WAANDISHI wa Habari wakiwa kazini katika mkutano huo,kushoto ni Mbonea Hermani Mwandishi wa gazeti la Jambo leo Tanga na Clouds Fm Tanga,anayefuatia ni Mwandishi wa gazeti la Mtanzania Sussan Uhinga,Picha na Mpicha picha wetu
KATIBU Mkuu wa chama ya Wafanyakazi wa Serikali Kuu na Afya TUGHE,Ally Kibwana akizungumza na wanafanyakazi wa Ofisi ya Mkuu wa Mkoa leo ,kulia kwake ni OFISA Mfawidhi wa PSPF Mkoa wa Tanga,Salome Makau.
KATIBU wa Tughe Ally Kibwana kulia kwake ni Meneja wa Mfuko wa Pensheni kwa watumishi wa Umma PSPF,Salome Makall kushoto kwake ni Kaimu Katibu Tawala wa Mkoa wa Tanga,Monica Kinala wakati wakati wakitoa mada kwa wafanyakazi wa ofisi ya mkuu wa mkoa wa Tanga leo.