JAPAN YAIPIGA TAFU TANZANIA KATIKA KUINUA KILIMO
Katibu Mkuu Wizara ya
Fedha Dkt. Servacius Likwelile (kushoto) akitia saini hati ya makubaliano ya
msaada wenye thamani ya ziadi ya bilioni 6 unaolenga kukuza sekta ya kilimo
uliotolewa na Serikali ya Japan kupitia Shirika la Kimataifa la Japan (JAICA)
leo jijini Dar es salaam. Kulia ni Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda.
Katibu Mkuu Wizara ya Fedha Dkt. Servacius
Likwelile (kushoto) akikabidilishana nakala ya makubaliano waliosainina na
Balozi wa Japan nchini Masaki Okanda (kulia) ambayo yanahusu msaada uliotolewa
na Serikali ya Japan kupitia Shirika la
Kimataifa la Japan (JAICA) leo jijini Dar es salaam.