANYIKA JIJINI TANGA.

WATU WATATU WAKAMATWA NA MENO 25 YA KIBOKO NA VIPANDE 8 VYA MENO YA TEMBO

May 15, 2014

Kamanda wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es salaam Kamishna Suleiman Kova akionesha sehemu ya  vipande 8 vya meno ya tembo vilivyodakwa huko Tabata Kisiwani jijini Dar es salaam

MISS DAR CITY CENTRE 2014 TALENT SHOW KUTIKISA MAISHA CLUB

May 15, 2014

 Warembo wanaowania taji la Miss Dar City Center 2014 wakiwa katika picha ya pamoja wakati wa mkutano na waandishi wa Habari hii leo.
Mratibu wa shindano hilo, Judith Michael akizungumza na wanahabari, pamoja nae ni Mkufunzi wa warembo hao. 

MKUTANO WA NNE WA WADAU WA NSSF WAENDELEA KWA SIKU YA TATU JIJINI ARUSHA LEO

May 15, 2014




 Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Hesabu za Serikali na Mbunge wa Jimbo la Kigoma Kaskazini,Mh. Zitto Kabwe akiwasilisha mada yake iliyohusu Umuhimu wa Mifuko ya Hifadhi za Jamii kwa Sekta zisizo rasmi wakati wa Mkutano wa nne wa Wadau wa Shirika la Taifa la Hifadhi ya Jamii (NSSF) unaoambatana na Maadhimisho ya Miaka 50 ya NPF-NSSF unaoendelea,kwenye ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa AICC,jijini Arusha.

KINAPA YATANGAZA OFA YA KUPANDA MLIMA KILIMANJARO.

May 15, 2014

Mkuu wa idara ya utalii katika hifadhi ya taifa ya mlima Kilimanjaro Eva Mallya akitoa ufafanuzi juu ya utaratibu mpya wa kuhamasisha utalii wa ndani.

PROIN PROMOTIONS YATANGAZA RASMI KUDHAMINI LIGI YA MPIRA WA MIGUU KWA WANAWAKE

May 15, 2014

Katibu wa Michezo kutoka Kampuni ya Proin, Godlisten Anderson akitambulisha viongozi wa kampuni ya Proin Promotions kwa waandishi wa habari wakati wa Mkutano na Waandishi wa habari uliofanyika leo katika Hoteli ya Southern Sun. Kampuni ya Proin imetangaza kudhamini ligi ya mpira wa miguu kwa Wanawake inayotarajiwa kuanza Mwezi wa Nane.
Rais TFF, Mh Jamal Malinzi na Mwenyekiti wa makampuni ya Proin, Mh Johnson Lukaza wakitia saini katika mkataba wa makubaliano ya udhamini wa ligi ya mpira wa miguu kwa wanawake itakayoanza mwezi wa Nane.
MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI LEO MJINI DODOMA

MATUKIO KATIKA PICHA BUNGENI LEO MJINI DODOMA

May 15, 2014

PG4A9305  
Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akiteta na Mbunge wa  Nkasi Kaskazini, Ally Keissy Mohamed, bungeni mjini Dodoma Mai 15, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
PG4A9316 
Mbunge wa Viti Maalum, Mchungaji Dr. Getrude Rwakatare  (kulia) akizungumza na  Mbunge wa Ileje, Aliko Kibona, bungeni mjini Dodoma Mei 15, 2014. (Picha na Ofisi ya Waziri Mkuu)
RAIS KIKWETE AWAPA CHANGAMOTO MARC NA MADC

RAIS KIKWETE AWAPA CHANGAMOTO MARC NA MADC

May 15, 2014

a6
Na Magreth Kinabo – Maelezo
 Rais Jakaya Kikwete   amewataka  Wakuu wa mikoa na wilaya  kuhakikisha kuwa  wanasimamia  Mpango Mkakati  ulioboreshwa wa  Kuongeza Kasi ya Kupunguza vifo vya  Uzazi vya wakinamama na watoto  hususan wachanga ili kutimiza malengo ya millennia namba nne na tano ifikapo mwaka 2015.

