NAIBU WAZIRI UMMY MWALIMU AZINDUA ALBAMU YA KWAYA YA SAUTI YA MALAIKA NA EBENEZER SACCOS JIJINI TANGA LEO.

August 31, 2014
Naibu Waziri Ofisi ya Makamu wa Rais Mh:Ummy Mwalimu akizungumza wakati wa uzinduzi wa albamu ya kwaya ya Sauti ya Malaika na Ebenezer Saccos Uliofanyika Kanisa la Anglikana Makorora jijini Tanga .
BAADHI YA VIKUNDI MBALIMBALI ZILIVYOALIKWA KWENYE KUTOA BURUDANI LEO



HAPA MIONGONI  MWA KWAYA ZLIZOALIKWA KUSINDIKA UZINDUZI HUO VIKIENDELEA KUTOA BURUDANI.





BABA ASKOFU ONESPHORY MKUDE WA JIMBO KUU KATOLIKI MKOA WA MOROGORO AKUTANA NA DAKTARI BINGWA WA UGONJWA WA SARATANI YA MATITI ANTHONY PAIS KUTOKA BANGAROLE INDIA

August 31, 2014

 Nyumba ya maombi ya baba Askofu Onesphory Mkude iliyopo mkoani humo.
 Baba Askofu Onesphory Mkude akizungumza na Profesa Pais na Ujumbe wake
 Mshauri wa Kimataifa wa Kujitegemea, James Rugemalira aliyemleta Profesa Pais hapa nchini kuja kuona namna ya kusaidia mchakato huo akizungumza na baba Askofu Onesphory Mkude.
 Baba Askofu Onesphory Mkude akimsikiliza kwa makini Profesa Pai  wakati akimuelekeza mambo mbalimbali.
  Baba Askofu Onesphory Mkude akizungumza na ujumbe huo.
 Baba Askofu Onesphory Mkude (katikati), akiwa katika picha ya pamoja na ujumbe huo. Kutoka kulia ni Dk.Fred Limbanga, Profesa Pais, Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira na Msaidi wa Baba Askofu, Father Moses.
 Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akimsisitizia jambo Baba Askofu Onesphory Mkude.
  Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira (kulia), akiagana na  Baba Askofu Onesphory Mkude. (Imeandaliwa na mtandao wa www.habari za jamii.com-simu namba 0712-727062)
Mshauri wa Kamataifa wa Kujitegemea James Rugemalira
(kulia), akizungumza na Father Moses pamoja na Profesa Pais na Dk.Fred
kabla ya kuanza safari ya kwenda mkoani Dodoma.
Baba Askofu Onesphory Mkude akitafakari jambo na Dk.Fred Limbanga
 
Mmiliki wa Mtandao wa www.habari za jamii.com, Dotto Mwaibale (wa pili kulia), akiwa katika picha ya pamoja na Baba Askofu Mkude na ujumbe huo.


Msaidizi wa Askofu Mkude, Father Moses akionesha eneo ambalo wanaona linafaa kujenga kituo hicho baada ya mchakato kukamilika.

RAIS KIKWETE AKUTANA NA WAJUMBE KITUO CHA DEMOKRASIA TANZANIA (TCD) IKULU NDOGO DODOMA LEO

August 31, 2014

Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo akiongea na Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. ABdulrahman Kinana na Mhe Isack Cheyo walipowasili Ikulu ndogo mjini Dodoma kukutana na Rais Jakaya Mrisho Kikwete leo. Nyuma yao ni Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mwenyekiti wa UPDP Mhe Fahmi Dovutwa leo.TCD inaundwa na vyama vyenye uwakilishi bungeni, ambavyo ni CCM, CUF, CHADEMA, TLP, NCCR-Mageuzi na UDP.
Mwenyekiti wa Kituo cha Demokrasia Tanzania (TCD) Mhe John Cheyo , Makamu Mwenyekiti wa TCD Mhe Philip Mangula, Katibu Mkuu wa CCM Ndg. Abdulrahman Kinana, Isack Cheyo, Mhe Augustine Lyatonga Mrema na Mhe Fahmi Dovutwa wakielekea chumba cha mikutano Ikulu Ndogo mjini Dodoma leo 
Wajumbe  wa TCD wakielekea chumba cha Mikutano
Mwenyekiti wa NCCR-MAGEUZI Mhe Joseph Mbatia, Katibu Mkuu wa CHADEMA Dkt Wilbroad Slaa wakiwasili Ikulu Ndogo mjini Dodoma leo
Mwenyekiti wa NCCR-Mageuzi Mhe James Mbatia na Mwenyekiti wa CUF Profesa Ibrahim Lipumba na wakiwasili Ikulu ndogo mjini Dodoma leo
Wajumbe wa TCD wakielekea chumba cha Mikutano Ikulu ndogo mjini Dodoma leo
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma 
 Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana  na wajumbe wengine wa TCD alipokutana nao leo Ikulu Ndogo mjini Dodoma 
 Rais Kikwete akizungumza  na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania alipokutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
  Rais Kikwete akizungumza  na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania alipokutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
  Rais Kikwete akizungumza  na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania alipokutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
 Rais Kikwete akiwa katika picha ya pamoja na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania baada ya kukutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
 Rais Kikwete akiagana na wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania baada ya kukutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
 Rais Kikwete akiagana nna wajumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania baada ya kukutana nao Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo
Rais Kikwete akiagana na mjumbe wa Kituo cha Demokrasia Tanzania na Mwenyekiti wa TLP Mhe Augustune Lyatonga Mrema Ikulu Ndogo Mjini Dodoma leo. PICHA NA IKULU