HAPA MIONGONI MWA KWAYA ZLIZOALIKWA KUSINDIKA UZINDUZI HUO VIKIENDELEA KUTOA BURUDANI. |
BABA ASKOFU ONESPHORY MKUDE WA JIMBO KUU KATOLIKI MKOA WA MOROGORO AKUTANA NA DAKTARI BINGWA WA UGONJWA WA SARATANI YA MATITI ANTHONY PAIS KUTOKA BANGAROLE INDIA
Nyumba ya maombi ya baba Askofu Onesphory Mkude iliyopo mkoani humo.
Baba Askofu Onesphory Mkude akizungumza na Profesa Pais na Ujumbe wake
Mshauri
wa Kimataifa wa Kujitegemea, James Rugemalira aliyemleta Profesa Pais
hapa nchini kuja kuona namna ya kusaidia mchakato huo akizungumza na
baba Askofu Onesphory Mkude.
Baba Askofu Onesphory Mkude akimsikiliza kwa makini Profesa Pai wakati akimuelekeza mambo mbalimbali.
Baba Askofu Onesphory Mkude akizungumza na ujumbe huo.
Baba Askofu Onesphory Mkude
(katikati), akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe huo. Kutoka kulia ni
Dk.Fred Limbanga, Profesa Pais, Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea
James Rugemalira na Msaidi wa Baba Askofu, Father Moses.
Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akimsisitizia jambo Baba Askofu Onesphory Mkude.
Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akiagana na Baba Askofu Onesphory Mkude. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akizungumza na Father Moses pamoja na Profesa Pais na Dk.Fred kabla ya kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma. |
Mmiliki wa Mtandao wa www.habari za jamii.com, Dotto Mwaibale (wa pili kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Baba Askofu Mkude na ujumbe huo. |
Msaidizi wa Askofu Mkude, Father Moses akionesha eneo ambalo wanaona linafaa kujenga kituo hicho baada ya mchakato kukamilika. |
RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA (TCD) IKULU NDOGO DODOMA LEO
Mwenyekiti wa Kituo
cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu
Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg.
ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini
Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. Nyuma yao ni
Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe
Fahmi Dovutwa leo.TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP.
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo , Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman
Kinana, Isack Cheyo, Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mhe Fahmi Dovutwa
wakielekea chumba cha mikutano Ikulu Ndogo mjini Dodoma leo
Wajumbe wa TCD wakielekea chumba cha Mikutano
Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI Mhe Joseph Mbatia, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa wakiwasili Ikulu Ndogo mjini Dodoma leo
Mwenyekiti
wa NCCR-Mageuzi Mhe James Mbatia na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim
Lipumba na wakiwasili Ikulu ndogo mjini Dodoma leo
Wajumbe wa TCD wakielekea chumba cha Mikutano Ikulu ndogo mjini Dodoma leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma |
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma
Rais Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania alipokutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
Rais Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania alipokutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
Rais Kikwete akizungumza na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania alipokutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania baada ya kukutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
Rais Kikwete akiagana na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania baada ya kukutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
Rais Kikwete akiagana nna wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania baada ya kukutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
Rais Kikwete akiagana na mjumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania na Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustune Lyatonga Mrema Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo. PICHA NA IKULU
Subscribe to:
Posts (Atom)