Mgeni Rasmi-Naibu waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa
akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini kwenye Mkutano
uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere,
Jijini Dar es salaam, Leo Novemba 24, 2017.
Mgeni Rasmi-Naibu waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa akizungumza na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini kwenye Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es salaam, Leo Novemba 24, 2017.
Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakimsikiliza kwa makini Mgeni Rasmi-Naibu waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa wakati akizungumza kwenye Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es salaam, Leo Novemba 24, 2017.
Baadhi ya wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini wakimsikiliza kwa makini Mgeni Rasmi-Naibu waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa wakati akizungumza kwenye Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es salaam, Leo Novemba 24, 2017.
Mgeni Rasmi-Naibu waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa
akifatilia mada kuhusu Mfumo wa ununuzi wa mbolea kwa pamoja na wahariri wa
vyombo mbalimbali vya habari nchini kwenye Mkutano uliofanyika katika Ukumbi wa
mikutano wa Kimataifa wa Mwalimu Julius Nyerere, Jijini Dar es salaam, Leo
Novemba 24, 2017.
Mhariri wa Magazeti ya serikali (TSN) Mgaya Kingoba
akitoa neno la shukrani kwa Mgeni Rasmi-Naibu waziri wa Kilimo Mhe Mary Mwanjelwa
kwa kufungua Mkutano kuhusu Mfumo wa ununuzi wa mbolea kwa pamoja wakati wa
mkutano na wahariri wa vyombo mbalimbali vya habari nchini.