Serikali Yapongezwa kwa Kuwaleta Pamoja wadau wa Mazingira na Wazalishaji Mifuko ya Plastiki
Waziri
wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Mhe. January
Makamba akifungua Kikao cha Wazi cha kupokea maoni ya wadau kuhusu
dhamira ya Serikali kupiga marufuku uzalishaji,uuzaji,usambazaji na
matumizi ya mifuko ya plastiki leo Jijini Dar es Salaam.
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustine Kamuzora akiongea wakati wa ufunguzi wa Kikao hicho leo Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba.
Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi akiongea wakati wa Kikao hicho mapema leo.
Mwenyekiti wa Umoja wa wazalishaji wa mifuko isiyo na athari kwa mazingira Bw. Jumanne Mgude akionesha mfuko unaozalishwa hapa nchini usio na athari kwa mazingira wakati wa Kongamano hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Wande Printing and Packaging (T) Ltd Bw. Joseph Wasonga akitoa maoni ya wamiliki wa Viwanda vya Kuzalisha mifuko ya plastiki hapa nchini wakati wa kikao hicho.
Katibu wa Umoja wa wazalishaji wa mifuko isiyo na athari kwa mazingira Bw. Sadick Mgonge akitoa maoni ya umoja huo wakati wa Kikao hicho leo.
Sehemu ya wadau walioshiriki kikao hicho leo Jijini Dar es Salaam wakifuatilia mjadala na maoni ya washiriki .(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo)
Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Prof. Faustine Kamuzora akiongea wakati wa ufunguzi wa Kikao hicho leo Jijini Dar es Salaam.Kulia ni Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais,Muungano na Mazingira Mhe. January Makamba.
Mkurugenzi wa Mazingira kutoka Ofisi ya Makamu wa Rais Bw. Richard Muyungi akiongea wakati wa Kikao hicho mapema leo.
Mwenyekiti wa Umoja wa wazalishaji wa mifuko isiyo na athari kwa mazingira Bw. Jumanne Mgude akionesha mfuko unaozalishwa hapa nchini usio na athari kwa mazingira wakati wa Kongamano hilo.
Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Wande Printing and Packaging (T) Ltd Bw. Joseph Wasonga akitoa maoni ya wamiliki wa Viwanda vya Kuzalisha mifuko ya plastiki hapa nchini wakati wa kikao hicho.
Katibu wa Umoja wa wazalishaji wa mifuko isiyo na athari kwa mazingira Bw. Sadick Mgonge akitoa maoni ya umoja huo wakati wa Kikao hicho leo.
Sehemu ya wadau walioshiriki kikao hicho leo Jijini Dar es Salaam wakifuatilia mjadala na maoni ya washiriki .(Picha zote na Frank Mvungi-Maelezo)
SGA SECURITY COMES TO THE RESCUE OF ABANDONED PATIENTS AT MOI
In response to appeal in both mainstream and social media, the largest and oldest security company in the Tanzania, SGA Security, responded with donations.These were presented on 21st July 2017 to the management of Muhimbili Orthopaedic Institute(MOI) and received by the Director of Nursing – Ms. MF Kimaro. She expressed their gratitude to SGA for being the first to respond to the plight of the patients.Security Group Africa Group (SGA),Managing Director, Eric Sambu (right) handing over donations worth 2.5m/- to the Nursing Director at the Bone Institute (Moi), Ms. Flora Kimaro during a special visit to patients.The donations included foodstuff, sanitary items and wheel chairs, all valued at TZS.2.5 Million. The SGA Customer and Public Relations Manager, Ms. Aikande Makere, explained that it is their practice to support community initiatives, in line with their corporate social responsibility.SGA has health and safety core theme and that extends to the public. She explained that she heard the appeal and felt that they needed to chip in and called upon other institutions to follow suit. “The patients belong to all of us and we have to shoulder this responsibility, as a society, jointly”, she added.Mr. Jumaa Tram Almasi, MOI’s Manager, Welfare& Public Relations Unit expressed gratitude to SGA Security for choosing their institution to make the donation. “As you might be aware, treatment of the destitute patients is costly and we cannot do it alone, that is, provision of both medical and social needs.We need support from Well-Wishers and Good Samaritans to support us”, he said. “Patients dumped by their relatives add a strain in the already overloaded health services.The support from SGA security is timely and a stitch in time. We kindly urge the rest to support us through their CSR Programs”, he added.SGA Security Managing Director, Mr. Eric Sambu, explained that they have spent over TZS.55 million this year on CSR programs, with a few activities remaining before end of the year. He explained that being part of the society, they always decide on areas to provide support as a way of giving back to the public.He was there with the ambulance team and guards during the presentation. They visited the patients in wards to give them a word of encouragement.Security Group Africa Group (SGA),Managing Director, Eric Sambu (right) handing over donations worth 2.5m/- to the Nursing Director at the Bone Institute (Moi), Ms. Flora Kimaro during a special visit to patients.SGA Security was the first Private Security Company