Katibu
Msaidizi wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Adam Mambi akiwaeleza
waandishi wa habari leo jijini Dar es salaam kuhusu Mpango wa kuanza utafiti
katika mapitio ya mfumo wa sheria unaosimamia haki za walaji ikiwa ni hatua
mojawapo katika mchakato wa kuundaa
sheria inayowalinda watumiaji wa huduma mbalimbali hapa nchini. Kulia ni
Afisa Sheria wa Tume hiyo ni Fred Kandonga.
Afisa
Sheria wa wa Tume ya Kurekebisha Sheria Tanzania Fred Kandonga akijibu maswali
ya waandishi wa habari kuhusu sababu zilizopelekea Serikali kuamua kufanya
utafiti utakaopelekea kutungwa kwa sheria itakayosaidia kuwepo kwa mfumo nwa
biashara wenye uwiano katika ushindani. Katikati ni Katibu Msaidizi wa Tume ya
Kurekebisha Sheria Tanzania Bw. Adam Mambi, anayemfuatia ni Afisa Habari Idara
ya Habari Maelezo Frank Mvungi na Mwisho kushoto ni Afisa habari wa Tume hiyo
Munir Shemweta.
************************************