AZANIA BANK TAWI LA MOSHI YAKABIDHI VIFAA YA KUFANYIA USAFI KWA MKURUGENZI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA MOSHI

November 29, 2015

</ Span embed> </ td> </ tr>
Manager Azania Bank branch in Moshi, emigration Mmambe was greeted by Director Moshi Municipal Council, the Army Lupembe arrived at his office to respond to the call of President John Magufuli for cleaning Dec. 9 to contribute to cleaning equipment. </ span> </ td> </ tr> </ Tbody> </ table> < tbody>

</ Span embed> </ td> </ tr>
health officer head of the municipality of Moshi, Mgeta Sebastian was greeted by Manager Azania Bank branch in Moshi, emigration Mmambe visited council offices that provide assistance in cleaning equipment. </ span> </ td> </ tr> </ Tbody> </ table> < tbody>

</ Span embed> </ td> </ tr>
Manager Azania Bank, emigration Mmambe he signed in the guest book at the office Director of Municipal Council Moshi.Jeshi Lupembe (right). </ span> </ td> </ tr> </ Tbody> </ table>

</ Span embed> </ td> </ tr>
Executive Director Moshi Municipality, Army Lupembe he received official support from Azania bank presented to the bank manager, emigration mmambe for sanitation facilities. </ span> </ td> </ tr> </ Tbody> </ table>

</ Span embed> </ td> </ tr>
Staff Azania Bank branch in Moshi, letting brooms, issued by banks So for sanitation activities undertaken nine in December this year, the right is Director of the municipal council of smoke, Army Lupembe. </ span> </ td> </ tr> </ Tbody> </ table> < tbody>

</ Span embed> </ td> </ tr>
Executive Director Moshi Municipality, Army Lupembe being accompanied by Officer head of the municipal health, Mgeta Sebastian when receiving support a cleaning equipment from Azania Bank Moshi branch. </ span> </ td> </ tr> </ Tbody> </ table>

</ Span embed> </ td> </ tr>
Manager Azania Bank branch in Moshi, emigration Mmambe awarding equipment to make pads for Executive Director Moshi Municipality, Army Lupembe, these materials have been granted for the implementation of the presidential decree done Magufuli of hygiene on December 9.

And Dixon Busagaga the Regional Community GLOBU American. </ span> </ td> </ tr> </ Tbody> </ table> Click here to Reply, Reply to all, or Forward 9.05 GB (60%) of 15 GB used Manage Terms - Privacy Last account activity: 13 hours ago Details 349 more Dixon Busagaga's profile photo Dixon Busagaga Show details



PSPF WAANZISHA KAMPENI MPYA YA MTAA KWA MTAA

November 29, 2015

Balozi wa mfuko wa pensheni wa PSPF Mrisho Mpoto Maalufu kama (Mjomba)  akizungumzana vyombo vya habari kuhusu kampeni ya mtaa kwa mtaa iliyofanyika jijini Dar kushoto ni Afisa wa mfuko wa pensheni wa PSPF Hadji Hamis Jamadary.

Na Mwandishi Wetu
Mfuko wa hifadhi za jamii wa pensheni (PSPF) kwa kuwajali watanzania waanzisha kampeni ya mtaa kwa mtaa ili kuweza kuungana na wananchi wa maeneo mbalimbali kwa kuwapa elimu  inayohusu mfuko huo wa pesheni kampeni hizo zimeanzia jijini Dar es salaam kwa kutembelea wilaya zote tatu huku wakipita mitaa mbalimbali ya wilaya hizo.

Kampeni hiyo imeanza muda mfupi tu mara baada ya mfuko wa pensheni wa PSPF kuungana kwa kutoa huduma na Mfuko wa afya wa NHIF ambapo wanachama wote walio jiunga na kusajiliwa na mfuko wa PSPF watapata manufaa ya kutibiwa kupitia mfuko huo wa afya  wa NHIF kutokana na kuwa wanachama hai.