registered in Tanzania in 1984, as Group Four Security, following deregulation of the sector from Government control. Today, after more than 33 years of successful operations, SGA is the largest private security company in Tanzania, represented in every service area in the sector. Employing about 5,000 employees in Tanzania and over 18,500 in the region, SGA is one of the largest employers in the region.Speaking during the presentation at MOI, the Managing Director, Mr. Eric Sambu, said that they aid to entrench corporate citizenship by playing bigger role in the society as they strive to continuously add value to their customers.SGA recently launched a new fleet of ultra-modern and fully-equipped armored vehicles to provide alarm response services and cash in transit services in the country. SGA provides a full spectrum of integrated security services, which ensures that its clients enjoy a cost-effective interfusion of manpower and technology, safeguarding their personal and business assets, wherever they may be located. “We are presently updating skillsets for all our employees to empower deliver our promises in line with our mission.The training cuts across all cadres and facilitators are from all sectors, including our disciplined forces.”, he added. In addition to donations like this, SGA conducts free awareness training to selected public to improves health and safety in the society. They recently completed such training to bodaboda riders that covered 230 riders. They also donated reflective jackets and helmets after the awareness training.Mr. Sambu continued to explain that SGA is the largest provider of Cash in Transit and Cash Management services in Tanzania and the provider of choice for over 85 Banks and Financial Institutions in the East Africa region. Our large fleet of fully armoured CIT vehicles visit over 750 bank branches in Tanzania, safely moving tens of billions of shillings, millions of kilometres each year.All our Cash Management services are fully insured through reputable, internationally renowned insurers. Our expertise extends to the Diplomatic and NGO sectors with over 65 Embassies and Development Aid clients in the region. We understand the specific risk profile of these clients and have specifically trained staff for these.
RAIS MAGUFULI AZINDUA MIRADI MBALIMBALI YA MAENDELEO NA KUHUTUBIA WANANCHI KWENYE MIKUTANO MBALIMBALI YA HADHARA
Rais
wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli
akiwahutubia wananchi wa Kakonko kabla ya kuzindua Ujenzi wa barabara ya
Kibondo -Nyakanazi yenye urefu wa kilometa 54, katika mkoa wa Kigoma.
Wananchi
wa Wilaya ya Kakonko mkoani Kigoma wakisikiliza hotuba ya Rais wa
Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa
Uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kibondo -Nyakanazi yenye urefu wa
kilometa 54, kwenye Sherehe zilizofanyika katika uwanja wa Standi Mpya
ya Mabasi Kakonko katika mkoa wa Kigoma Rais yupo mkoani Kigoma kwa
ziara ya siku Tatu
Baaadhi
ya Viongozi wa vyama vya siasa na wananchi wa Wilaya ya Kakonko Mkoani
Kigoma wakisikiliza Hotuba ya Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania
Dkt. John Pombe Magufuli wakati wa Uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya
Kibondo -Nyakanazi.
Rais
wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na
viongozi mbalimbali wakifungua kitambaa kuashiria kuweka jiwe la msingi
la ufunguzi wa Barabara ya Kibondo -Nyakanazi kiwango cha lami.
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli pamoja na
viongozi mbalimbali serikali wakikata Utepe kuashiria kuweka jiwe la
Msingi la Uzinduzi wa Ujenzi wa Barabara ya Kibondo -Nyakanazi
Rais
wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akiwasalimia wananchi wa mji wa Kibondo wakati akiwa safarini kutoka
Ngara kuelekea Mkoani Kigoma.
Rais
wa jamhuri ya muungano wa tanzania Dkt. John Pombe Magufuli
akisalimiana na kijana mwenye ulemavu amabye ni fundi wa kushona nguo
ndugu Aron Michael Kapililo mkazi wa Kibondo ambaye alisimiana na Rais
Magufuli
Dk. Kigwangalla afanya ziara mikoa ya Rukwa, Katavi na Tabora
Naibu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mh.
Dk.Hamisi Kigwangalla ameendelea na ziara yake ya kikazi ya kukagua
huduma za Afya ‘Imarisha Afya’ katika Zahanati, Vituo vya Afya na
Hospitali mbalimbali kwenye mikoa ya Rukwa, Katavi pamoja na Tabora.
Akiwa
katika mkoa wa Rukwa, Dk. Kigwangalla aliweza kutembelea Hospitali ya
Sumbawanga ambayp ni ya Mkoa wa Rukwa na kujionea mambo mbalimbali huku
akiwapongeza kwa namna walivyoboresha huduma zao ikiwemo ile ya Maabara,
Chumba cha upasuaji na huduma zingine ambapo aliwaagiza kuhakikisha
wanakuwa na hakiba ya kutosha ya damu salama kwa ajili ya dharura kwa
wagonjwa wa ukanda huo.
Mbali
na Hospitali ya Mkoa wa Rukwa, pia aliweza kutembelea kituo ca Laela
ambapo pia mbali ya kujionea utendaji kazi wa kituo hicho alipongeza
juhudi za Mbunge wa jimbo la Kwera, Mh. Ignas Alloyce Malocha kwa
kushirikiana na wananchi wake katika masuala ya huduma za Afya.
