IMEWEKWA Januari 3.
WAENDESHA Boda Boda wilayani Kilindi mkoani Tanga wameiomba Mamlaka ya Mapato mkoani Tanga (TRA)kuwapeleka wilayani humo huduma ya upatikanaji wa leseni kutokana na vijana wengine kutokuwa nazo hali inayochangiwa na kutokwepo kwa ofisi inayoshughulika na masuala hayo.
WAENDESHA Boda Boda wilayani Kilindi mkoani Tanga wameiomba Mamlaka ya Mapato mkoani Tanga (TRA)kuwapeleka wilayani humo huduma ya upatikanaji wa leseni kutokana na vijana wengine kutokuwa nazo hali inayochangiwa na kutokwepo kwa ofisi inayoshughulika na masuala hayo.
Kilio hicho kilitolewa hivi
karibuni na wananchi wa kata ya Kwediboma wilayani hapa wakati wakizungumza
ambapo walisema kwa muda mrefu wamekuwa wakiikosa kitendo ambacho kinawalazimu
kusafiri mpaka Tanga mjini ili kufuata huduma hiyo