Waziri Mkuu, Mizengo Pinda
akilakiwa na Katibu wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye baada ya
kuwasili kwenye Uwanja wa Ndege wa Songea, jioni ya leo tayari kushiriki
maadhimisho ya miaka 38 ya kuzaliwa kwa CCM yanayofanyika kitaifa kesho
Mkoani Ruvuma ambapo mgeni rasmi atakuwa Mwenyekiti wa chama hicho,
Rais Jakaya Kikwete.Kulia ni Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman
Kinana.PICHA NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA;KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Pinda akiwapungia mkono wananchi na wana CCM waliofika kumlaki uwanjani hapo
Vikundi vya sanaa vikitumbuiza wakati wa mapokezi ya Pinda, Kinana na Philip Mangula