MAHUJAJI WA 5 KUTOKEA TANZANIA WATHIBITISHWA KUFA HUKO MAKKA

MAHUJAJI WA 5 KUTOKEA TANZANIA WATHIBITISHWA KUFA HUKO MAKKA

September 25, 2015

WATU wasiopungua 700 wamekufa, huku wengine 816 wakijeruhiwa jana jirani na mji Mtakatifu wa Makka walikokwenda kuhiji ikiwa ni sehemu ya utekelezaji wa moja ya nguzo muhimu katika Imani ya dini ya Kiislamu.
 
Kwa mujibu wa Baraza la Taasisi na Jumuiya za Kiiislam nchini, kati ya mahujaji 2,000,000 waliokwenda Saudi Arabia mwaka huu, 1,500 wanatoka 
 
Tanzania.Kwa mujibu wa taarifa ya Sheikh Abu Bakari Zuberi Mufti wa Tanzania,  kwa vyombo vya habari amesema tayari wamethibitisha kutokea vifo vya watu watano waliotokea Tanzania miongoni mwao mmoja ni raia wa Kenya na wengine  wanne ni Watanzania.Amesema Watanzania waliotambuliwa hadi jana usiku wametajwa.

UPENDO NKONE KUZINDUA ALBAMU YA NYIMBO ZA INJILI YA “OMBA YESU ANASIKIA” JUMAPILI HII

September 25, 2015

Mwimbaji wa nyimbo za Injili Upendo Nkone akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam kuhusiana na uzinduzi wa Albanu ya nyimbo kumi ikiwa mpaka sasa ametimiza miaka kumi ya kuinjilisha kwa nyia ya nyimbo hapa nchini.
 
 ALBAMU ya OMBA YESU ANASIKIA kuzinduliwa Septemba 27 mwaka huu(Jumapili hii) katika kanisa la TAG  la upanga mkabala na chuo cha Uzumbe kwa Askofu  Mwanesongore. 
 hayo yalisemwa na Mwimbaji wa nyimbo za Injili,Upendio Nkone wakati akizungumza na waandishi wa habari jijini Dar es Salaam jana, alisema kuwa Mungu amemuokoa katika kifo ndio maana ameona aimbe kwaajili ya kumshukuru Mungu kutokana na mambo aliyoyapitia, pia kumshukuru Mungu wa kutimiza miaka kumi ya kuinjilisha kwa njia ya Nyimbo.
Nkone alisema kuwa katika uzinduzi huo wa albamu ya OMBA YESU ANASIKIA kutakuwepo waimbaji wa nyimbo za Injili  ambao watatumbuiza katika uzinduzi wa albamu hiyo atakuwepo  Masanja mkandamizaji, Bahati Bukuku, Bonny Mwaitege, Kwaya ya Kijichi, Mather Baraka, Christina Matai, Mesi Chengula pamoja na Bendi.  
Pia alisema kuwa katika uzinduzi wa albamu hiyo kutakuwa na viingilio tofauti, watu wazima watalipia kiasi za shilingi elfu tano(5000) na watoto shilingi elfu mbili (2000).
WAKAZI WA DAR ES SALAAM WARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WAZIRI LUKUVI KATIKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

WAKAZI WA DAR ES SALAAM WARIDHISHWA NA UTENDAJI WA WAZIRI LUKUVI KATIKA KUTATUA MIGOGORO YA ARDHI

September 25, 2015

1 
Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mhe. William Lukuvi akizungumza na waandishi wa habari ofisini kwake waliotaka kujua jinsi alivyoshughulikia migogoro ya Ardhi nchini.2 
Waziri wa Ardhi Mhe. William Lukuvi pamoja na Naibu wake Mhe. Angela kairuki wakipokea malalamiko ya wananchi wenye migogoro ya ardhi katika mkoa wa Dar es salaam3 
Waziri wa Ardhi akimsikiliza kwa makini mwananchi mwenye malalamiko ya mgogoro wa ardhi kutoka manispaa ya kinondoni.4 
Baadhi ya Wananchi wa Dar es salaam wenye Migogoro ya Ardhi wakiwa katika mkutano huo.
picha na KITENGO CHA MAWASILIWANO SERIKALINI
WIZARA YA ARDHI, NYUMBA NA MAENDELEO YA MAKAZI

DKT FENELLA MUKANGARA AKUTANA NA VIKUNDI VYA UJASIRIAMALI NA KUNADI SERA ZAKE.