MKUU WA MKOA WA RUKWA AONANA NA WATAFITI KUTOKA TAASISI YA UTAFITI WA KILIMO UYOLE MBEYA KUJADILI KUINUA KILIMO CHA NGANO MKOANI RUKWA

May 15, 2014

Mkuu wa Mkoa wa Rukwa Injinia Stella Manyanya akizungumza na watafiti kutoka taasisi ya Utafiti wa Kilimo Uyole iliyopo Mkoani Mbeya walipomtembelea ofisini kwake leo kutambulisha mpango wa SARD (Strategic Agriculture Reseach Development) unaodhaminiwa na Benki ya Maendeleo ya Afrika ADB (Africa Development Bank). Mpango huo una lengo la kupunguza utegemezi wa chakula nchini kwa kuongeza uzalishaji wa vyakula mbalimbali ikiwemo zao la ngano ambalo ni sehemu ya mradi huo Mkoani Rukwa.
Katika kikao hicho Mkuu wa Mkoa wa Rukwa alisisitiza juu upatikanaji wa masoko ya kudumu kwa mazao yatakayozalishwa katika mpango huo badala ya kuwekeza nguvu katika uzalishaji pekee.
RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI NA VYA WATOTO LEO

RAIS KIKWETE AZINDUA MPANGO MKAKATI WA KUONGEZA KASI YA KUPUNGUZA VIFO VYA UZAZI NA VYA WATOTO LEO

May 15, 2014

a2  
 Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akionesha jedwali la  alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
a3  
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi kitabu Bibi Halima Shariff, mmoja wa wadau wa afya kutoka katika kundi la marafiki wa maendeleo. pamoja na kitabu hicho pia kuna  jedwali (score-card) la  alama za ufuatiliaji wa utendaji wa huduma za afya ya mzazi na mtoto wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
a4  
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete na Mama Salma Kikwete na wagemi wengine wakifuatilia maelezo wakati wa  uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. Pamoja naye ni naibu Waziri wa Afya Dkt Kebwe Sthephen Kebwe.
a6 
Rais Dkt Jakaya Mrisho Kikwete akiongea wakati wa uzinduzi wa Mpango Mkakati wa Kuongeza kasi ya kupunguza vifo vitokanavyo na uzazi na vifo vya watoto katika ukumbi wa mikutani wa kimataifa wa Mwalimu Julis Nyerere jijini Dar es salaam leo. 
PICHA NA IKULU

SAMATA, ULIMWENGU KUTUA JUMAMOSI

May 15, 2014
NA BONIFACE WAMBURA,DAR ES SALAAM.
Wachezaji wa kimataifa wa Tanzania wanaochezea TP Mazembe ya Jamhuri ya Kidemokrasi ya Congo (DRC), Mbwana Samata na Thomas Ulimwengu wanatarajiwa kuwasili Jumamosi mchana (Mei 17 mwaka huu) kujiunga na Taifa Stars kwa ajili ya mechi dhidi ya Zimbabwe (Mighty Warriors).

Washambuliaji hao watatokea moja kwa moja Sudan ambapo kesho (Mei 16 mwaka huu) TP Mazembe itacheza mechi ya Ligi ya Mabingwa Afrika dhidi ya timu ya huko.

NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISENI DEO MTASIWA AKUTANA NA VIONGOZI WA MFUKO WA BIMA YA AFYA NHIF KWENYE MKUTANO WA 30 WA ALAT MJINI TANGA.

May 15, 2014
VIONGOZI WA BIMA YA AFYA WAKIWA KATIKA MKUTANO MKUU WA 30 WA ALAT KWENYE UKUMBI WA REGAL NAIVERA JIJINI TANGA PAMOJA NA NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISEMI  DEO MTASIWA,WA PILI KUSHOTO NI MENEJA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA NIHF MKOA WA TANGA,ALLY MWAKABABU WA PILI KUTOKA KULIA NI NDG RAPHAEL MWAMOTO AMBAYE NI MKURUGENZI WA UTAFITI NA MASOKO WA ELIMU KWA JAMII WA MFUKO WA BIMA YA AFYA.


VIONGOZI WA BIMA YA AFYA WAKIWA KATIKA MKUTANO MKUU WA 30 WA ALAT KWENYE UKUMBI WA REGAL NAIVERA JIJINI TANGA PAMOJA NA NAIBU KATIBU MKUU WA TAMISEMI  DEO MTASIWA,WA PILI KUSHOTO NA WA KWANZA KULIA NI MENEJA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA NIHF MKOA WA TANGA,ALLY MWAKABABU WA PILI KUTOKA KULIA NI NDG RAPHAEL MWAMOTO AMBAYE NI MKURUGENZI WA UTAFITI NA MASOKO WA ELIMU KWA JAMII WA MFUKO WA BIMA YA AFYA.

