MGIMWA AENDELEA NA KAMPENI TOSAMAGANGA NA KALENGA LEO
Mwenyekiti
wa CCM mkoa wa Iringa Ndugu Jesca Msambatavangu akihutubia wakazi wa
kitongoji cha Tosamaganga wakati wa kampeni za kumnadi mgombea wa Ubunge
jimbo la Kalenga kupitia tiketi ya CCM Ndugu Godfrey Mgimwa ambapo
aliwaambia wananchi hao tutafute viongozi wa mfano wa Kitanzania ambao
hawatatuchonganisha na watoto wao.