Samwel Sitta
Leo
kikao cha bunge maalum la katiba kimeshindwa kuendelea baada ya
kukatika kwa matangazo ya moja kwa moja kupitia televisheni ya Taifa na
kulalamikiwa na wajumbe kundi la wachache wanaotaka serikali tatu ambapo
taarifa yao ya kamati namba nne ndio ilikuwa ikiwasilishwa.