September 25, 2015

 Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mhe.Dkt Fenella Mukangara akiwa kwenye mazungumzo na wakazi  wa jimbo la kibamba(kwa Yusuph) wakati alipotembelea vikundi vya vicoba ili kuwaskiliza kero zao ili kujua matatizo wanayowakabili kwa ujumla.
 Mkazi wa kata ya Msigani(aliyesimama) akielezea matatizo yanayowakabili wakazi wa eneo ilo na kumwomba mgombea wa Jimbo ilo kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt Fenella Mukangara kuyatafutia ufumbuzi atakapopata nafasi ya kuwatumikia.
 Mgombea udiwani kata ya Msigani kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Siraju Hassan Mwasha(aliyesimama) akiwa anazungumza na wakazi wa Maramba mawili na kunadi sera za chama chake.Bw Mwasha aliambatana na mgombea Ubunge wa jimbo la kibamba kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi Dkt Fenella Mukangara.
 Mgombea Ubunge jimbo la Kibamba kupitia tiketi ya Chama cha Mapinduzi Mhe.Dkt Fenella Mukangara akiwaaga wakazi wa kwa Msigwa kata ya msigani baada ya kuzungumza na wakazi hao pamoja na vikundi vya kijasiriamali ili kujua ni kero gani zinawasibu ili kuboresha makundi hayo na maeneo yao kwa ujumla.
Mmmoja wa wanakikundi wa Vicoba mtaa wa Temboni,Mbezi(aliyesimama) akimwuliza maswali mgombea Ubunge kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi(aliyekaa amesuka) Dkt Fenella Mukangara ni jinsi gani atawasaidia kuboresha vikundi vyao vya vicoba na jinsi gani atawasaidia ili wapate mafunzo ya ujasiriamali.
President Kikwete officiates ATA’s 10th Annual Presidential Forum on Tourism

President Kikwete officiates ATA’s 10th Annual Presidential Forum on Tourism

September 25, 2015

kt1
President Dr. Jakaya Mrisho Kikwete delivers his keynote speech during the 10th  Africa Travel Association  Annual Presidential Forum on Tourism held at New York University Kimmel Center in United States of America this morning.
kt01
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete in conversation with the Minister for Natural Resources and Toursim Hon. Lazaro Nyalandu during the 10th  Africa Travel Association Annual Presidential Forum on Tourism held at New York University Kimmel Center.
kt2
The Director Africa House and Economics Professor at the  New York University Yaw Nyariko presents souvenir gift to President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete during the 10th  Annual Presidential Forum on Tourism held at New York University Kimmel Center in New York this morning. Center is the Minister for Tourism and Natural Resources Hon. Lazaro Nyalandu
kt3
Africa Travel Association ATA Executive Director Mr.Edward Bergman welcomes President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete to the 10thATA Annual Presidential Forum on Tourism held at New York University Kimmel Center in United States of America this morning.
kt4
The Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu Speaks during an open Forum on “ Africa Tourism,” during to the 10th ATA Annual Presidential Forum on Tourism held at New York University Kimmel Center in United States of America this morning. Other panelists from left Mali’s  Minister for Culture, Crafts and Tourism Hon. N’Diaye  Ramatoulaye Diallo , Namibia’s minister for Environment and Tourism Hon. Pohamba Shifeta,(third left), Uganda’s Minister for Tourism Wildlife and Antiquities Hon.Dr. Maria Mutagamba(fouth left) and on the right is Kenya’s Cabinet Secretary in the Ministry of East African Affairs, Commerce and Tourism Hon. Phyllis Kandie.
kt5 kt6
President Dr.Jakaya Mrisho Kikwete in a group photo with panelists and coordinators of the ATA 10th Annual Presidential Forum on Tourism  held at at New York University Kimmel Center in United States of America this morning. From left Executive Director Africa Travel Association(ATA) Mr. Edward Bergman, Namibia’s Minister for Environment and Tourism Hon. Pohamba Shifeta,(second left), Kenya’s Cabinet Secretary in the Ministry of East African Affairs, Commerce and Tourism Hon. Phyllis Kandie(Third left),  Mali’s  Minister for Culture, Crafts and Tourism Hon. N’Diaye  Ramatoulaye Diallo(fourth left),The President, The Minister for Natural Resources and Tourism Hon. Lazaro Nyalandu, Director Africa House and Professor of Economics Dr. Yaw Nyarko(seventh left), ), Uganda’s Minister for Tourism Wildlife and Antiquities Hon.Dr. Maria Mutagamba,(eight left) and the panel moderator who is also the CBS News Travel Editor Mr. Peter Greenberg(photos by Freddy Maro)
WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA

WAZIRI CELINA KOMBANI AFARIKI DUNIA NCHINI INDIA

September 25, 2015

download (27)
Habari zilizotufikia zinasema kwamba Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais Menejimenti ya Utumishi wa Umma, Celina Ompeashi Kombani (pichani), amefariki dunia leo huko India alikokuwa akipata matibabu ya saratani. Alikuwa na umri wa miaka 56.
Taarifa kutoka ofisi za Bunge zimethibitisha kifo hicho na kueleza kwamba mwili wa marehemu unategemewa kuwasili Dar es salaam siku ya Jumatatu, ambapo Bunge na Serikali zitasimamia maandalizi yote ya maziko na kumsafirisha kwa mazishi nyumbani kwa marehemu huko Mahenge ambako alikuwa Mbunge wa jimbo la Ulanga Mashariki.