Balozi wa mfuko wa pensheni wa PSPF Mrisho Mpoto Maalufu kama (Mjomba) pia naye aliweza kuungana na maafisa wa PSPF kwa kwenda kutoa elimu juu ya uchangiaji wa hiari ambao unamuhusu kila mmoja katika jamii zetu Mpoto amesema kuwa kwa kuonesha mfuko wa PSPF hauko mbali na wala haujawatenga wananchi uliamua kuaznisha uchangiaji wa hiari ili kuwapa fursa watanzania na kunufaika na mifuko ya jamii hususani PSPF ambao wanamjali na kuthamini kila mtanzania

Naye kiongozi wa msafara katika kampeni ya mtaa kwa mtaa iliyoanza jijini Dar es salaam Afisa wa mfuko wa pensheni wa PSPF Hadji Hamis Jamadary amesema "Tumeweza kuzunguka katika maeneo mbalimbali ya jiji ndani ya wilaya zote tatu ambazo ni ILALA,KINONDONI na TEMEKE kwa kuwapa elimu wananchi ya namna watakavyo weza kunufaika na mfuko huu wa jamii" ambapo alisema wananchi wamekuwa na mwitikio mkubwa sana hasa kwakuona mfuko wa pensheni wa PSPF umeamua kuwafuata katika maeneo yao na kuwapa elimu hiyo ya uchangiaji wa hiari.

Pia Afisa matekelezo wa mfuko wa pensheni wa PSPF Albert Feruzi amesema katika kuendeleza kutekeleza majukumu waliyo pewa ni pamoja na kuwajuza wananchi kitugani kinacho toka katika mfuko wa PSPF ambapo alisema kwa kila mwananchi atakaye jiunga na kusajiliwa na mfuko ataweza kunufaika na huduma mbalimbali zinazopatikana PSPF pekee na wala sio kwingine alizitaja baaadhi ya huduma ikiwa ni pamoja na kupata mikopo mbalimbali kwa wajasiliamali,mkopo wa nyumba zilizopo katika mikoa mbalimbali ya Tanzania  cha muhimu ni kujiunga na kuwa mwanacha uliye hai ambaye kila wakati unakuwa na uwezo wa kuchangia kila mwezi

Aidha naye afisa uendeshaji wa mfuko wa pensheni wa PSPF Dolphin Richard aliweza kupata fursa ya kuongea na wananchi katika maeneo mbalimbali huku akisisitiza suala la kuwa  ni mmoja wa wanafamilia wa PSPF kutakupa faida nyingi ikiwa ni pamoja na kupata matibabu kwa bima kwakuwa wameweza kuungana na NHIF ilikuleta maendeleo katika taifa la Tanzania
 Pia kunukuu kauli mbiu ya Rais wa Jamuhuri Ya Muungano ya Tanzania Mh.John Pombe Magufuli  akisema (PSPF HAPA KAZI TU) amabapo watahakikisha wanakuwa bega kwa bega na wananchi ili kila mmoja awe na usawa wa maisha naye alitaja baadhi ya mafao wanayo yatoa  ambapo ni fao la kustaafu kazi,fao la elimu,fao la uzazi.
Balozi wa mfuko wa pensheni wa PSPF Mrisho Mpoto Maalufu kama (Mjomba) akitoa burudani pamoja na kutoa elimu kwa wananchi waliofika kupata elimu juu ya Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa Hiari kupitia kampeni ya mtaa kwa mtaa iliyofanyika jijini Dar
Afisa wa mfuko wa pensheni wa PSPF Hadji Hamis Jamadary akitolea ufafanuzi kuhusu umuhimu wa kujiunga na mfuko wa PSPF hasa katika uchangiaji wa Hiari ambapo aliwasisitiza wananchi kuwa kila mwananchi anaweza kujiunga na mfuko huo na kusisitiza hakuna makato yoyote anayokatwa mteja anapojiunga na mfuko huo.
Wananchi wakendelea kufuatilia kwa makini elimu iliyokuwa ikitolewa na maafisa wa PSPF kupitia kampeini yao ya Mtaa kwa Mtaa.
Afisa wa mfuko wa pensheni wa PSPF Hadji Hamis Jamadary akiwagawia wananchi fomu za kujiunga na uananchama wa mfuko wa PSPF 
 Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Delphin Richard akizungumza na wananchi hawapo pichani wakati wa zoezi ka kuwasajili wananchi kupitia kampeni ya Mtaa kwa Mtaa kuhusu huduma zitolewazo na Mfuko wa Pensheni wa PSPF hasa katika uchangiaji wa hiari ambapo mtu yeyote anaweza kujiunga
Afisa Masoko wa Mfuko wa Pensheni wa PSPF, Delphin Richard akimpiga picha kwa ajili ya kutengenezewa kitambulisho mmoja wa wanachama waliojiunga na mfuko wa PSPF kupitia kampeni ya Mtaa kwa Mtaa iliyofanyika jijini Dar
Baadhi ya waananchi wakijaza fomu za kujiunga na mfuko wa PSPF  hasa katika uchangiaji wa hiari ambapo mtu yeyote anaweza kujiunga ambapo kila mwananchi anaweza kujiunga.