MENEJA WA MFUKO WA BIMA YA AFYA MKOA WA TANGA (NHIF) AKIFURAHIA JAMBO JANA KWENYE MKUTANO WA 30 WA ALAT UNAOFANYIKA JIJINI TANGA.

RAIS KIKWETE MGENI RASMI UZINDUZI WA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO

RAIS KIKWETE MGENI RASMI UZINDUZI WA MPANGO WA KUPUNGUZA VIFO VYA MAMA NA MTOTO

May 15, 2014


Jakaya_Kikwete_-_Partnerships_for_Development_-_World_Economic_Forum_on_Africa_2011_-_2 
Na Magreth Kinabo Maelezo
 Rais Jakaya Kikwete  kesho anatarajiwa kuwa mgeni rasmi katika uzinduzi wa Mpango Mkakati wa kuongeza kasi ya kupunguza vifo vya  uzazi vya wakinamama na watoto ifikapo mwaka 2015 utakofanyika kwenye ukumbi wa mkutano wa Mwalimu J.K. Nyerere jijini Dares Salaam.
Hayo halisemwa leo na Kaimu Mkurugenzi wa Huduma  za Kinga,kutoka Wizara ya Afya na Ustawi wa Jamii Dk,Neema Rusibamayila wakati akizungumza na waandishi wa habari katika semina ya wakuu wa mikoa na waganga wakuu wa mikoa kuhusu kuboresha afya ya uzazi na watoto.

SHULE YA SEKONDARI AZANIA YAPIGWA JEKI,YAPATA MSAADA WA KOMPYUTA.

May 15, 2014
Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta Mkuu wa Shule ya Sekondari Azania, Mwl. Benald Ngonzie (kushoto), wanaoshuhudia makabidhiano hayo ni wanafunzi wa shule hiyo. Benki hiyo jana ilitoa msaada wa kompyuta 10 kwa shule hiyo zenye thamani ya zaidi ya Sh2 milioni.

Na Mwandishi Wetu, Dar es Salaam. 
Shule ya sekondari ya Azania inakabiliwa na uchakavu wa miundombinu ikiwamo majengo na ubovu wa vyoo, hali inayohatarisha afya za wanafunzi hao kutokana na kuwapo kwa majimaji anayoweza kuzalisha mbu waenezao ugonjwa wa Malaria na Dengue.
Akizungumza jana baada ya kupokea msaada wa kompyuta 10 kutoka katika benki ya Access, Makamu Mkuu wa shule hiyo Elizabeth Ngoda alisema shule hiyo ni kongwe kwa sasa kutokana na kujengwa muda mrefu hivyo inahitajika ukarabati wa kina.
Ofisa Masoko Mwandamizi Access Bank, Muganyizi Bisheko (kulia) akimkabidhi moja ya kompyuta kwa wanafunzi waliowawakilisha wenzao, anayeshuhudia makabidhiano hayo ni Mkuu wa Shule hiyo, Mwl. Benald Ngonzie. Benki hiyo jana ilitoa msaada wa kompyuta 10 kwa shule hiyo zenye thamani ya zaidi ya Sh2 milioni.

WAZIRI MKUU MIZENGO PINDA ATEMBELEA BANDA LA TBS MARA BAADA YA KUFUNGUA MKUTANO MKUU WA ALAT MJINI TANGA

May 15, 2014
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKIZUNGUMZA NA OFISA UHUSIANO WA (TBS),ROIDA ANDUSAMILE  MARA BAADA YA KUTEMBELEA BANDA LAO JANA WA PILI KUTOKA KULIA NI MWANASHERIA WA (TBS) BAPTISTER BITAHO.

WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKIZUNGUMZA NA OFISA UHUSIANO WA (TBS),ROIDA ANDUSAMILE  MARA BAADA YA KUTEMBELEA BANDA LAO JANA WA PILI KUTOKA KULIA NI MWANASHERIA WA (TBS) BAPTISTER BITAHO.
WAZIRI MKUU,MIZENGO PINDA AKITAZAMA BAADHI YA VIPEPERUSHI VYA SHIRIKA LA VIWANGO TANZANIA (TBS) MARA BAADA YA KULITEMBELEA BANDA LAO JANA WA KWANZA KULIA NI OFISA UHUSIANO WA (TBS),ROIDA ANDUSAMILE  WA PILI KUTOKA KULIA NI MWANASHERIA WA (TBS) BAPTISTER BITAHO.