Afisa Elimu Mkoa wa Tanga,Ramadhani Chomola akipokea maji toka kwa Mwenyekiti wa UVCCM mkoa wa Tanga,Abdi Makange wanaoshuhudia kutoka kushoto ni Afisa elimu jiji la Tanga,Mr.Sengasu na kulia kwake ni Afisa Michezo mkoa wa Tanga,Digna Tesha,Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Acheni Maulid na Mwalimu Mkuu wa shule ya Sekondari ya Tanga School
Pokea Mkuu
MWENYEKITI wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Abdi Makange akimkabidhi Maji ya Kunywa kwa ajili ya timu ya Umiseta ambayo imeweka kambi katika shule ya sekondari Tanga School kwa Afisa Elimu Mkoa wa Tanga,Ramadhani Chomola wanaoshuhudia kushoto ni Afisa Elimu Jiji la Tanga,Mr.Sengasu,kulia ni Afisa Michezo mkoa wa Tanga,Digna Tesha na Katibu wa UVCCM mkoa wa Tanga,Acheni Maulid.
Mkacheze vema
MWENYEKITI wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Abdi Makange akizungumza na wachezaji wa timu za Umiseta mkoa wa Tanga leo mara baada ya kukabidhi maji ya kunywa cartons 50 zilizitolewa na umoja huo,kushoto kwake ni Afisa Michezo mkoa wa Tanga,Digna Tesha na mwenye shati nyeupe ni Katibu wa UVCCM Mkoa wa Tanga,Acheni Maulid.
Subscribe to:
Posts (Atom)