Wazazi wawa peleke watoto wao vyuo vya ufundi ili wajia

November 29, 2015












WATANZANIA wametakiwa kuwapelewa watoto wao katika vyuo mbalimbali vya ufundi stadi elimu inayo zalisha ajira nyingi kuliko vyuo vikuu hapa nchini ili kuepukana na tatizo la ajira.

Inadaiwa kuwa watu wanaojiajiri ni wengi wanao toka katika vyuo vya ufundi kuliko wanano maliza vyuo vikuu kutokana na wanao toka vyuo vikuu wanategenea kuajiliwa huku wa vyuo vya ufundi wakijikita kujitengenezea ajira na kuachana na utegemezi kutoka kwa wazazi.

Kauli hiyo imetolewa na mwenyekiti wa bodi ya vyuo vya Veta kamda ya nyanda za juu inayo jumuisha mikoa ya Iringa, Ruvuma na Njombe, Kabaka Ndenda, juzi katika mahafari ya kwanza kwenye chuo pekee ya wilaya cha Veta Makete, alisema kuwa  vijana wengi wanao maliza katika vyuo vya ufundi wanauhakika wa kujiajiri kuliko wanao enda vyuo vikuu.

Alisema kuwa wananchi wamekuwa wakiona ni bora kumpeleka mtoto wake katika chuo kikuu kuliko kumpeleka katika vyuo vya ufundi, alisema kuwa Tanzania kutokana na ulivyo mfumo wa ajira watoto ni bora wakapelekwa katika vyuo vya ufundi ili kutengeneza ajira.

"Tanzania tulikataa mfumo wa mwalimu Nyerere wa ujamaa tukataka ukabaila wakati hatuwezi kwenda nao ndio maana tunapata shida kupata ajira, Tanzania bado hatujafika hatua ya kusoma vyuo vikuu na kupata ajira moja kwa moja," alisems Ndenda.

Alisema kuwa licha ya vijana hao wanao fuzu mafunzo kuweza kujiajiri wanatakiwa kuhakikisha kuwa wakitoka hapo wanaenda kuunda vikundi ili waweze kukopesheka.

Hata hivyo wanafunzi hao waliiomba serikali kuhakikisha kuwa inawapa sapoti pale watakapo kuwa wameunda vikundi vyao na kuweza kujikwamua kimaisha kwa kupata mikopo kutoka serikalini.

Mkuu wa chuo hicho Ramadhani Sebo alisema kuwa wanafunzi hao wanaenda kuajirika licha ya kuwa na changamoto za vifaa vya kufundishia katika baadhi ya fani zinazo fundishwa katika vyuo hivyo ikiwa ni pamoja na katika fani ya ufundi magari.

Alisema kuwa wanafunzi katika chuo hicho wamefanya mafunzo kwa vitendo na wameiva vyakutosha kwenda kuingia katika kujiajiri katika ufundi na kuanza kujitegemea.

Alisema kuwa chuo hicho kwa sasa ambacho ni chapekee cha wilaya Tanzania nzima na kuwa kilianza na kozi mbili na sasa kina kozi 4 huku kikifundisha masomo mtamboka.

Alisema kuwa kutokana na kuto kuwa na mabweni chuo hicho wanafunzi wake wamepanga mitaani na kuwa baadhi ya wanafunzi wameshindwa kumaliza chuo kutokan ana changamoto za kutoka mbali na