Ziara hiyo katika
mkoa wa Rukwa, aliweza kumalizia katika Kituo cha Afya Wampembe
kilichopo Wilayani Nkasi ambapo alijionea shughuli mbalimbali ikiwemo
huduma za Upasuaji hata hivyo aliutaka uongozi wa kituo hicho ambacho
kipo mwambao wa Ziwa Tanganyika kuhakikisha wanakamilisha mifum ya maji
safi na salama ndani ya kituo pamoja na kuboresha huduma za Maabara na
usafi kwa ajumla.
Akiwa
katika Mkoa wa Katavi, Dk. Kigwangalla aliweza kufanya ziara ya
kushtukiza kituo cha Afya Inyonga,kilichopo Mlele majira ya Saa Sita
mchana na kuweza kukagua maeneo mbalimbali ikiwemo Chumba cha Maabara,
Chumba cha Upasuaji na wodi ya akina mama wanaosubiria kujifungua.
Hata
hivyo, Dk. Kigwangalla amemtaka Kaimu Mganga Mkuu wa Kituo hicho
kumuandikia maelezo juu ya kutokuwepo kwa watoa huduma kwenye jingo la
chumba cha upasuaji na eneo la wodi ya akina mama wanaosubiria
kujifungua kwani licha ya kufika hapo hakukuta mtoa huduma hata mmoja
kwa wakati huo hali ambayo inaweza kuleta hatari.
“Nataka
kupata maelezo kwa maandishi. Kwa nini hakukua na watoa huduma ndani ya
Chumba cha upasuaji na kule kwa wodi ya wamama wajawazito. Nilifika
kuwakagua kwa upande wa Maabara nimekuta safi mumeweza kuboresha huduma
na mumezingatia maelezo yangu niliyoyatoa kipindi nilichofika kukagua
mwaka jana. Lakini pia hali niliyoikuta katika maeneo hayo
niliyotembelea bila kuwakuta wahusika hii ni hatari nitahitaji maelezo
ya kimaandishi” alieleza Dk. Kigwangalla wakati akitoa maagizo kwa Kaimu
Mganga Mkuu wa kituo hicho.
Aidha,
akiwa katika mkoa wa Tabora, aliweza kutembelea eneo la jengo
linalojengwa Hospitali ya Wilaya ya Uyui na baadae aliweza kumalizia
ziara yake katika Zahanati ya Isikizya ambapo aliagiza Mkurugenzi wa
Wilaya ya Uyui kuhakikisha wanatenga bajeti pamoja na kushirikiana na
nguvu za wananchi na mbunge wa jimbo hilo wanajenga majengo ya kulazwa
wagonjwa, chumba cha upasuaji, maabara na miundombinu mingine ili
Zahanati hiyo ije kupanda na kuwa Kituo cha Afya kwani kinahudumia eneo
kubwa katika mji huo wa Isikizya ambayo hipo ndani ya Makao makuu ya
Wilaya hiyo.
Naibu
Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mh.
Dk.Hamisi Kigwangalla akikaguachumba cha upasuaji Hospitali ya Mkoa wa
Rukwa
Naibu Waziri wa Afya Maendeleo ya Jamii, Jinsia Wazee na Watoto, Mh. Dk.Hamisi Kigwangalla akikagua Maabara ya Mkoa wa Rukwa
WAZIRI UMMY AZINDUA ZAHANATI NGUVUMALI JIJINI TANGA
Mbunge wa Jimbo la Tanga(CUF)Alhaj Mussa Mbaruku akizungumza katika halfa hiyo |
Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi ambaye pia ni Diwani wa Kata ya Nguvumali akizungumza katika hadhara hiyo kulia ni Mbunge wa Jimbo la Tanga,Alhaj Mussa Mbaruku |
Mkurugenzi wa Jiji la Tanga,Daudi Mayeji akizungumza katika halfa hiyo |
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu kushoto katikati ni Mstahiki Meya wa Jiji la Tanga,Alhaj Mustapha Selebosi kulia ni Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku
Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto,Ummy Mwalimu akipanda mti wa kumbukumbu mara baada ya kuzindua zahanati hiyo leo
Mbunge wa Jimbo la Tanga (CUF) Alhaj Mussa Mbaruku akipanda mti kwenye zahanati hiyo mara baada ya kuzinduliwa na Waziri Ummy. |
Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Jijini Tanga wakifuatilia uzinduzi huo
Waheshimiwa madiwani kutoka Kata mbalimbali Jijini Tanga wakifuatilia uzinduzi huo
Wananchi wakifuatilia uzinduzi huo Wananchi kutoka maeneo mbalimbali Jijini Tanga wakifuatilia uzinduzi huo
Msanii wa maigizo mkoani Tanga ,Dkt Njau akionyesha umahiri wake katika uzinduzi huo
Subscribe to:
Posts (Atom)